ntingirawanyuma
Senior Member
- May 18, 2018
- 152
- 549
Alishazoea kurudi kwa ma x wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh🤔🤔🤔🤔Ok nimekuelewa ukweli alinambia kua alikua na bwana wakazinguana harafu mi nilimkuta wakati yupo na depression baada ya hapo ndo kamrudia tena ila ninahasira nae sana nataka nimfanyie kitu ambacho hata sahau kwa sababu aliniachia maumivu nikasahau tena jana kaanzisha mengine
Acha hizo wewe, mwanaume hawi na visasi vya kijinga, amua kupiga chini tulia zako tafuta mwengine, tulia nae.Ok nimekuelewa ukweli alinambia kua alikua na bwana wakazinguana harafu mi nilimkuta wakati yupo na depression baada ya hapo ndo kamrudia tena ila ninahasira nae sana nataka nimfanyie kitu ambacho hata sahau kwa sababu aliniachia maumivu nikasahau tena jana kaanzisha mengine
Naenda ku prin hii quote na kufanya LaminationSometimes God sends your ex back into your life to see if you're still stupid.
Hii inanikimbusha Song kali la Lucky Dube laBrother listen to me very careful, kwa nilivyozisoma hizo meseji kwa mukhtasari huyo ana mtu wake but sometimes huyo mtu wake anampotezea kwa hio anakosa wapi kwa kujishikiza sasa kwako atakuja sababu hana option Ila mtu wake akija anambeba kirahisi tu maana yake ni kwamba huyo ni mtu wa mtu mwingine sio mtu wako au niseme ni mpenzi wa Mwanaume mwingine sio mpenzi wako, kwa hio jiongeze au nasema UONGO my Cute Wife Kapeace Mamndenyi Leejay49
Huna kipya utakachofanya mzee...wewe endelea na life tuOk nimekuelewa ukweli alinambia kua alikua na bwana wakazinguana harafu mi nilimkuta wakati yupo na depression baada ya hapo ndo kamrudia tena ila ninahasira nae sana nataka nimfanyie kitu ambacho hata sahau kwa sababu aliniachia maumivu nikasahau tena jana kaanzisha mengine
Ukisoma maelezo ya juu tofauti na meseji alipiga simuMkuu unavuta ndumu?mbona sijaona sehemu analazimisha mrudiane?
Una Roho ya kikatili😃🤣🤒😂Mwambie tu, mda hautoshi tunatakiwa kujadili na bandari ujue😃😃😌
Amwambie tu mda hautoshi😃😃Una Roho ya kikatili😃🤣🤒😂
Uko poaa 🤗Amwambie tu mda hautoshi😃😃
Me niko poa,, unaendeleajeUko poaa 🤗
Gud gud bestMe niko poa,, unaendeleaje