Pre GE2025 Aliyefukuzwa CCM baada ya kupinga Rais Samia kupitishwa mgombea pekee urais agoma kuondoka CCM

Pre GE2025 Aliyefukuzwa CCM baada ya kupinga Rais Samia kupitishwa mgombea pekee urais agoma kuondoka CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hayo majitu ya ccm yote ni majinga majinga.
 

View: https://youtu.be/oBNyN8ncqiI?si=ZIyk5CUcoD3-qrAb

➡Anasema, hajui na wala hatambui kama amefukuzwa uanachama wa CCM...

➡Hakupinga kuteuliwa kwa Samia kuwa mgombea u - Rais bali anapinga mchakato wa uteuzi wake kwa kuwa haukufuata utaratibu wa kikatiba na hivyo katiba imevunjwa..

➡Amewahimiza wana CCM wote wanaotaka kugombea u - Rais kwenda kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwa wagombea u - Rais kufanya hivyo maana kilichofanyika Dodoma tarehe 19/1/2025 ni ubatili mtupu kikatiba...

➡Mwisho, amemaliza kwa kuahidi kumpeleka mahakamani katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro kwa kumuita "mhaini" eti tu kwa kupinga mchakato batili wa kumteua Bi Samia kuwa mgombea u - Rais pekee bila kufuata utaratibu wa kujaza fomu na kusimama mbele ya mkutano mkuu kuomba kuteuliwa ili akathibitishe huo uhaini wake pamoja na kumsafisha..

➡Ameendelea kushikilia msimamo wake kutaka mchakato wa uteuzi wa mgombea u - Rais CCM urudiwe kwa sbb ule ulikuwa batili kikatiba. Hakuna utamaduni wa kumteua mgombea u Rais ndani ya CCM kwa azimio tu. Hakuna utaratibu wala utamaduni huo..


Watu determine Kama hawa labda uwateke, wanaweza Kuwa chachu ya mageuzi
 

View: https://youtu.be/oBNyN8ncqiI?si=ZIyk5CUcoD3-qrAb

➡Anasema, hajui na wala hatambui kama amefukuzwa uanachama wa CCM...

➡Hakupinga kuteuliwa kwa Samia kuwa mgombea u - Rais bali anapinga mchakato wa uteuzi wake kwa kuwa haukufuata utaratibu wa kikatiba na hivyo katiba imevunjwa..

➡Amewahimiza wana CCM wote wanaotaka kugombea u - Rais kwenda kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwa wagombea u - Rais kufanya hivyo maana kilichofanyika Dodoma tarehe 19/1/2025 ni ubatili mtupu kikatiba...

➡Mwisho, amemaliza kwa kuahidi kumpeleka mahakamani katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro kwa kumuita "mhaini" eti tu kwa kupinga mchakato batili wa kumteua Bi Samia kuwa mgombea u - Rais pekee bila kufuata utaratibu wa kujaza fomu na kusimama mbele ya mkutano mkuu kuomba kuteuliwa ili akathibitishe huo uhaini wake pamoja na kumsafisha..

➡Ameendelea kushikilia msimamo wake kutaka mchakato wa uteuzi wa mgombea u - Rais CCM urudiwe kwa sbb ule ulikuwa batili kikatiba. Hakuna utamaduni wa kumteua mgombea u Rais ndani ya CCM kwa azimio tu. Hakuna utaratibu wala utamaduni huo..


“Tutaenda mpaka tutafika Mahali” -

Hayupo mwenyewe huyu! Nilikuwa naamini Anguko la Ccm linakuja, nilikuwa nautafuta mlango, ninaanza kuuona’!!!!!
 
Mzee katema madini ya maana sana, na yupo smart sana upstairs.

The main problem with this country chini ya sisiem ni kuwa watu smart hawatakiwi, na wengi wao huko juu walishabandikwa jina la uhaini
 
Pengine huyo Mchungaji ni moja ya wana ccm wachache sana wanao jielewa na wenye akili timamu lakini bahati mbaya sana kwake watu wa aina yake ni maadui wakubwa sana wa ccm kwa sababu wao mtaji wao ni watu wapumbavu, wajinga wajinga wasiojielewa na wanao pelekwa kama bendera kwa sababu hawawezi kuhoji na hawana uwezo wa kutengeneza hoja kama alivyo yule mzee wao anaefanana na nyati
 

View: https://youtu.be/oBNyN8ncqiI?si=ZIyk5CUcoD3-qrAb

➡Anasema, hajui na wala hatambui kama amefukuzwa uanachama wa CCM...

➡Hakupinga kuteuliwa kwa Samia kuwa mgombea u - Rais bali anapinga mchakato wa uteuzi wake kwa kuwa haukufuata utaratibu wa kikatiba na hivyo katiba imevunjwa..

➡Amewahimiza wana CCM wote wanaotaka kugombea u - Rais kwenda kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwa wagombea u - Rais kufanya hivyo maana kilichofanyika Dodoma tarehe 19/1/2025 ni ubatili mtupu kikatiba...

➡Mwisho, amemaliza kwa kuahidi kumpeleka mahakamani katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro kwa kumuita "mhaini" eti tu kwa kupinga mchakato batili wa kumteua Bi Samia kuwa mgombea u - Rais pekee bila kufuata utaratibu wa kujaza fomu na kusimama mbele ya mkutano mkuu kuomba kuteuliwa ili akathibitishe huo uhaini wake pamoja na kumsafisha..

➡Ameendelea kushikilia msimamo wake kutaka mchakato wa uteuzi wa mgombea u - Rais CCM urudiwe kwa sbb ule ulikuwa batili kikatiba. Hakuna utamaduni wa kumteua mgombea u Rais ndani ya CCM kwa azimio tu. Hakuna utaratibu wala utamaduni huo..

Ameshafukuzwa anajifariji Kwa maumivu 😂😂
 
“Tutaenda mpaka tutafika Mahali” -

Hayupo mwenyewe huyu! Nilikuwa naamini Anguko la Ccm linakuja, nilikuwa nautafuta mlango, ninaanza kuuona’!!!!!
Locuta causa Finita ! Hiyo ni kwa kilatini lakini 🙄 !

Ngoja Tusubiri tuone kwa CCM inatafsirikaje !! 😳 !
 
huyu mzee kuna anachokitafuta anadhani chadema au vyama vingine vitamsaidia yakimkuta huyu anakesi za kujibu muda si mrefu anataka kuwapa shida tu nduiguzake kuja kumuangalia magereza mwaka mzima
 
huyu mzee kuna anachokitafuta anadhani chadema au vyama vingine vitamsaidia yakimkuta huyu anakesi za kujibu muda si mrefu anataka kuwapa shida tu nduiguzake kuja kumuangalia magereza mwaka mzima
Freedom of expression ??!
Au ???! 😳
 

View: https://youtu.be/oBNyN8ncqiI?si=ZIyk5CUcoD3-qrAb

➡Anasema, hajui na wala hatambui kama amefukuzwa uanachama wa CCM...

➡Hakupinga kuteuliwa kwa Samia kuwa mgombea u - Rais bali anapinga mchakato wa uteuzi wake kwa kuwa haukufuata utaratibu wa kikatiba na hivyo katiba imevunjwa..

➡Amewahimiza wana CCM wote wanaotaka kugombea u - Rais kwenda kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwa wagombea u - Rais kufanya hivyo maana kilichofanyika Dodoma tarehe 19/1/2025 ni ubatili mtupu kikatiba...

➡Mwisho, amemaliza kwa kuahidi kumpeleka mahakamani katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro kwa kumuita "mhaini" eti tu kwa kupinga mchakato batili wa kumteua Bi Samia kuwa mgombea u - Rais pekee bila kufuata utaratibu wa kujaza fomu na kusimama mbele ya mkutano mkuu kuomba kuteuliwa ili akathibitishe huo uhaini wake pamoja na kumsafisha..

➡Ameendelea kushikilia msimamo wake kutaka mchakato wa uteuzi wa mgombea u - Rais CCM urudiwe kwa sbb ule ulikuwa batili kikatiba. Hakuna utamaduni wa kumteua mgombea u Rais ndani ya CCM kwa azimio tu. Hakuna utaratibu wala utamaduni huo..

Watamteka
 
Back
Top Bottom