Kuna Njia kibao watu wana Embrace uisilamu sababu ni complete way of life, ila unazi ignore zote na kutunga zako ambazo hazina proof.
Njia gani zile za jela za kuwatoza faini wasio waislamu?
Matabaka Gani? Sehemu zote west utakapokuta waisilamu basi watakua rangi zote na Race zote pamoja, Msikitini pekee ndio utakuta mpiga deki ama mtu dhalili kwenye Society anaongoza swala na watu wa Rangi zote wamepanga safu bega kwa bega mguu kwa mguu wakimuomba mola wao.
Ingekuwa ni hivyo basi waarabu wasingefanya biashara ya kununua watumwa.
Na mbaya zaidi hata hao watumwa baada ya kuwatumia na kukamilisha malengo yao mostly waliwafanyia ukatili kwa kuwahasi wasiweze ku spread black race kwenye nchi zao.
Source
Atlanta blackstar
Hapa chini ni picha iliyopigwa 1896 ikionesha Meli iliyobeba kundi la watumwa ambao bado ni vijana wadogo kiumri. Hao wote walienda kuhasiwa
So unachokiona saizi kuwa waislamu wanakaa pamoja na race zote ni countinuation of hypocrisy.
View attachment 2689013
Hotuba ya mwisho ya Mtume ambao ni kama wosia wa kiisilamu jambo kubwa tulilousiwa hakuna binadamu ambaye yupo juu ya binadamu mwengine isipokua Uchamungu, Mweupe sio superior kwa mweusi wala mweusi sio superior kwa mweupe.
Huyo mtume si ndio aliyetoa amri kwenye hadithi zake kiwa wale wanaotoka kwenye Uislamu wachinjwe?
Nenda msikiti ama Community yoyote ya kiisilamu ambayo inafuata Main Body ya uisilamu Sunni, nioneshe matabaka.
Unachoshindwa kutambua ni kitu kimoja
Ni kwamba watu hatuujaji ubudha, tunaangalia namna Buddhist wanavyo behave katika maisha.
Hatufungui Biblia kujua wakristo wanaishije, tuna observe kupitia kwenye community kujua Ukristo unafundisha nini.
This is not about reading scriptures
So watu hawahitaji kwenda misikitini kuangalia Quran inasemaje, watu wanawaangalia nyie.
- Nchi za kiislamu zinaukandamizaji mkubwa wa haki za kibinadamu.
- Nchi za kiislamu zinatoa watu wengi wenye matukio ya kihalifu
- Nchi za kiislamu zina makundi mengi ya kigaidi ambayo malengo yao ni kutaka ulimwengu wote waamini dini moja ya kiislamu pekee.
Kwa hiyo unavyosema twende msikitini mi naona huo msikiti ni kama mask iliyoficha sura zenu halisi.
Uisilamu pia unafundisha kutowapenda waisilamu, tatizo lenu baada ya kujifunza uisilamu kwenye 1st party mnaujua tu juu juu
Msome huyu professor wa Austin ana video nyingi sana za Historia ya uisilamu, ni More credible kuliko Random person utakayemkuta internet
Sidhani kama kuna haja hata ya kumsoma professor wakati maandishi ya Quran tu yanasema Muislamu ndugu yake ni Muislamu na hivyo asiye Muislamu ni kafiri.
Na ndio maana kuna apostasy law iwapo Muislamu atabadili dini kuacha Uislamu kwenda dini nyingine.
Proof kwamba waisilamu wa Mecca wanawachukia wa Yemen?
2015 Nchi tukufu ya Saudi ilirudha makombora yake na kuua maelfu ya raia wa Yemen
Linki hii hapa
BBC
Bado kuna Iraq na Kuwait
Saudi na Iran (wamepatana juzi tu hapo)
Morroco na Algeria
Bangladesh na Pakistan
Zipo nyingi
Hakuna kitu kama Suicide kwenye Uisilamu popote pale, waisilamu bilioni 2 wanngekua ni suicide bomber kusingebaki hata chembe ya kiumbe hai.
Soma hapa data zinaonesha kuwa nchi zenye idadi kubwa ya waislamu matukio ya kujitoa mhanga mengi yameshuhudiwa.
Na nchi zenye idadi kubwa ya waislamu wa dhehebu la sunni nazo zimeripotiwa kuwa na matukio mengi ya mashambulio yanayotokana na kujitoa mhanga.
Na nchi zenye idadi kubwa ya waislamu wa dhehebu la hanafi nao imekuwa na kawaida ya kuwa na matukio ya watu kujitoa mhanga.
Soma hapa wameweka na rekodi za matukio
oxford academic
Boko Haram, ISIS, Al Shabaab, Al Qaeda nk.
Kind of religion that spread by sword
Hii imeshakua debunk mara kibao ila kila siku unaiona tena,
Imekuwa debunked na nani?
Angalia hii graph ya mahsmbulizi yaliyofanywa na magaidi wa kiislamu.
Kwa Hio Marekani akalipue Syria, Afghanistan, Iraq halafu hao watu wakiwa wakimbizi ni kosa la uisilamu?
Mbona hatuoni wasaudi, Wa Oman, Dubai, Qatar wakikimbia nchi zao?
Kama unaona Marekani ndio aliilipua Syria na kuitaja Saudi kama taifa lenye kupenda amani naomba uniambie ni sababu gani zilizopelekea mpaka Saudi kuwapa silaha wapinzani wa Syria kipindi cha Syrian war 2011?
Na kama Syria walilipuliwa na Marekani kwanini migrants hawakwenda Saudi kutafuta hifadhi badala yake walienda West kwenye mataifa yenye ushirika mkubwa na Marekani???
Anyway mkuu tumetoka nje ya mada mno, ningeomba turudi kwenye mstari.
Kusoma link za kulipia tumia opera mini
Hii screenshot kwenye Article ikionesha asilimia 25 ya waisilamu Marekani ni sababu ya kubadili dini
View attachment 2689034
Mi niko ndani ya mada afu natumia Chrome na Edge