Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Uko sahihi maana wiki iliopita pale border beltbrige upande wa South Africa, immigration walitusumbua sana. Hasa baada ya kuona passport zetu za Tanzania, tumewauliza Kwa Sisi mnatukagua sana, Kuliko Mataifa mengine. Majibu Yao wanasema watanzania wengi hapa wanakamatwa Na madawa ya kulevya. Ilibidi tuwe wapole tu
 
Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Mleta uzi hajafeli. Yeye kaleta habari kama alivyoipata, hivyo hao wenye basi ndiyo uwauulize kwanini wameamua kutumia hiyo route. Naweza kufikiri vitu vichache. Ubora wa barabara au kufanya travelling tour pia.
 
Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Safari ni jorbeg, Harare Lusaka, dar kwa mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti
Hapo anapiga na wateja wa hizo nchi tajwa ambao pengine nao wanatakankwenda south!
Sidhani kama tz zambia zim atapata abiria wa kutosha on weekly or daily basis
 
Soma apo
Screenshot_20230428_113003_com.facebook.lite.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.

Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.


View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.

Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times
Basi la mjomba yangu hilo anaishi mkuranga ila hapendi wala family yetu hatupendi kujionesha onesha kama sisi matajiri
1679883191779.jpg
 
Back
Top Bottom