Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Mbinu za kijemedari hizi
 
Hii mbinu naenda kuitumia mkuu , kuna pisi moja inataka tuwe tu marafiki wa kawaida ila tunawasiliana mara Kwa mara , najua nikitumia hii lazma atimbe Kwa bed tu [emoji16][emoji16][emoji16] asante sna mkuu.
 
Daaah, mwezi wa 7 huu nimeshindwa kuvunja bikra kwa demu ambaye nampenda sana,
sababu ya kushindwa ni majirani kupita pita jirani na getto, lakini pia niseme tu alinishinda nguvu,
Juzi tu tumeachana hapa stress ninazo nyingi nawaza atakaye muokota atajipatia dodo chini ya mparachichi,
Roho inaniuma kwakweli sijui nilishindwaje mimi mtoto wa gongolamboto mwisho wa lami, ulongoni BπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺ😰😰😰😰😰😰
 
Mtafute tena,ni rahisi kudumu kwenye mahusiano na mwanamke uliyemtoa bikra,usikubari wahuni wakuzidi ujanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…