Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaa na nusu🤣🤣🤣 kwa jinsi wanawake tunavyowapa jakamoyo, bora walivyoanza kupendana wao kwa wao,
Watakuelewa tu
Kataa ndoa linda kibunda chako
Mleta uzi anachangamsha genge ,kuna mahali anahonga buku tatu tatu kimya kimya😁😁Hapo roho imemuuma mleta uzi😂
hahahaha, daahJana tena Jaji ka triple Child support🤣 alichokuwa anatoa kwa mtoto wake kwa mwezi!! Sasa Mahakama imeamuru awe anakitoa mara 3 kwa mwezi..
Mbona tunawapenda kapeace😁😁🤣🤣🤣 kwa jinsi wanawake tunavyowapa jakamoyo, bora walivyoanza kupendana wao kwa wao,
Kubadabeki wallahJana tena Jaji ka triple Child support🤣 alichokuwa anatoa kwa mtoto wake kwa mwezi!! Sasa Mahakama imeamuru awe anakitoa mara 3 kwa mwezi..
Mkuu watu wanyetuke au sio😁hahahaha, daah
Wenzio hawatupendi 😢😢Mbona tunawapenda kapeace😁😁
daaah, hali ni mbaya sana we acha tuMkuu watu wanyetuke au sio😁
Chama liishi milele😁daaah, hali ni mbaya sana we acha tu
Mambo haya yanafikirisha na kuogofya kwa kiwango kikubwa..kwamba wanawake wanaoweza kupenda hakuna kabisa au we don't love them right???Prenup mademu wa US hawataki kuisikia kabisa. Ujue siku hizi mapenzi baada fedha kuwa mbele mapenzi yamekuwa rahisi sana, ndio maana mbele mtu yupo tayari kumpa demu hata 3m US ili amzalie then baada ya hapk demu anajikataa ana mwachia mtoto kila mtu na maisha yake. Sababu anajua ngumu kupata mwanamke atakaye mpenda kweli,ila kwa kuwa ana hela basi ni rahisi kupata ngono kwake familia sio kipaumbele sana kipaumbele chake ni mtoto,mfano Cris Brown ana watoto watatu kawapata kwa style kama hii.
Wanawake hawajui fedha imefanya ngono iwe rahisi na iwe kama bidhaa, si unajua bidhaa wanazigrade na hata ile iliyokuwa na thamani kubwa juzi leo itadrop. Ngono siku hizi imekuwa bidhaa na ndio maana haifanywi kwa hisia na upendo,ndio maana siku hizi kuna mitindo/style ya kufanya mapenzi ya ajabu ya kukomoa, sababu fedha imefanya wanawake wawe kama kifaa cha kufanyia ngono, yaani ule ubinadam haupo ndio maana unasikia siku hizi kuna lundo linalokuwa kwa kasi la wanawake wanaotoa ndogo.
Wacha wapungue ili ushindani uwe mdogo😁😁😁Wenzio hawatupendi 😢😢
waache wapigwe shauri za Nyege ZaoChama liishi milele😁
USichokijua ni kwamba 80% ya wanawake wanajisifia kua wanawachuna wanaume kumbe kiuhalisia anatumia ela ambayo iliwekwa kwenye bajeti ya wanawake😁Kinachonishangaza huku mtaani wanaume hawapo hivi ambavyo mnajitutumua jf
Ada za chuo zinalipwa, tunatumiwa hadi hela "hii mpe mama" na bado mtu analilia kukuoa☺️🙌
🤣🤣🤣🤣🤣huku ndio chaka lao la kujificha wanalalamika,acheni kuwatesa watoto wa mama wake jamaniKinachonishangaza huku mtaani wanaume hawapo hivi ambavyo mnajitutumua jf
Ada za chuo zinalipwa, tunatumiwa hadi hela "hii mpe mama" na bado mtu analilia kukuoa☺️🙌
Kwanini hiyo bajeti ya wanawake usitumie kujenga nyumba😉USichokijua ni kwamba 80% ya wanawake wanajisifia kua wanawachuna wanaume kumbe kiuhalisia anatumia ela ambayo iliwekwa kwenye bajeti ya wanawake😁
Mzee wa kupambania anajisifu yeye haongi ila anasponsor mchakato wa demu kuliwa🤣🤣🤣🤣🤣huku ndio chaka lao la kujificha wanalalamika,acheni kuwatesa watoto wa mama wake jamani
Na hiyo sio bajeti ya wanawake ni bajeti ya papuchi😁Kwanini hiyo bajeti ya wanawake usitumie kujenga nyumba😉
Nyie kwetu hamfurukuti