Raptor ya petrol ina power ya bhp 288 na torque ya lbs/ft 362. Hii 0-100 ni 7:90 seconds. Ya diesel ina power ya bhp 210 na torque ya lbs/ft 369. Hii 0-100 ni 9 seconds.Mkuu nimeshuhudia juzi ford ranger akimkanda V8 kama imesimama maana Ile ni ford ranger raptor ni hatari sana
Ume factor in weight ya L 200 vs weight ya Ford Ranger?Raptor ya petrol ina power ya bhp 288 na torque ya lbs/ft 362. Hii 0-100 ni 7:90 seconds. Ya diesel ina power ya bhp 210 na torque ya lbs/ft 369. Hii 0-100 ni 9 seconds.
Toyota LC200 (D-4D V8) ina power 264 na torque ya lbs/ft 479. Hii 0-100 ni 8.90 seconds.
Hapa unaona kabisa hilo V8 aidha hakuwa kwenye ligi au dereva mzembe!
Sasa mzee si inategemea unazungumzia BMW na Range Rover gani!Hii gari achana nayo kabisa that Power 409 HP under the hood ni hatari sanaa, barabarani ni kama n..!! Nikikuacha hutaniona tena..!! Top speed 260km/hr, tofauti na BMW or Range Rover ni kwamba LC 300 is very very powerful, yaani kama matairi hayagusi chini, and very very stable barabarani, usipokuwa makini unakuta uko 220km/hr ila gari iko very very stable na utadhania hukimbii sana maana utaona unapita gari zingine kama zimesimama tu, ni kuwa makini sana ukiwa unaendesha LC 300
View attachment 3190313
Or Wald Body KityView attachment 3190317
Kweli. Lakini, hii si itasaidia sana mwanzo tu wakati wa first acceleration? Besides, si tofauti itakuwa balanced na torque kubwa ya LC200? Maana hiyo torque itasaidia kuvuta huo uzito, ama?Ume factor in weight ya L 200 vs weight ya Ford Ranger?
Weight to power ratio nayo inachangia kwenye mwendo.
This might be the worst car accident ever! Dah!Kuna BMW hii ilikuwa mwendo wa ngiri sauzi huko imepiga mzinga mpaka ikakatika, sijui ilikuwa spidi ngapi
View attachment 3190282
View attachment 3190288
Vijana mliosikiliza taarifa za habari enzi za Jacob Tesha, Penzi Nyamungumi! Mko makini. Ha ha ha.Subiri ulambe mueleka, na Mola akunusuru ndo utakuja kuhadithia hizo habari za moto kuotea mbali. Sasa hivi tukifikisha 80km/h akili zinacheza ahhahahahahahaha
Hongera sana. Ila epuka yenye mileage kubwa sana. Ukichukua kama hiyo kwenye picha itakuwa na umri wa miaka 12; hivyo zingatia mileage yake. Kama ni wa masafa chukua diesel engine, utafurahia.
Hahahaha 😆 😆 😆 kitambo sanaa hiyo mkuu...bado naikumbuka Sana gari yangu pendwa carina ti. Gari ngumu ya kuishi nayo ni Carina hasa Sisi wenye kipato cha kuungaungaKaka nakumbuka uzo wako ulisifia Carina TI naona umeonja Subaru Carina unaona hamna kitu 😅
Hilux zinakinbia kawaida Tu hawezi kubishana na ford ranger wala Volkswagen Amarok, Mimi mwenyewe nimebishana naye mmoja akaja kunipita karibu na maaskari Ile Hilux ni ya serikaliVp kuhusu toyota hilux new model ligi anaiweza?
Mada ni subaru ndani ni mixer ya hali ya juu, v8, mazda na ford .Umepiga mle mle hadi nafika mwiisho ni Ford Ranger. Pamoja na kuwa anauza Subaru XT. Watoto wasome saint Kayumba tu
Sijui kama wamekuelewa, mtoa mada hajui kupangilia topic, chain of thoughts haiko sawa.Kichwa cha infinix, USB tecno, earphone samsung, simu Google pixel, cover la iphone.
Huenda Tangazo la biashara mwezi dume huu🤣🤣Mada ni subaru ndani ni mixer ya hali ya juu, v8, mazda na ford .
January kibokoHuenda Tangazo la biashara mwezi dume huu🤣🤣
Nmeeleweka mkuu huku ni ma Great thinkers tu hawashindwi kuelewa hili.Sijui kama wamekuelewa, mtoa mada hajui kupangilia topic, chain of thoughts haiko sawa.