Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Ndio maana mimi nilipomuoa huyu mkewangu wasasa nilimpa kauli mbili ngumu.
Nilimwambia mimi ni mtu ambaye halazimishi mapenzi na habembelezi, kwanza sijakulazimisha kuolewa na mimi.
Hivyo ukitaka kaa usipotaka ondoka,maana maisha ya mahusiano hayalazimishwi.
Pili mimi ni muajemi ama mwarabu ama msomali,bimaana mtu wa kisasi alkisasi haqqi.
Sasa ukifanya ujinga usidhani nitaufumbia,nitaulipiza mara elfu yake na nitakufanya ujute wewe hadi kizazi kilichokuzaa.

😂😂😂😂Weee kalivyo kajinga kakaenda kumwambia mamaake hadi nyumbani kakataka kuondoka kwa hofu.
Ila alhamdulillah azingui,kama akizingua najua namna ya kumpa stahiki yake.
Mkuu ukija kuchapiwa na mtu anaejua kupetipeti usije kulaumu😁😁😁😁😁
 
Ndio maana mimi nilipomuoa huyu mkewangu wasasa nilimpa kauli mbili ngumu.
Nilimwambia mimi ni mtu ambaye halazimishi mapenzi na habembelezi, kwanza sijakulazimisha kuolewa na mimi.
Hivyo ukitaka kaa usipotaka ondoka,maana maisha ya mahusiano hayalazimishwi.
Pili mimi ni muajemi ama mwarabu ama msomali,bimaana mtu wa kisasi alkisasi haqqi.
Sasa ukifanya ujinga usidhani nitaufumbia,nitaulipiza mara elfu yake na nitakufanya ujute wewe hadi kizazi kilichokuzaa.

😂😂😂😂Weee kalivyo kajinga kakaenda kumwambia mamaake hadi nyumbani kakataka kuondoka kwa hofu.
Ila alhamdulillah azingui,kama akizingua najua namna ya kumpa stahiki yake.
Umejitahidi
Mimi kwanza kuoa huko naanzia wapi? Heri wanawake hata wanaojiuza unajua kabisa anauza na haupo peke yako unapiga nampa pesa anaondoka.

Ila mke uliyelipa mahari na kumuweka ndani na kumpa service zote then bado analiwa na masela dah mimi kila nikiwaziq hayo roho inagoma kabisa kuoa .

Mbqya zaidi na watoto aliokuzalia unakuta sio wako!

Yanini yote hayo chifu USIOE
 
Mkuu ukija kuchapiwa na mtu anaejua kupetipeti usije kulaumu😁😁😁😁😁
Kaka mimi najua kumdekeza mwanamke tena sana.
Mie nakuna hadi nazi na kumpikia mkewangu aisee!!
Ila ukinizingua usidhani kama nitakubembeleza ubaki,hell no my dear.
Ukizingua ukitaka kusepa tena nakusaidia kukufungashia mabegi kabisa na kukuitia usafiri na kukusindikiza juu.
 
Ndio maana mimi nilipomuoa huyu mkewangu wasasa nilimpa kauli mbili ngumu.
Nilimwambia mimi ni mtu ambaye halazimishi mapenzi na habembelezi, kwanza sijakulazimisha kuolewa na mimi.
Hivyo ukitaka kaa usipotaka ondoka,maana maisha ya mahusiano hayalazimishwi.
Pili mimi ni muajemi ama mwarabu ama msomali,bimaana mtu wa kisasi alkisasi haqqi.
Sasa ukifanya ujinga usidhani nitaufumbia,nitaulipiza mara elfu yake na nitakufanya ujute wewe hadi kizazi kilichokuzaa.

😂😂😂😂Weee kalivyo kajinga kakaenda kumwambia mamaake hadi nyumbani kakataka kuondoka kwa hofu.
Ila alhamdulillah azingui,kama akizingua najua namna ya kumpa stahiki yake.
Acha hela kadri ya uwezo wako, mpige miti vizuri

Acha vitisho havisaidii! Wanachapiwa wanajeshi, Marais sembuse wewe
 
Yule mamkwe amezaa watoto wanne kila mmoja ana baba yake.
X wife alikua watatu kuzaliwa na babaye watatu.
Yule mzee/babamkwe alikubali kusilimu ili amuoe yule mama,kwasababu bamkwe alikua mkristo si unajua wachaga mpaka umbadilishe dini ni mbinde?
Alibadili dini akamuoa yule mama,sasa wakaishi na kuishi,yule bimkubwa alipata mzigua mwenzake huko ambaye muislam mwenzake.
Kule penzi limemkolea akajisahau kama kamsilimisha mchaga huku,at the end akaanzisha vurugu mara ooh mtu mwenyewe dini haufati muislam jina mara ooh sijui vile akadai talaka ndoa ikavunjika.
Yule mzee alidata alipagawa alianza kuwa mlevi hadi akafukuzwa kazi,na alikua daktari wa watoto hospitali ya rufaa.
Ulevi ulipitiliza akaachishwa kazi.
Dada yake na baba mkwe ile kitu ilimuuma,alisitisha huduma zote kwa yule mama na akasema mtoto watamlea wenyewe,mama akagoma akasema mtoto nabaki naye mimi.
Basi yule shangazi mtu akawa anatoa huduma kwa mtoto tu tena zenye limit.
Ile ikawa inamuuma yule mamakwe,mtoto kadri alivyokua anakua akawa anamjaza ujinga kuwa baba yake alikua mlevi na muhuni wa wanawake ndio maana wakaachana.
Na baba yake ana uwezo ila amekataa kuwahudumia na mali kampa dada yake ndio aziendeshe.
Mtoto akakua na ile chuki hadi ukubwani.

Kipindi anakua shangazi yake alitoa nyumba nzuri tu ili akae yeye na mama yake.Mama mtu asivyo na adabu akamleta mwanaume hawajaoana akawa anaishi nae mule ndani.
Yule jamaa alipofariki msiba ukafanyika pale,ndipo shangazi mtu akafahamu kuwa nyumba alotoa kwaajili ya mtoto wa kaka yake wifi yake alikua anaishi na hawara yake.
At the end ugomvi ulienda ukaisha.
Ila baba mkwe alifariki kwa kuungua na moto.


Unaweza ukaona wanawake ni nyoka kiasi gani mkuu.
Pole sana kwa mamamkwe na ww unaishi bado na huyo mwanae..?
 
Kaka mimi najua kumdekeza mwanamke tena sana.
Mie nakuna hadi nazi na kumpikia mkewangu aisee!!
Ila ukinizingua usidhani kama nitakubembeleza ubaki,hell no my dear.
Ukizingua ukitaka kusepa tena nakusaidia kukufungashia mabegi kabisa na kukuitia usafiri na kukusindikiza juu.
Hahhaha bora ume edit, sawa mkuu😁
 
Acha hela kadri ya uwezo wako, mpige miti vizuri

Acha vitisho havisaidii! Wanachapiwa wanajeshi, Marais sembuse wewe
Unadhani naogopa kuchapiwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂!?
Kwani futa lake au langu!?
Muache walishenyente na mimi natafuta la kulishenyenta maisha yanaendelea.

Yani haya maisha pesa inipe stress,masomo yanipe stress,familia inipe stress na wewe tena futa la mwantumu unipe stress!??
Aaagh wee thubutuu!
 
Umejitahidi
Mimi kwanza kuoa huko naanzia wapi? Heri wanawake hata wanaojiuza unajua kabisa anauza na haupo peke yako unapiga nampa pesa anaondoka.

Ila mke uliyelipa mahari na kumuweka ndani na kumpa service zote then bado analiwa na masela dah mimi kila nikiwaziq hayo roho inagoma kabisa kuoa .

Mbqya zaidi na watoto aliokuzalia unakuta sio wako!

Yanini yote hayo chifu USIOE
Mie naamini juu ya familia na ndoa mkuu.
Ila pia naamini anayekosea anastahili kupewa adhabu yake stahiki.
Hayo unayoyaeleza nikiyagundua mtu anapata stahiki yake na maisha yanaendelea.
 
Back
Top Bottom