mikogo mia
Member
- Oct 10, 2019
- 87
- 82
bodaboda tu,wote watoa huduma za usafiri iwe daladala ,taxi,bajaj hata hao bodaboda wana matatizo RU barabarani labda asili ya kazi zao.Hivi ni kwanini huwa hawasikii tu hawa?
Kwa sababu ana hisia na moyo kama binadamu wengineKwa uandishi wako huwa nadhani wewe ni mwamba,jemedari na jasiri sana. Ila kwa hilo la kutoka baru/nduki nakuvua vyeo.
Semeni yote ila Jana nilitoka Baru kweli.Mimi nipepunguza vyeo vyake pia, huyu mwamba nilijua hata mbinu za medani anazijua na kumsambaratisha mtu ubongo ni kitu cha kawaida, sasa kukimbia eneo la tukio bila kukusanya taarifa za kiintelijsensia inaleta ukakasi kwenye vyeo nilivyokuwa naamini anavyo
Ni 'Zana' ambayo sipendi inikose kabisa.Mzee unagongea Hadi condoms[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Endelea Kunitibua nikujibu Kunya sawa?Wewe si umesema unaogopa majeruhi/maiti!?
Au hapo mlikuwa 'location' mkiigiza.
Nini Colonel hata Private poa tu Wakuu.Hahahahah genta le generale tunakushusha Hadi kwenye ukanali .
Huenda wanadhani Mimi ni Nyati Mkuu.Kwa sababu ana hisia na moyo kama binadamu wengine
Huna lolote wewe..kujibu kunya ni hiari yako na kisimu chako mkononi.Endelea Kunitibua nikujibu Kunya sawa?
Nimekuita katika 'Uzi' huu? You're a Pig.Huna lolote wewe..kujibu kunya ni hiari yako na kisimu chako mkononi.
Hebu jibu hiyo kunya yako nione.
Boda boda wana kituo chao pale goig kama unaenda tegeta kipo kushoto.Siyo Mzoefu sana wa hilo eneo kwani nilikuwa naenda ' Kumbandua ' Demu Mmoja na baada ya Tukio hilo hata ' Nyege ' zenyewe nazo zilinikimbia Mwilini na nikageuza nilipotoka.
Nadhani panaitwa sijui kwa Mpemba ambapo kutoka hapo na ile Kona ya Kuelekea Massana Hospital siyo mbali na pia kuna ATM ya CRDB na panaonekana pia ni ' Ushuani ' fulani hivi.
nilikuwepo inatisha sana maana mdau alikua anatoka damu puani na mdomoni kwa kifupi amekufa kwa mateso sana mpaka inasikitisha aise na inasemekana alianguka mwenyewe bila kuguswa na gari yeyote.
Najitahidi mno 'Kuwaelimisha' hawasikii.Boda wengi wanaendesha hizo pikipiki kana kwamba hawana wazazi. Yaani kama wao hawajali maisha yao, basi wangejali kuwa wana wazazi wao ambapo wakifa wataawaachia majonzi. Very Sad
Mkuu Jamaa itakuwa ' aligongwa ' jana.Kwahiyo alijiangusha
Hebu acha 'Kujikomba' ili nikupe Kiki JF.Hili ndio jibu la 'kunya' ?😅
Leo nachekwa kutoka 'Baru' kuona Ajali.Aah sikushangai kukimbia, mie nilishuhudia ajali ya boda boda na nilikuwa nakwenda dukani. Walah nilisahau hata nilikokuwa nakwenda nikajikuta nyumbani hata sijielewi. Kushuhudia mwili uliopata ajali tena ajali mbaya sio kitu rahisi lazima akili ivurugike kidogo.
Kawaida sana.Leo nachekwa kutoka 'Baru' kuona Ajali.
Natuma video ya iyo ajali mkuu au jf hawaruhusu?Leo nachekwa kutoka 'Baru' kuona Ajali.