Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

barabara nyingi hazifuati ramani yenu hiyo mf hapa Tz Tanga na TANGA na MANYARA ni majiran illa hakuna barabara ya mkoa au wilaya inayoziunganisha hizo sehemu mbili
 
Yote tisa ila la kumi kuna muarabu siku nyingi miaka nenda uje ndio kashika hiyo barabara dar to Zim Dola

Best experience kwa yeyote anayetakaa kwenda south Africa aje na basi atajufunza mengi though wakati wakurudi arudi na mwewe

Chief kutembea nikuona mengi jaribu kutembea utaona mengi nakujifunza mengi hata fursa yakibishara nyingi utazi explore through traveling
Pamoja sana Chief!🙏
 
Yote tisa ila la kumi kuna muarabu siku nyingi miaka nenda uje ndio kashika hiyo barabara dar to Zim Dola

Best experience kwa yeyote anayetakaa kwenda south Africa aje na basi atajufunza mengi though wakati wakurudi arudi na mwewe

Chief kutembea nikuona mengi jaribu kutembea utaona mengi nakujifunza mengi hata fursa yakibishara nyingi utazi explore through traveling
Pamoja sana Chief!🙏
 
barabara nyingi hazifuati ramani yenu hiyo mf hapa Tz Tanga na TANGA na MANYARA ni majiran illa hakuna barabara ya mkoa au wilaya inayoziunganisha hizo sehemu mbili
So nini kifanyike chief_?.

Ukizingatia uanzishwaji wa miji au wilaya unatokana na walioanzisha vijiji ambao walikuwa wanaishi maeneo ya mbali so hadi kufikia mji uliopo ni kutokana na sababu hiyo.

Ukichukua hicho ulichosema ni ilitakiwa serikali yetu huko nyuma kuandaa hiyo plan ila isingewezekana.
 
Mkuu gari kubwa namna hiyo,Watu tumewahi enda na GX 90 wakati huo miaka ya 1998 ,Hii wakati huo ilikuwa baloon tena ni 4 cylinders na cc ilikuwa 1680
.
Tulitoka Arusha to Durban south Africa ,Tulienda na kurudi nayo na mpaka leo hiyo baloon inadunda
basi lolote linaenda hata hizo yutong au zhantong,Kikubwa ni service tu basi

Hiyo barabarani unapishana na wazungu wana pikipiki machine za kufa mtu na wana overtake kama upepo

Enzi hizo unakutana na mzungu ana mtambo wa pikipiki anakuambia ametokea Cairo anaelekea south,Ukiangalia pikipiki yenyewe jinsi ilivyoshona kwa miili ya watanzania unaweza ukashindwa kuweka mguu mchini wakati wa kushuka

[emoji23][emoji23] watanzania sisi ni wafupi
 
Ni sikunngapi had kufika?
Ikianza safari 03:00 kutoka Dar, atalala Mpika Zambia by 22:00

Mpika atatoka 04:00 kuelekea Lusaka hadi Kafue weighbridge, ataacha njia ya Chirundu anakunja kulia kuitafuta Mazabuka hadi Livingston

Saa 22:00 atakuwa kishawasili Kazungura border, ukishaingia Botswana ni 24 hrs ruksa kuendesha

Atapita Pelapye hadi Martin Drifts kisha ataingia Limpopo river, Groblers Bridge border ya S.A

Kutoka hapo kuelekea Johannesburg ni 7-8 hrs safari inatamatika

Siku tatu unaingia kaburu
 
Ikianza safari 03:00 kutoka Dar, atalala Mpika Zambia by 22:00

Mpika atatoka 04:00 kuelekea Lusaka hadi Kafue weighbridge, ataacha njia ya Chirundu anakunja kulia kuitafuta Mazabuka hadi Livingston

Saa 22:00 atakuwa kishawasili Kazungura border, ukishaingia Botswana ni 24 hrs ruksa kuendesha

Atapita Pelapye hadi Martin Drifts kisha ataingia Limpopo river, Groblers Bridge border ya S.A

Kutoka hapo kuelekea Johannesburg ni 7-8 hrs safari inatamatika

Siku tatu unaingia kaburu
Duh sikutatu upo tu njiani
 
img_20230502_165128-jpg.2607385

Mkombe Luxury siijui hii kampuni ilikotokea ila nimeona tangazo lao kuanzia tarehe 20 mwezi huu wa May chombo inaanza kukata 4000 kilometers.

Na njia itayopita ni kwenye nchi za Botswana, Msumbiji, Zimbabwe, Malawi na Zambia kupitia mpaka wa tunduma na kuishia jijini Dar Es Salaam.

Nauli yao ni ya kila mtu aende kwa madiba tshs 316,000/- one way hiyo, bus litakuwa na huduma za choo, wi-fi nk.


View attachment 2607382
☝🏾Interior seats 💺
Kuna kitu jamaa hakupata jibu hata mimi ni, haieleweki injini ya like basi kama ni Scania, Man au Marcedes Benz.

Nimependa ukubwa wa eneo kati ya kiti na kiti kweli ni long trip journey bus.


View attachment 2607386
☝🏾Tiketi zao.

Mimi nasema kikubwa safari iwe njema na bbus liwe na nguvu kupasua hizo kilometers.

Soma zaidi hapa: 👉🏾 South African Bus Company now ‘launches’ Johannesburg to Dar-es-Salaam Routes | The Tanzania Times
Inawezekana kabisa

Sema jamaa watakua wanna mabasi KILA kituo yanapokezana yaani dar to Tunduma ,abiria wanashuka wanapandishwa nyingine bila hata wao kujua yaani wanashushwa hotelini halafu tingo wanahamisha mizigo kwenye bas la aina hiyo hiyo KWA siti zile zile!

Wakifika malawi au Botswana wanapanda kingine KABISA!!hivo hivo!!
 
Inawezekana kabisa

Sema jamaa watakua wanna mabasi KILA kituo yanapokezana yaani dar to Tunduma ,abiria wanashuka wanapandishwa nyingine bila hata wao kujua yaani wanashushwa hotelini halafu tingo wanahamisha mizigo kwenye bas la aina hiyo hiyo KWA siti zile zile!

Wakifika malawi au Botswana wanapanda kingine KABISA!!hivo hivo!!

Ni gari ya moja Kwa moja mkuu, hapa nasikitika sijapata ya kutoka dar to Johannesburg

Maana nilikuja na usafiri wa moja Kwa moja kutoka Johannesburg to Dar

Kuhama hama gari changamoto nyingi kwa Safari ndefu Kama hizo mkuu
 
Inawezekana kabisa

Sema jamaa watakua wanna mabasi KILA kituo yanapokezana yaani dar to Tunduma ,abiria wanashuka wanapandishwa nyingine bila hata wao kujua yaani wanashushwa hotelini halafu tingo wanahamisha mizigo kwenye bas la aina hiyo hiyo KWA siti zile zile!

Wakifika malawi au Botswana wanapanda kingine KABISA!!hivo hivo!!
Hiyo tabia walikuwa nayo wakenya na mabasi yao ya Akamba Roadways.

Ila kwa hizi chuma sidhani kama watafanya hivyo na hata kama watafanya itakuwa lazima mjulishwe, yaani ni lazima mjulishwe kuwa kituo flani tutabadirisha bus.
 
1. One-way R2500 (bus) Vs one-way R3,500 (ndege). Abiria Utajipima kama usafir siku 3 au masaa machache Joburg to Dar
2. Route haielewek.
 
Back
Top Bottom