Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.
Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.

View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.

Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times
Safi sana,

Hivi zile Falcon sijui ziliishiaga wapi?
 
Hakuna Route ya Zambia,Malawi harafu utokee Tunduma...Route za SA ni SA,Zimbabwe mnapita msumbiji Tete harafu Malawi Desza au Mwanza Border unakuja kutokea Songwe border nyingine ni Zimbabwe,Zambia chirundu au Livingstone au Kariba dam harafu Lusaka,Mpika Chinsali unakuja kutokea Tunduma...nyingine ukitaka utokee Sumbawanga unapita mpika unakata kushoto kuelekea Kasama utatokea Ziwani kidogo harafu Sumbawanga hapo sijaitaja ya Msumbiji kwa kuwa bus au magari mengi hayapiti huko kutokea Ruvuma na hii ingine ni ndefu bus huwa zinatumia kutoka Zambia kwenda SA kupitia Botswana harafu SA hii wanapita Kazungura border na ndio bara bara wanayotumia magari madogo na makubwa kutoka SA kuja Tanzania haina usumbufu ila ni kipande cha 1100 Km kutoka border to border...
 
Hakuna Route ya Zambia,Malawi harafu utokee Tunduma...Route za SA ni SA,Zimbabwe mnapita msumbiji Tete harafu Malawi Desza au Mwanza Border unakuja kutokea Songwe border nyingine ni Zimbabwe,Zambia chirundu au Livingstone au Kariba dam harafu Lusaka,Mpika Chinsali unakuja kutokea Tunduma...nyingine ukitaka utokee Sumbawanga unapita mpika unakata kushoto kuelekea Kasama utatokea Ziwani kidogo harafu Sumbawanga hapo sijaitaja ya Msumbiji kwa kuwa bus au magari mengi hayapiti huko kutokea Ruvuma...
Nilitaka nikuta-tag mkuu kwa sababu najua wewe hizi route una uzoefu nazo.
 
img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.
Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.

View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.

Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times
hapo msumbiji hapo msipokuwa makini mnachinjwa shingo na alshabab.. kama inapita msumbiji sishauri tumieni ndege tu..
 
Tulienda mwaka jana mwanzoni, Enzi za Covid-19 mipakaninkulikuwa na complications sana

Dar-Tunduma,
Nakonde-Kapiri,
Kapiri-Lusaka,
Lusaka-Livingstone
Livingstone-Kazungura(Zambia)
Kazungur(Botswana)-Palapye
Palapye-Gaborone
Gaborone-Joz

Ni safari ndefu sana,back route ilibidi tuingie kwa mwewe tuu.
 
Mkuu gari kubwa namna hiyo,Watu tumewahi enda na GX 90 wakati huo miaka ya 1998 ,Hii wakati huo ilikuwa baloon tena ni 4 cylinders na cc ilikuwa 1680
.
Tulitoka Arusha to Durban south Africa ,Tulienda na kurudi nayo na mpaka leo hiyo baloon inadunda
basi lolote linaenda hata hizo yutong au zhantong,Kikubwa ni service tu basi

Hiyo barabarani unapishana na wazungu wana pikipiki machine za kufa mtu na wana overtake kama upepo

Enzi hizo unakutana na mzungu ana mtambo wa pikipiki anakuambia ametokea Cairo anaelekea south,Ukiangalia pikipiki yenyewe jinsi ilivyoshona kwa miili ya watanzania unaweza ukashindwa kuweka mguu mchini wakati wa kushuka
Duuuh noma sana.
 
Back
Top Bottom