Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Mambo haya yanafikirisha na kuogofya kwa kiwango kikubwa..kwamba wanawake wanaoweza kupenda hakuna kabisa au we don't love them right???

Maana isiwe tuna point fingers kwa wanawake kumbe Sisi wenyewe ndio msingi wa uharibifu,tunaenda kutengeneza Jamii ya kiduanzi isiyo jali hisia za wengine, now bila kusema nani kafanya nini, chanzo cha haya yote ni nini????
Wapo ila probability ni ndogo na hasa ukiwa na fedha.Fedha huvuta fakes friends na bitch, the same hata kwa wanawake wenye fedha ndio maana mara nyingi huangukia kwa Mario.

Hii jamii ya kiduanzi itengenezwe mara ngapi,mbona tupo kwenye zama hizo.Sababu kama unajali hisia na kumpenda mwenzio huwezi kumwingilia kinyume na maumbile, ila kwa siku hizi ni kama trend na wapo wanawake kwa mujibu ya Mwanaharakati Maarifu Mama Terry ,kuna wanawale wamepangiwa na kufunguliwa biashara sababu tu wanatoa mlango wa uwani na siku hizi wapo wengi sana, wengine mabinti wadogo hadi huruma.

Mapenzi siku hizi hayafanywi kwa hisia,ndio maana unasikia Alkasusu,Mkongo, demu kaliwa ndogo ni mwendo wa kukomoana.
 
"Aliona Ndoa kama biashara, tulifunga ndoa kwa miaka michache, akatalikiana na kuchukua 50% ya akiba yangu ya maisha. Pesa na mali zake zote hazikuwa katika jina lake"
–Tyrese Gibson

Hayo ni maneno ya kujutia ya mwigizaji wa Marekani Tyrese Gibson baada ya ex wife wake Samantha Lee ambaye pia ni baby mama wake, kufile divorce mahakamani na kusepa na nusu ya mali ambazo mwamba alizozitafuta maishani.

Laiti angesikiliza ushauri wa Curtis Jackson, 50 Cent yote hayo yasingemkuta.

"50 Cent alinionya sana ikiwa wewe ni mtu wa kupenda basi sio kwa wanawake wa kizazi hiki lakini sikumsikiliza."
–Tyrese Gibson

Vijana wa ndoa ni utapeli wana hoja sana na wasikilizwe kwa umakini.

Pia kuna wanetu humu mara nyingi huwa wanasema usiwatupe marafiki zako na watu wa familia kwa sababu tu ya mwanamke. Hiki ndicho alichojionea Tyrese kwa 50 Cent.

Tyrese baada ya kufulia 50 Cent hakumtupa akampa deal kwenye movie yake ya POWER.

"50 Cent bado hakuniacha, alinipa nafasi katika filamu yake ya POWER. Hii imenisaidia kujipata tena baada ya kipindi kigumu."
Tyrese Gibson

Mwaka mmoja baada ya talaka Samantha alikuwa kwenye mahojiano ya kipindi fulani alipoulizwa ikiwa angetaka kurudisha uhusiano wake naye. Akasema yuko tayari kurudiana na Tyrese.

Learn or perish
Mkuu hawa viumbe naona hii wiki umewaamulia.
😂😂😂
 
Huyu mwamba kuna siku ex wake alihojiwa,akawa anasema anajuta kwa nini aliachana na Tyrese, Tyrese baada ya kuona ile Intvw mwamba aliongea kwa uchungu machozi yana mtoka,inaonekana demu alimpukutisha sana.

Kuna podcast moja hivi ya malumbano kati ya wanaume na wanawake.Wanawake wakawa wanahoji kwa nini US wanaume wanaogopa kuoa. Kuna mwana mmoja akasema hawaogopi kuoa, sababu talaka nyingi US kwa asilimia zaidi ya 70 zinakuwa initiated na wanawake sababu, hawana cha kupoteza.Ila mwanaume jiandae mali zako kupigwa pasu, kuna Allomony kwa ajili ya mkeo na kuna Child Support ya watoto. Allomony na Child support zinalipwa kila mwezi.

50 cents, Cris brown,Kevin Durant, James Harden na masupastaa wengine wengi hawa hawana mpago wa kuoa kabisa nk.Young Jeezy nae yamemkuta kama yaliyo mkuta Tyrese ila ameamua kula jiwe ila moyoni ana maumivu amaeyaficha moyoni.Masupastaa wengi wa mbele ambao wana ndoa imara (LeBron,Snoop,Jalen Brunson japo kaoa juzi ila demu wake ni rafiki yake kipindi wakiwa college) ni wale walianza mahusiano tokea wakiwa hawana kitu yani kipindi wapo college/utotoni.Ila hawa wanaokuja baada ya kupata kitu, probability ya ndoa kuvunjika zaidi ya asilimia 70.
Ndio maana tunafuata sheria ya Achraf Hakimi.
Pato zima unamuandikisha bimkubwa.
Halafu tuone sasa.
 
Back
Top Bottom