Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Nadhani kuna typing error ya route ya bus,maana huwezi toka jhb to Gabs/palapye then urudi Zimbabwe, then Mozambique!!,kuna tatizo hapa,
inawezekana ikawa ukifika baadhi ya destination unakutana na bus ya kampuni mnagawanyika, so Moja litakuwa Moja Kwa Moja south na mengine yatachukua abiria kuenda sehemu(route) nyingine
 
Nifanyie wepesi wa namba zao au offce zao kwa hapa daslama zipo wapi? Ahsante
Screenshot_20230502_223153.jpg
 
Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Hata mimi mwenyewe nimeshangaa, route ya Dar-Tunduma-Zambia-Malawi-Msumbiji-Zimbabwe-Joasberg?????
Hiyo route ni controversial. Haiwezekani Kwa kutumia basi Moja.
 
Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.
Ingependeza kuona hiyo route kwenye ramani
 
Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Hata mimi nashangaa, initially Malawi then Zambia iingilie Tunduma?
 
Back
Top Bottom