Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

Umenikumbusha, wakati nipo form one kuna dem nilimpenda sana sasa dem akawa hataki kunipa mbususu. Nikawapanga washkaji kwamba ule muda wa kutoka wamvizie kwenye chocho moja hivi wamuanzishie fujo feki kisha nitokee nijifanye kuingilia kati ili kumtetea dem, baada ya tukio nijawa namla dem kwa sana tu.
 
Yaani unahangaika kote hv kisa mbususu???[emoji15]
 
Ukawa Stering Wa Sinema yetu siyo[emoji1787]
 
Hiyo ajali inakusubiri kwa hamu,omba sana Mungu akuepushe nayo.
 
nikampa show moja ya kibabe akabaki kujiuliza huyu ni majeruhi wa aina gani. Nilipeleka moto sijawahi tangu nizaliwe
Nimechekaje mkuu tokea wiki ianze wewe ndiye ume extend my ribs more yaani kidogo zifikie plastic limit ujue.
Sasa bana naomba kwa akili ulizotumia kumpata mchaga ukampa moto mpaka akashangaa kuwa majeruhi gani naomba utumie mbinu hiyo hiyo ama akili kuupata unachotaka maishani Mana kweli ulimpenda. Najua wanaume tunapopenda unaweza risk chochote even your life. Ila Sasa linapokuja suala la maisha ku risk our life ili tupate maisha tunayotaka tunakuja kujiliza kuwa serikali Mara sijui Nini ili tuonewe huruma namie nimo.

Umemuoa lakini mkuu
 
Hongera sana Kamanda umelinda heshima ya TMK. Maana huyo demu mpaka hapo alishakudharau tayari kwamba huna ujanja wa kumzidi.
 
Maisha yetu wanaume ni kupambana tu.tupambanie mbususu,tupambanie hela yaani ni vita tu,kazi tunayo.serikali ninachofanya ni kutii sheria zake tu ila sitaki kuitegemea kwa lolote nyongeza ya elfu ishirini si mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…