JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Fuatilia. Russia anapoteza. Akae aachane na hii vita akae na jirani yake wazungumze, ndugu zake wazungumze. Wewe unaamini Eukraine akipigwa na Russia USA, EUROPE inapoteza lolote? Halafu russia ikiwekewa vikwazo ni faida kwa russia kiuchumi?Wahenga walisema actions speak loudly hapa na mbabe mtu katangaza naingia kupiga na atakae thibutu kuingilia nanyooka nae huyo super power mbona kimya
Na Mimi naweka laki tano tumkabidhi nani?Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
Kodi bajaji au request uber ikuwahishe nyumbani,umeshaanza kulewa!Nyuma Ya Urusi yupo Mchina!
Chinabya sasa Ni Nomaaa zaidibYa Marekani na Nchi zote unazozijua…
Urusi ana Hasira,Na Target yake sio Ukraine ni Marekani.
Huyo jamaa yako unadhani hayupo JF? , amekuficha tu id..Sina mpenzi JF tafadhali jiheshimu
Yees ndio nipo hapa kwenye hell....Jiwe ni Mwendakuzimu yule.
Rest in hell Jiwe
Huyo jamaa yako unadhani hayupo JF? , amekuficha tu id..
Haaa we jamaa ......Hivi umoja wa Africa AU hauwezi toa neno lolote kuhusu Urusi na Ukraine ?
Lazima nipanic, mwanamke mzuri kama wewe Numbisa kukosa mpenzi JF ni understatement!Kama umepanic vile
View attachment 2130026wabongo hawahawa wenye smartphon
Russia na Mchina iko dugu moya+kidukukiongozi! Russia hawa uwezo wa kumpiga USA nakwambia
Putin anataka kurudisha nchi zote zilizokuwa katika umoja wa kisovieti.Hv wadau hawa Ukraine walimfanya nn Russia mpaka huyu Putin aipge Ukraine?
Hebu tueleweshe zaidi kuhusu vita hiyo.Kwa wale tunaofatilia prophecy za kwenye biblia,nadhani hii ndio ile vita ya GOGU NA MAGOGU inatimia
Kuna kitu kinaitwa alliance ukikijua utaelewa kwamba Russia Ana uwezo wa kumpiga US na akanyamaza (kwenye vita lazima uwe na jicho la ziada maana nyuma ya urusi kuna nchi kubwa na zenye uwezo mkubwa kivita zinazoweza kumsaidia). Japo marekani miaka hii amekataa kujihusisha na vita vya nje ya marekani kwakuwa imegharimu sana nchi yake na wapiga kura hawataki tena huo ujinga. Hata bajeti ya issue za military imepungua kwenye bajeti yake. Anachoweza ni kupiga kelele nyingiii lakini kupeleka troops Nei.sasa kama target yake ni USA je! Rusia ana jeuri ya kumpiga super power?
We tuliza matakroo hapo hapo wanaume wanajipanga huko hawakurupuki wakianza ni jumla.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mnapigwa mnakalia maneno tu vitendo 0 mwanaume yeye haongei anapiga tu pia amewakaribisha muingie uwanjani mmekalia maneno ya mkosaji
Siku hizi huyu ametoa attention yake Europe ameelekeza huko Vietnam, Korea (vinchi vya Asian tiger) na chinaNamsikiliza bidden live hapa hawa jamaa wanafanya kazi ya kuhakikisha in long run russia anaumia kiuchumi. Hapigani huyu. View attachment 2130127