Aliyekiri kulawitiwa afungwa jela miaka 30

Aliyekiri kulawitiwa afungwa jela miaka 30

Mahakama ya Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara imemhukumu kifungo cha miaka 30 Jela, Selemani Mustafa Mtipa maarufu kama Sele Mkazi wa Wilaya hiyo kutokana na kumtia hatiani baada ya kukiri kutenda kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.

Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mwandamizi/Mfawidhi Innocent Sotter mbele ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Salehe Manga baada ya Mshtakiwa kukiri kutenda kosa hilo, kwa nyakati tofauti baada ya kuruhusu Wanaume mbalimbali kumuingilia kinyume na maumbile.

Mshitakiwa huyo ameadhibiwa kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile kinyume na kifungu 154(1) (c) cha kanuni ya adhabu sura na 16 iliyofanyiwa marejeo ya mwaka 2022.

Baada ya Mshtakiwa Selemani kutiwa hatiani upande wa mashtaka haukuwa na kumbukumbu ya makosa ya awali lakini waliomba Mahakama imuadhibu kwa mujibu wa kifungu cha 154 cha kanuni ya adhabu ili iwe fundisho kwake na onyo kwa Jamii nzima kwa kuwa vitendo hivyo vimekuwa vikiongezeka na kusababisha mmomonyoko wa maadili.

Aidha Mshtakiwa alipewa nafasi ya kujitetea ambapo aliiomba Mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa atajirekebisha, Washitakiwa wengine wawili walikana kutenda makosa kama hayo a kurudishwa rumande baada ya kukosa Wadhamini na shauri lao litaendelea March 27, 2023 kwa chambuzi wa hoja za awali.

Chanzo: Millard Ayo
Mabilion tunaibiwa kila mwaka yenye madhara ya kudumaza maendeleo ya Watanzania milioni 60 bila kuwachukulia hatua yoyote badala yake tunafuatilia mambo yanayotendeka faraghani. Ni aibu kwa vyombo vyetu vya usalama.
 
Mahakama ya Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara imemhukumu kifungo cha miaka 30 Jela, Selemani Mustafa Mtipa maarufu kama Sele Mkazi wa Wilaya hiyo kutokana na kumtia hatiani baada ya kukiri kutenda kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.

Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mwandamizi/Mfawidhi Innocent Sotter mbele ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Salehe Manga baada ya Mshtakiwa kukiri kutenda kosa hilo, kwa nyakati tofauti baada ya kuruhusu Wanaume mbalimbali kumuingilia kinyume na maumbile.

Mshitakiwa huyo ameadhibiwa kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile kinyume na kifungu 154(1) (c) cha kanuni ya adhabu sura na 16 iliyofanyiwa marejeo ya mwaka 2022.

Baada ya Mshtakiwa Selemani kutiwa hatiani upande wa mashtaka haukuwa na kumbukumbu ya makosa ya awali lakini waliomba Mahakama imuadhibu kwa mujibu wa kifungu cha 154 cha kanuni ya adhabu ili iwe fundisho kwake na onyo kwa Jamii nzima kwa kuwa vitendo hivyo vimekuwa vikiongezeka na kusababisha mmomonyoko wa maadili.

Aidha Mshtakiwa alipewa nafasi ya kujitetea ambapo aliiomba Mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa atajirekebisha, Washitakiwa wengine wawili walikana kutenda makosa kama hayo a kurudishwa rumande baada ya kukosa Wadhamini na shauri lao litaendelea March 27, 2023 kwa chambuzi wa hoja za awali.

Chanzo: Millard Ayo
Mbona aliyemlawiti na yeye hajashitakiwa, wala kuhukumiwa kifungo ili kutoa funzo kwa watu wenye hizo tabia?

cocastic una cha kujifunza hapa.
 
Huku Zanzibar Gereza wanaita chuo Cha mafunzo maana yake ukifungwa ukatumikia kifungo ukaja kutoka basi serikali inategemea ubadilike na ndio thima au lengo la kwenda jera sasa kwa hii scenario ya bwana Selemani sidhani kama miaka 30 ni fundisho kwake sana sana wanaenda kumkomaza awe konk zaid,nadhani Kuna umuhimu wa kuangalia namna nyingine Bora ya ku deal na Hawa watu wa Upinde.

ONYO: SIUNGI MKONO USHOGA NA USAGAJI
 
Hata ya wanawake hakuna usalama kwake na kwa hao wanawake atakaokuwa nao jela.

Pengine patahitajika kuwepo jela mahsusi kwa jamii ya watu kama hawa
Ni kweli, inasemekana kuwa huko amerika, ilitokea hawa wanaume wanaoamua wawe identified kama wanawake na wanajibadili kwa kujiwekea matiti ila mashine inafanya kazi, ilitokea akafungwa kwenye gereza la wanawake baada ya muda aliwatia mimba wanawake watatu kwa mpigo.

Sasa sijui ni kweli au chai.
 
Huku Zanzibar Gereza wanaita chuo Cha mafunzo maana yake ukifungwa ukatumikia kifungo ukaja kutoka basi serikali inategemea ubadilike na ndio thima au lengo la kwenda jera sasa kwa hii scenario ya bwana Selemani sidhani kama miaka 30 ni fundisho kwake sana sana wanaenda kumkomaza awe konk zaid,nadhani Kuna umuhimu wa kuangalia namna nyingine Bora ya ku deal na Hawa watu wa Upinde.

ONYO: SIUNGI MKONO USHOGA NA USAGAJI
Maadam watu hawa wapo miongoni mwa jamii; na wala hawakuanza leo, ni dhahiri kwamba kutakuja wakati jamii italazimika tu kuwavumilia. Hili ni swala la muda tu, ni lini jamii itakuwa tayari kuwavumilia.

Ni vigumu sana kuzuia jambo lililomo ndani ya jamii.
 
Maadam watu hawa wapo miongoni mwa jamii; na wala hawakuanza leo, ni dhahiri kwamba kutakuja wakati jamii italazimika tu kuwavumilia. Hili ni swala la muda tu, ni lini jamii itakuwa tayari kuwavumilia.

Ni vigumu sana kuzuia jambo lililomo ndani ya jamii.
Hapana haitakiwi kuvumiliwa hii Hali bali itafutwe njia nzur ya ku deal nao ikiwemo kunyongwa.
 
Hapana haitakiwi kuvumiliwa hii Hali bali itafutwe njia nzur ya ku deal nao ikiwemo kunyongwa.
Unaamini "kunyonga" kutawaondoa wote, au itakuwa ni njia tu ya kuwaficha?

Itungwe sheria ya kuzuia wasijitangaze? Wafanye mambo yao kimya kimya, mbona siku zote wamekuwepo lakini hapakuwepo na kelele nyingi dhidi yao?

Wanachoharibu sasa hivi ni kujitokeza waziwazi ili na wao jamii iwatambue.
 
Back
Top Bottom