Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Ukikaa na mdada mpaka mfike mshaoana
Mwaka 2007 nilienda na bus za Falcon Harare. Kuna mdada alikuja kusindikizwa na mumewe na vilio tele kuwa watamisiana.
Alikaa siti ya mbele kabisa ukiingia mlangoni. Nilikuwa namsikia conductor anamtongoza dada. Dada alikuwa anakaza kusema ni mke wa mtu.

Kufika Tunduma kila mtu alikuwa anatafuta ustaarabu wake wa kulala kuanza safari asubuhi.

Baadhi ikiwemo conductor na yule dada tulienda kuchukua vyumba lodge.
Kulipombazuka mke wa mtu alitokea chumbani kwa conductor kuashiria walilala wote. Na baada ya hapo mpaka tunafika Harare walikuwa kama wapenzi wa kitambo.
 
Mwaka 2007 nilienda na bus za Falcon Harare. Kuna mdada alikuja kusindikizwa na mumewe na vilio tele kuwa watamisiana.
Alikaa siti ya mbele kabisa ukiingia mlangoni. Nilikuwa namsikia conductor anamtongoza dada. Dada alikuwa anakaza kusema ni mke wa mtu.

Kufika Tunduma kila mtu alikuwa anatafuta ustaarabu wake wa kulala kuanza safari asubuhi.

Baadhi ikiwemo conductor na yule dada tulienda kuchukua vyumba lodge.
Kulipombazuka mke wa mtu alitokea chumbani kwa conductor kuashiria walilala wote. Na baada ya hapo mpaka tunafika Harare walikuwa kama wapenzi wa kitambo.
Na akirudi anarudi kwa mme wake kama kawaida
 
Walio makini watagindua Tz inaendelea kwa Kasi Sana Richa ya wahuni wachache kucheza na Kodi zetu,Tuko wa tisa kiuchumi Afrika,mtu anaetuinua ni Dotto Biteko na madini yake,Bashe ni kituko.
💪💪💪💪💪💪💪
 
Mwaka 2007 nilienda na bus za Falcon Harare. Kuna mdada alikuja kusindikizwa na mumewe na vilio tele kuwa watamisiana.
Alikaa siti ya mbele kabisa ukiingia mlangoni. Nilikuwa namsikia conductor anamtongoza dada. Dada alikuwa anakaza kusema ni mke wa mtu.

Kufika Tunduma kila mtu alikuwa anatafuta ustaarabu wake wa kulala kuanza safari asubuhi.

Baadhi ikiwemo conductor na yule dada tulienda kuchukua vyumba lodge.
Kulipombazuka mke wa mtu alitokea chumbani kwa conductor kuashiria walilala wote. Na baada ya hapo mpaka tunafika Harare walikuwa kama wapenzi wa kitambo.
😂😂😂😂😂😂😂Aiseee hakuna mkatae mgumu mbele ya chai

Juz nmetoka mwanza Tu Arusha opposite yangu kuna dada alikua amekaa na jamaa mmoja kila mmoja katoe kwenye mambo yake nkaona wamehamiana pale

Kufikia singida dada alikua ashaisha
Ngumu unaona Tu hawa n wapenz
Sema jamaa alishuka babat

Nikajisemea mke/dem n wako ukiwa nae
Kwa mda huo Tu hapo chumban kwako
 
Nimeomba ramani kwakuwa kwenye route imetajwa Malawi ila sioni ikiwa imeguswa na hiyo route
Hebu wapigie uwaulize mkuu, bofya namba hizi 👇🏾
Screenshot_20230502_223153.jpg
 
Malawi, Mozambique,Zambia, Zimbabwe, Botswana Huu mzunguko usio na maana hauna tofauti na game la nyoka
Mkuu me namuelewa mwenye kampuni kwa hiyo route kama ni kweli kulingana na taarifa yao.

Kwa uzoefu wangu ni kuwa unaweza kuwa na njia ndefu ila usipite huko, sababu unakuwa na mabasi tofauti so kuna kituo lazima mnakutana na kuchukua abilia wako then safari inasonga.

Hapa Bongo ipo hii ni vitu vya kawaida unaenda Mwanza but unapanda la Bukoba same bus company ukifika singida unashuka na kupakia linalotoka arusha kwenda Mwanza, maisha yanasonga.
 
😂😂😂😂😂😂😂Aiseee hakuna mkatae mgumu mbele ya chai

Juz nmetoka mwanza Tu Arusha opposite yangu kuna dada alikua amekaa na jamaa mmoja kila mmoja katoe kwenye mambo yake nkaona wamehamiana pale

Kufikia singida dada alikua ashaisha
Ngumu unaona Tu hawa n wapenz
Sema jamaa alishuka babat

Nikajisemea mke/dem n wako ukiwa nae
Kwa mda huo Tu hapo chumban kwako
Sasa mtu akae kimya njia nzima kisa ameacha mtu mzima nyuma 😄 hio mara chache sana
 
Hivi si kulikuwa na lile gogo linalosafiri moja kwa moja kati ya Dar na SA...?
 
Back
Top Bottom