Ok nimekuelewa ukweli alinambia kua alikua na bwana wakazinguana harafu mi nilimkuta wakati yupo na depression baada ya hapo ndo kamrudia tena ila ninahasira nae sana nataka nimfanyie kitu ambacho hata sahau kwa sababu aliniachia maumivu nikasahau tena jana kaanzisha mengine
We umeilewaje hapo?Hii mission mbona kama nmeielewa, au ni kwamba nawaza kwa sauti.😁🤔
Mkuu wewe si ni wakala? Huyo binti ni kama wale matapeli wanaopiga simu kutaka kukuibia tu.Wakuu kwanza nikili nimetumia ID nyingine tofauti na ninayotumia.
Kuna dada ambaye nilikutana nae na tukawa katika mahusiano kumbe kipindi nimetoka kumtafuta alikua ameachana na huyo ex wake.
Sasa katika mahusiano yetu tulipendana sana yeye alionyesha kunijali japo sijui rohoni alikua ananiwazia nini, tumekaa katika uhusiano zaidi ya miezi sita bila ugomvi wowote.
Ila baada ya hapo nikaanza kuona tofauti nikamuuliza mbona unakuwa kama mbali shida nini akasema hapana na bahati mbaya baada ya siku kama nne mbeleni mimi ( wezi waliingia nako kaa waliruka fensi na kukaa ndani wakawa wananisubiri nirudi sababu walikua wanajua nafanya kazi za mobile money) na yeye siku nne hizo alikua na safari ya mikoani, nikampa taarifa kuwa nimeibiwa na wameniumiza .
Sasa kipindi naendelea kuuguza jeraha kama wiki tatu mbele nikakuta mesji,
yeye: upo poa
Mimi: nipo poa nambie
Yeye: safi nikwambie kitu ila usinune
Mimi: sawa nakusikiliza
Yeye: i m sorry naona kwangu mda wa kuolewa umefika so nataka kuolewa naomba nisameheme
Mimi:💔
Jana kanitafuta nikachati nae kumbe karudi alikokua yupo nyumbani kwao ambapo pia ni karibu na kazini kwangu, akaja maeneo ya kazi akawasalimia majirani wa pale kwangu hakuja alivotoka jana kanitumia meseji akaa kidogo akapiga simu naomba nisamehe turudiane nilikosea nimejifunza nisamehe sana mi nikamjibu nitakupigia, sasa wakuu nimwambiaje maana nina hasira sana japo alipiniacha sikuonyesha kama nina hasira nae sana nikawa namjibu kawaida sana ila ukweli niliumia sana.Baadhi ya meseji za nyuma na janaView attachment 2707339View attachment 2707335View attachment 2707337
Kiasi najuaUnajua kidhungu?
Wengi huwa wanarudi baada ya kupigwa matukio walikoenda. Watu wa hivi mara nyingi hawana nia njema.Atakuwa mtu sahihi kwako mpe nafasi Tena.
Mtu anaejirudi kwako ni Bora zaidi amekuthamini
[emoji23][emoji23]Mludie uibiwe Tena pesa za miamala
Wametambua makosa Yao kwa kuumwa na nyoka,shida ni kuishi kwa kutofuta Yale waliyotutendea utumia Nia hio kuwalipizia kisasi au kuwashusha thamaniWengi huwa wanarudi baada ya kupigwa matukio walikoenda. Watu wa hivi mara nyingi hawana nia njema.
Mrudishe,fumua ndogo kwa fujo then mtimueWakuu kwanza nikili nimetumia ID nyingine tofauti na ninayotumia.
Kuna dada ambaye nilikutana nae na tukawa katika mahusiano kumbe kipindi nimetoka kumtafuta alikua ameachana na huyo ex wake.
Sasa katika mahusiano yetu tulipendana sana yeye alionyesha kunijali japo sijui rohoni alikua ananiwazia nini, tumekaa katika uhusiano zaidi ya miezi sita bila ugomvi wowote.
Ila baada ya hapo nikaanza kuona tofauti nikamuuliza mbona unakuwa kama mbali shida nini akasema hapana na bahati mbaya baada ya siku kama nne mbeleni mimi ( wezi waliingia nako kaa waliruka fensi na kukaa ndani wakawa wananisubiri nirudi sababu walikua wanajua nafanya kazi za mobile money) na yeye siku nne hizo alikua na safari ya mikoani, nikampa taarifa kuwa nimeibiwa na wameniumiza .
Sasa kipindi naendelea kuuguza jeraha kama wiki tatu mbele nikakuta mesji,
yeye: upo poa
Mimi: nipo poa nambie
Yeye: safi nikwambie kitu ila usinune
Mimi: sawa nakusikiliza
Yeye: i m sorry naona kwangu mda wa kuolewa umefika so nataka kuolewa naomba nisameheme
Mimi:💔
Jana kanitafuta nikachati nae kumbe karudi alikokua yupo nyumbani kwao ambapo pia ni karibu na kazini kwangu, akaja maeneo ya kazi akawasalimia majirani wa pale kwangu hakuja alivotoka jana kanitumia meseji akaa kidogo akapiga simu naomba nisamehe turudiane nilikosea nimejifunza nisamehe sana mi nikamjibu nitakupigia, sasa wakuu nimwambiaje maana nina hasira sana japo alipiniacha sikuonyesha kama nina hasira nae sana nikawa namjibu kawaida sana ila ukweli niliumia sana.Baadhi ya meseji za nyuma na janaView attachment 2707339View attachment 2707335View attachment 2707337
Hapo hapana mkuu hapanaaaaMrudishe,fumua ndogo kwa fujo then mtimue
Basi muoe mkuu! We unahisi anakupenda huyo? Subiri tukio mkuuHapo hapana mkuu hapanaaaa
Mwambie tu, mda hautoshi tunatakiwa kujadili na bandari ujue