Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana ikawa ukifika baadhi ya destination unakutana na bus ya kampuni mnagawanyika, so Moja litakuwa Moja Kwa Moja south na mengine yatachukua abiria kuenda sehemu(route) nyingineNadhani kuna typing error ya route ya bus,maana huwezi toka jhb to Gabs/palapye then urudi Zimbabwe, then Mozambique!!,kuna tatizo hapa,
Ningeshangaa nisingeona hii comentUkikaa na mdada mpaka mfike mshaoana
Ilikuwaje wakasepa mkuu?.Wala sio wa kwanza maana walikuwepo wengi wao wamesepa eng Royal Luxury
Hata mimi mwenyewe nimeshangaa, route ya Dar-Tunduma-Zambia-Malawi-Msumbiji-Zimbabwe-Joasberg?????Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Ingependeza kuona hiyo route kwenye ramaniNa njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.
Nimeomba ramani kwakuwa kwenye route imetajwa Malawi ila sioni ikiwa imeguswa na hiyo routeWabongo bana 😄 ahahahaaa...
Majina ya mkombe ni watu wa ufipa rukwa ndani huko mnapaita sumbawangaWanakwambia South African bus company wewe uanauliza ni mtanzania?
USSR
Hata mimi nashangaa, initially Malawi then Zambia iingilie Tunduma?Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Inatokea dar?Hio route kwenda South Africa naona bus zinaongezeka kuna nyingine inaitwa royal luxury