Aliniacha kisa ex wake tena anataka kurudi kwangu



Hii mission mbona kama nmeielewa, au ni kwamba nawaza kwa sauti.😁🤔
 
Atakuwa mtu sahihi kwako mpe nafasi Tena.
Mtu anaejirudi kwako ni Bora zaidi amekuthamini
 
Mkuu wewe si ni wakala? Huyo binti ni kama wale matapeli wanaopiga simu kutaka kukuibia tu.

Ukiwagundua ni unakata simu na kuwaripoti polisi.
 
Kurudiana na ex ni kosa kubwa sana kwenye maisha
 
Kama una upwiru mpelekee moto tu, ila ukitaka habari za kumpenda sijui sikua watarudiana tena na ex wake
 
Wengi huwa wanarudi baada ya kupigwa matukio walikoenda. Watu wa hivi mara nyingi hawana nia njema.
Wametambua makosa Yao kwa kuumwa na nyoka,shida ni kuishi kwa kutofuta Yale waliyotutendea utumia Nia hio kuwalipizia kisasi au kuwashusha thamani
 
Mrudishe,fumua ndogo kwa fujo then mtimue
 
Mtu hana hisia na wewe bado unakomaaa kubeba mchanga kwenda nao beach https://jamii.app/JFUserGuide u [emoji19]
 
Kwa hili nalo unasubiri ushauri kijana? Ama kweli mapenzi ni upofu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…