Aliyekiri kulawitiwa afungwa jela miaka 30

Aliyekiri kulawitiwa afungwa jela miaka 30

Nilikuwa nakuheshimu sana, kumbe nawewe umewahi kufanya makosa ya kwenda jela [emoji15]
Sikufungwa mkuu, nilikaa mahabusu siku 28.
By the way.... hata wanao heshimika na mamlaka, makasisi na watu wengine weeengi wamewahi kukaa jela mkuu.
Jela haina mwenyewe na ukibisha kamuulize Rugemalila, Seth, Mandela, Kambona, Rage, Sabaya, Mbowe, Lema nakadhalika nakadhalika
 
Wawakamate Wawapime wote kina James kama kuna ushaidi wameingiliwa na hawakuripoti polisii WAFUNGWEE.
 
Kosa lake nn? Na je kumsukumia ndani ndiyo kutamfanya aache hiyo tabia?

Kwann wasikamatwe waliomwingilia (mabasha)? Hawa ndiyo wabaya sana
Ye alikuwa anataka kufirwa mwenyewe
 
Huko ndio atakuwa anapigwa mashine hadi Hadi afurahi mwenyewe
 
Wanampeleka gerezani akasambaze Ukimwi hapo hawajajali afya za wafungwa wameona bora wakapate madhara walio jela ingewekwa hukumu ngumu...
 
Wanampeleka gerezani akasambaze Ukimwi hapo hawajajali afya za wafungwa wameona bora wakapate madhara walio jela ingewekwa hukumu ngumu...
Kwa mtu aliyewahi kukaa jela za bongo hawezi andika hivi. Na Kama hujui utaratibu upoje kwa nn useme hivi?
Hao huwa wana cell zao na hawachanganywi, pia huwa wanafatilia sana. Mnafikiri jela watu wanageuzana tu kirahisi?

Wanaofirwa jela bongo huwa ni wale wanaume mashababi, maana ni ngumu kuwagundua. Msifikiri maaskari magereza ni wajinga wawaweke Mashoga cell moja na wanaume wengine
 
Kwa mtu aliyewahi kukaa jela za bongo hawezi andika hivi. Na Kama hujui utaratibu upoje kwa nn useme hivi?
Hao huwa wana cell zao na hawachanganywi, pia huwa wanafatilia sana. Mnafikiri jela watu wanageuzana tu kirahisi?

Wanaofirwa jela bongo huwa ni wale wanaume mashababi, maana ni ngumu kuwagundua. Msifikiri maaskari magereza ni wajinga wawaweke Mashoga cell moja na wanaume wengine
Mimi huwa natembelea jela kwa kutoa misaada sijaanza jana sijui kama ntaweza kuhadithiwa kitu sijui...
 
Kuna hao ngedere wa3 hapo mjini wanajiuza live,
Noel, Aggrey + jumalokole na james delicios hawa wapigwe miaka 30 pia wapotee
 
Kosa lake nn? Na je kumsukumia ndani ndiyo kutamfanya aache hiyo tabia?

Kwann wasikamatwe waliomwingilia (mabasha)? Hawa ndiyo wabaya sana
Kakili kosa wenzie wame kana hacha akomeshwe
 
Kuna miaka flani niliwahi kukaa gereza la butimba, hawa mshoga niliona wanatengwa na wanakua kwenye mahabusu zao tofauti na wengine. Pia walikua wanalindwa 24/7
Kumbe hata gerezani kuna mashoga
 
Back
Top Bottom