Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Mkuu gari kubwa namna hiyo,Watu tumewahi enda na GX 90 wakati huo miaka ya 1998 ,Hii wakati huo ilikuwa baloon tena ni 4 cylinders na cc ilikuwa 1680
.
Tulitoka Arusha to Durban south Africa ,Tulienda na kurudi nayo na mpaka leo hiyo baloon inadunda
basi lolote linaenda hata hizo yutong au zhantong,Kikubwa ni service tu basi

Hiyo barabarani unapishana na wazungu wana pikipiki machine za kufa mtu na wana overtake kama upepo

Enzi hizo unakutana na mzungu ana mtambo wa pikipiki anakuambia ametokea Cairo anaelekea south,Ukiangalia pikipiki yenyewe jinsi ilivyoshona kwa miili ya watanzania unaweza ukashindwa kuweka mguu mchini wakati wa kushuka
duh,kitambo sana
 
img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.
Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.

View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.


Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | Thanzania TimesShina

img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.
Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.

View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.

Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times
Kuna wakati zilikuwa zinaanzia Lusaka,shida ni haya mashimo ya Barabara za Tz na single lane,kama Mungu ni mwema na Ile project ya Egypt to SA ikikamilika Afrika itakuwa kama USA hebu angalieni BRICS wanakuja na kitu gani kwa sasa mtajua sasa tunaelekea wapi.Any way Mungu atupe nguvu lakini route hiyo inawezekana na Binadamu sio wazito na boda zote wakichangamka na mapepala ya uhamiaji tutasonga mbele.
 
img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.
Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.

View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.


Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | Thanzania TimesShina

Hio route kwenda South Africa naona bus zinaongezeka kuna nyingine inaitwa royal luxury
Walio makini watagindua Tz inaendelea kwa Kasi Sana Richa ya wahuni wachache kucheza na Kodi zetu,Tuko wa tisa kiuchumi Afrika,mtu anaetuinua ni Dotto Biteko na madini yake,Bashe ni kituko.
 
Hii Shalom bus inayoishia Lusaka kwa kupita Chirundu au Livingstone kwa baadhi ya siku...
 

Attachments

  • 20230427_085530.jpg
    20230427_085530.jpg
    799 KB · Views: 19
  • 20230426_155842.jpg
    20230426_155842.jpg
    676.5 KB · Views: 19
  • 20230427_090747.jpg
    20230427_090747.jpg
    294.8 KB · Views: 18
  • 20230427_085926.jpg
    20230427_085926.jpg
    1.1 MB · Views: 19
  • 20230427_085936.jpg
    20230427_085936.jpg
    791.8 KB · Views: 17
  • 20230427_085938.jpg
    20230427_085938.jpg
    640.8 KB · Views: 17
  • 20230426_174329.jpg
    20230426_174329.jpg
    995.9 KB · Views: 18
  • 20230427_122410.jpg
    20230427_122410.jpg
    1.1 MB · Views: 19
  • 20230426_181255.jpg
    20230426_181255.jpg
    1.3 MB · Views: 17
  • 20230426_082244.jpg
    20230426_082244.jpg
    815.6 KB · Views: 19
Hizi gari sio himilivu kwa njia za kiafrika afrika, kampuni ya kureed hunters walikuja nazo route Dar _Mwanza hazikudumu miezi 6.
Mifumo yake inasababisha linasababisha linanesa sana kwenye hizi barabara zetu zilizo kama matuta ya viazi
 
Classmate kafanya uwekezaji
Mkuu gari kubwa namna hiyo,Watu tumewahi enda na GX 90 wakati huo miaka ya 1998 ,Hii wakati huo ilikuwa baloon tena ni 4 cylinders na cc ilikuwa 1680
.
Tulitoka Arusha to Durban south Africa ,Tulienda na kurudi nayo na mpaka leo hiyo baloon inadunda
basi lolote linaenda hata hizo yutong au zhantong,Kikubwa ni service tu basi

Hiyo barabarani unapishana na wazungu wana pikipiki machine za kufa mtu na wana overtake kama upepo

Enzi hizo unakutana na mzungu ana mtambo wa pikipiki anakuambia ametokea Cairo anaelekea south,Ukiangalia pikipiki yenyewe jinsi ilivyoshona kwa miili ya watanzania unaweza ukashindwa kuweka mguu mchini wakati wa kushuka
 
Hizi gari sio himilivu kwa njia za kiafrika afrika, kampuni ya kureed hunters walikuja nazo route Dar _Mwanza hazikudumu miezi 6.
Mifumo yake inasababisha linasababisha linanesa sana kwenye hizi barabara zetu zilizo kama matuta ya viazi
shida hao kureed walinunua mtumba, nenda hapo zambia uone bus engine nyuma zinavopiga mzigo. hata wada chovu na royal luxury zinapiga zambia to South na ni engine nyuma
 
Hizi gari sio himilivu kwa njia za kiafrika afrika, kampuni ya kureed hunters walikuja nazo route Dar _Mwanza hazikudumu miezi 6.
Mifumo yake inasababisha linasababisha linanesa sana kwenye hizi barabara zetu zilizo kama matuta ya viazi
Sio kweli Wazambia ndio gari zao hizo wananunua mpya kabisa Jordan bus wanazitumia miaka nenda rudi na hakuna tatizo Bara barani na huko kuna milima sana na ni umbali mrefu...
 
Kwann asipite route ya lusaka zambia, then harare zimbabwe then joburg chapu tu. Hiyo route sijaielewa utapita vp zambia alaf uende mozambique then zimbabwe?? Then botswana?? Nadhan mleta uzi umefeli hakuna hiyo route. Maana Mozambique to joburg ni karibu sana na harare to jorbug ni karibu pia botswana ni karibu pia na SA . So ninadhani hilo kampuni litakuwa na route tatu tofauti

nadhani ni jo burd to dar hizo zingine ni route tofaut tofauti
 
Back
Top Bottom