sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 722
- 885
Kiabakari[emoji1787][emoji1787]Labda kwa wazungu sio bongo njoo huku kiabakari uone vibinti vya 17yrs vina mimba au mtoto
Ukawa Stering Wa Sinema yetu siyo[emoji1787]Umenikumbusha, wakati nipo form one kuna dem nilimpenda sana sasa dem akawa hataki kunipa mbususu. Nikawapanga washkaji kwamba ule muda wa kutoka wamvizie kwenye chocho moja hivi wamuanzishie fujo feki kisha nitokee nijifanye kuingilia kati ili kumtetea dem, baada ya tukio nijawa namla dem kwa sana tu.
Katiba mpya muhimuHii nchi uhuru umezidi
Usicheze na mbususuYaani unahangaika kote hv kisa mbususu???[emoji15]
Miaka mitatu sio kimasihara. Ni kihasira.We jamaa ni genius
Nimechekaje mkuu tokea wiki ianze wewe ndiye ume extend my ribs more yaani kidogo zifikie plastic limit ujue.nikampa show moja ya kibabe akabaki kujiuliza huyu ni majeruhi wa aina gani. Nilipeleka moto sijawahi tangu nizaliwe
Hongera sana Kamanda umelinda heshima ya TMK. Maana huyo demu mpaka hapo alishakudharau tayari kwamba huna ujanja wa kumzidi.Kuna mrembo alinizungusha miaka mitatu.
Sms anajibu, story kwenye simu poa, kukutana maeneo tunakutana ila home hataki kuja.
Gheto langu ningeliita tu kwa Mkapa maana ukiingia hutoki. Kuna basi la xxxxx liliwahi kupinduka na kuua watu kibao na majeruhi pia, nikamfata mshkaji wangu anafanya kituo cha afya cha kata ninayoishi akanifunga POP mkononi na plasta kichwani nikapiga picha nikaambatansha na picha za mtandaoni za lile basi baafa ya kupata ajali nikamtumia mrembo.
Mchaga wa watu masikini akanipigia simu nikamwambia nimeruhusiwa niko home. Akasema nielekeze nakuja
Dakika chache mtu huyu hapa na fuko la matunda nikamwambia kama sio Mungu ningekufa huku naugulia maumivu fake, nikamkumbuka marehemu bibi yangu nikajikamua machozi haya hapa.
Akajichanganya tu akanisogelea...nilimvuta nikambusu nikampa show moja ya kibabe akabaki kujiuliza huyu ni majeruhi wa aina gani. Nilipeleka moto sijawahi tangu nizaliwe.
Kuanzia siku hiyo akawa mpenzi wangu ma hiyo siri hakuwahi kujua labda aisome humu.
Nashangaa hadi saiv kwann hawajakupa Phd yakoMachozi ni limbwata ,wanawake wanahuruma sana akiona machozi ya mwanaume nguvu zinamuisha
Maisha yetu wanaume ni kupambana tu.tupambanie mbususu,tupambanie hela yaani ni vita tu,kazi tunayo.serikali ninachofanya ni kutii sheria zake tu ila sitaki kuitegemea kwa lolote nyongeza ya elfu ishirini si mchezoNimechekaje mkuu tokea wiki ianze wewe ndiye ume extend my ribs more yaani kidogo zifikie plastic limit ujue.
Sasa bana naomba kwa akili ulizotumia kumpata mchaga ukampa moto mpaka akashangaa kuwa majeruhi gani naomba utumie mbinu hiyo hiyo ama akili kuupata unachotaka maishani Mana kweli ulimpenda. Najua wanaume tunapopenda unaweza risk chochote even your life. Ila Sasa linapokuja suala la maisha ku risk our life ili tupate maisha tunayotaka tunakuja kujiliza kuwa serikali Mara sijui Nini ili tuonewe huruma namie nimo.
Umemuoa lakini mkuu
Mbususu unatakiwa uifanyie makaratee uipate na uile....