Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hamna ushauri wangempa akasikia sana-sana ungekuta wanaendelea kumtoboa spikaWangemwacha uraiani apewe ushauri wa utaratibu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna ushauri wangempa akasikia sana-sana ungekuta wanaendelea kumtoboa spikaWangemwacha uraiani apewe ushauri wa utaratibu tu
Mi siku zote hua najua ni mdada tu, Kuna ile dp aliyoitoa nilikua napenda kuichunguliaUtasababisha ahame mtaa 😂😂😂
Haha hakuna mdada paleMi siku zote hua najua ni mdada tu, Kuna ile dp aliyoitoa nilikua napenda kuichungulia
Alafu anavyochat na wadada wa huku unaweza Kuta unaimbisha pm unakuta Kukutana na kidume
Misijui mkuu...🤷♂️Kwahiyo akienda jela ndio ataacha ushoga?
#YNWA
Nachojua na pia nachoona Kesho Yanga wanakibarua kikubwaa kujibu mapigo ya Simba.Misijui mkuu...🤷♂️
Au weunaonaje...🤔
Mkuu ame mind hilo jamaa kwenda kula chakula bure, huwa nasikiq hilo kabila wanapenda walikwann?,😊
Ukishasema jamii ya watu kama Hawa" manake umesapoti ushoga tayarHata ya wanawake hakuna usalama kwake na kwa hao wanawake atakaokuwa nao jela.
Pengine patahitajika kuwepo jela mahsusi kwa jamii ya watu kama hawa
Alafu akawape Mimba kwa mpigohuko jela atagombewa sana. landa afungwe ya wanawake kama akiminywa
Watanzania wengi hawajawahi kanyaga magerezaNimeona comment za wengi hapa nadhani mna sikia tu stori za mtaani lakini hata maisha ya gerezani hamyajui kabisa
Gerezani hakuna kosa linaogopeka kama 'kupigana miti' aisee msiombe mkutwe na hili kosa mtajuta maisha yenu yote ya gerezani, hata wanaofanya ni kwa Siri sana na wanakua wamekubaliana, mambo ya kulazimishana hakuna
Katika harakati za kitafutaji nimeshawahi kukaa wiki 6 huko so naelewa haya mambo, kuna jamaa alikua anajifanya Mende alimuomba mwenzake Tako jamaa akaenda kumripoti, hapo kamuomba tu kiroho safi bila hata kumlazimisha
Aisee jamaa akawa isolated mkuu wa magereza akawaamuru askari wake baada ya kusign shift ya kuripoti kazini Kila askari anamlamba jamaa aliyeomba Tako virungu vitano vya ugoko, jamaa alipigwa virungu ikafika mahali wakawa hawampigi tena wakimuona wanacheka tu wanamwambia we mfiraji tutakua
Jamaa alirudi hawezi hata kutembea miguu imetepeta, sasa fikiria hapo no kosa la kuomba Tako tu hata hajapewa
Jela hakuna ujinga wa kulana ovyo labda mpende wenyewe tena mjifiche hasa ila ukija mtaani watu wanadhani jela ni mwendo wa kulana kimasihara tu
Waliomlawiti wamekana kosa so wamerudishwa rumande.yy alikiri kuingiliwa na wanaume tofautitofauti so ilibidi asomewe vifungu vya sheria akaanze kunyea debe.Vzuri sana, na hao walokua wakimlawiti angewataja pia
Vzuri sana.Waliomlawiti wamekana kosa so wamerudishwa rumande.yy alikiri kuingiliwa na wanaume tofautitofauti so ilibidi asomewe vifungu vya sheria akaanze kunyea debe.
Waseme tu wamemhukumu Shoga😅😅😅Mahakama ya Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara imemhukumu kifungo cha miaka 30 Jela, Selemani Mustafa Mtipa maarufu kama Sele Mkazi wa Wilaya hiyo kutokana na kumtia hatiani baada ya kukiri kutenda kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mwandamizi/Mfawidhi Innocent Sotter mbele ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Salehe Manga baada ya Mshtakiwa kukiri kutenda kosa hilo, kwa nyakati tofauti baada ya kuruhusu Wanaume mbalimbali kumuingilia kinyume na maumbile.
Mshitakiwa huyo ameadhibiwa kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile kinyume na kifungu 154(1) (c) cha kanuni ya adhabu sura na 16 iliyofanyiwa marejeo ya mwaka 2022.
Baada ya Mshtakiwa Selemani kutiwa hatiani upande wa mashtaka haukuwa na kumbukumbu ya makosa ya awali lakini waliomba Mahakama imuadhibu kwa mujibu wa kifungu cha 154 cha kanuni ya adhabu ili iwe fundisho kwake na onyo kwa Jamii nzima kwa kuwa vitendo hivyo vimekuwa vikiongezeka na kusababisha mmomonyoko wa maadili.
Aidha Mshtakiwa alipewa nafasi ya kujitetea ambapo aliiomba Mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa atajirekebisha, Washitakiwa wengine wawili walikana kutenda makosa kama hayo a kurudishwa rumande baada ya kukosa Wadhamini na shauri lao litaendelea March 27, 2023 kwa chambuzi wa hoja za awali.
Chanzo: Millard Ayo
BAbu mambo 🤭Sinto shangaa kuona kuna watu watakuja kumtetea na kuilaumu mahakama.
Mkuu, kwani hawapo?Ukishasema jamii ya watu kama Hawa" manake umesapoti ushoga tayar
Mambo kwa Yesu... 😊BAbu mambo 🤭
Huyo nahisi ana maslahi na ushoga maana yeye anatukana kila mmoja anayelaumu Vitendo vyaoPole aisee, naona stress zinakuua mdogo mdogo.