Aliyekiri kulawitiwa afungwa jela miaka 30

Aliyekiri kulawitiwa afungwa jela miaka 30

Lakini si nasikia wanasimamisha? Je hawawezi tusuana mashoga kwa mashoga? Nasikia Polisi wa Zanzibar anadindisha, halafu wakati anafanywa akaomba akojoleshwe. Sijaiona hiyo video
Mh mh zaidi ya mkosi
 
hivi mwanaume anaingiliwa kinyume na maumbile? kiswahili hakijakaa vizuri mwanaume hana sehemu ya kuiingiliwa kimwili , mwanaume analawitiwa
Kiswahili ni kufirwa kurawiti kiarabu
 
Nimeona comment za wengi hapa nadhani mna sikia tu stori za mtaani lakini hata maisha ya gerezani hamyajui kabisa

Gerezani hakuna kosa linaogopeka kama 'kupigana miti' aisee msiombe mkutwe na hili kosa mtajuta maisha yenu yote ya gerezani, hata wanaofanya ni kwa Siri sana na wanakua wamekubaliana, mambo ya kulazimishana hakuna

Katika harakati za kitafutaji nimeshawahi kukaa wiki 6 huko so naelewa haya mambo, kuna jamaa alikua anajifanya Mende alimuomba mwenzake Tako jamaa akaenda kumripoti, hapo kamuomba tu kiroho safi bila hata kumlazimisha

Aisee jamaa akawa isolated mkuu wa magereza akawaamuru askari wake baada ya kusign shift ya kuripoti kazini Kila askari anamlamba jamaa aliyeomba Tako virungu vitano vya ugoko, jamaa alipigwa virungu ikafika mahali wakawa hawampigi tena wakimuona wanacheka tu wanamwambia we mfiraji tutakua

Jamaa alirudi hawezi hata kutembea miguu imetepeta, sasa fikiria hapo no kosa la kuomba Tako tu hata hajapewa

Jela hakuna ujinga wa kulana ovyo labda mpende wenyewe tena mjifiche hasa ila ukija mtaani watu wanadhani jela ni mwendo wa kulana kimasihara tu
Ndio maana mse7 katunga sheria kifungo maisha
 
Sisi hukumu yetu mfanyaji na mfanywaji kahama ni kifo
 
Mabilion tunaibiwa kila mwaka yenye madhara ya kudumaza maendeleo ya Watanzania milioni 60 bila kuwachukulia hatua yoyote badala yake tunafuatilia mambo yanayotendeka faraghani. Ni aibu kwa vyombo vyetu vya usalama.
Ulita achwe hili iweje?
 
Huku Zanzibar Gereza wanaita chuo Cha mafunzo maana yake ukifungwa ukatumikia kifungo ukaja kutoka basi serikali inategemea ubadilike na ndio thima au lengo la kwenda jera sasa kwa hii scenario ya bwana Selemani sidhani kama miaka 30 ni fundisho kwake sana sana wanaenda kumkomaza awe konk zaid,nadhani Kuna umuhimu wa kuangalia namna nyingine Bora ya ku deal na Hawa watu wa Upinde.

ONYO: SIUNGI MKONO USHOGA NA USAGAJI
Huku kwetu gereza sio sehemu ya kumfunza mtu tabia njema bali ni kazi ngumu kipondo kwenda mbele
 
Maadam watu hawa wapo miongoni mwa jamii; na wala hawakuanza leo, ni dhahiri kwamba kutakuja wakati jamii italazimika tu kuwavumilia. Hili ni swala la muda tu, ni lini jamii itakuwa tayari kuwavumilia.

Ni vigumu sana kuzuia jambo lililomo ndani ya jamii.
Ujambazi udokozi mbona atuuvumilii?ingependeza hata hao makahaba wakafungwa kila nyumba watoto hawana baba
 
Akipelekwa jera ya wanaume huko si ndo anaenda kugombaniwa kabisa
 
Nimeona comment za wengi hapa nadhani mna sikia tu stori za mtaani lakini hata maisha ya gerezani hamyajui kabisa

Gerezani hakuna kosa linaogopeka kama 'kupigana miti' aisee msiombe mkutwe na hili kosa mtajuta maisha yenu yote ya gerezani, hata wanaofanya ni kwa Siri sana na wanakua wamekubaliana, mambo ya kulazimishana hakuna

Katika harakati za kitafutaji nimeshawahi kukaa wiki 6 huko so naelewa haya mambo, kuna jamaa alikua anajifanya Mende alimuomba mwenzake Tako jamaa akaenda kumripoti, hapo kamuomba tu kiroho safi bila hata kumlazimisha

Aisee jamaa akawa isolated mkuu wa magereza akawaamuru askari wake baada ya kusign shift ya kuripoti kazini Kila askari anamlamba jamaa aliyeomba Tako virungu vitano vya ugoko, jamaa alipigwa virungu ikafika mahali wakawa hawampigi tena wakimuona wanacheka tu wanamwambia we mfiraji tutakua

Jamaa alirudi hawezi hata kutembea miguu imetepeta, sasa fikiria hapo no kosa la kuomba Tako tu hata hajapewa

Jela hakuna ujinga wa kulana ovyo labda mpende wenyewe tena mjifiche hasa ila ukija mtaani watu wanadhani jela ni mwendo wa kulana kimasihara tu
Uko xawa kabisa Mkuu Nathibitisha Hilo usemalo.... Watu wengi hawapendi kujifunza Mambo na kujisomea kwahiyo wanaishia kusimuliwa tuu kama Waumini wa Mwamposa...

...... Kosa kubwa Gereza lolote Tz ni kufirana ukitoa Kuua ukiwa gerezani...
>>>>>>>>>>>>


Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Huku Zanzibar Gereza wanaita chuo Cha mafunzo maana yake ukifungwa ukatumikia kifungo ukaja kutoka basi serikali inategemea ubadilike na ndio thima au lengo la kwenda jera sasa kwa hii scenario ya bwana Selemani sidhani kama miaka 30 ni fundisho kwake sana sana wanaenda kumkomaza awe konk zaid,nadhani Kuna umuhimu wa kuangalia namna nyingine Bora ya ku deal na Hawa watu wa Upinde.

ONYO: SIUNGI MKONO USHOGA NA USAGAJI
Kiukweli ikiwa uraiyaani likua anapumuliwa kwa hiyali yake... Jela anapenda kua mkee kabixa....Kwakua jela Mambo ya kulazimishana HAKUNA

YEYE KATOLEWA KAFARA IWEW FUNDISHO KWA AMBAO SHERIA HAIJAWATIA Hatiani

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Maadam watu hawa wapo miongoni mwa jamii; na wala hawakuanza leo, ni dhahiri kwamba kutakuja wakati jamii italazimika tu kuwavumilia. Hili ni swala la muda tu, ni lini jamii itakuwa tayari kuwavumilia.

Ni vigumu sana kuzuia jambo lililomo ndani ya jamii.
Ndoo tunakoelekea Broo!!.... wimbi ni kubwa MNO

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Hapana haitakiwi kuvumiliwa hii Hali bali itafutwe njia nzur ya ku deal nao ikiwemo kunyongwa.
Kweli kabisa ni lazima itafutwe suluhu ya kudumu maana kuvumilia hapana kwa kweli.Ingewezekana watafutiwe sehemu maalum ya kufunzwa na cancelling kama ilivyo kwa waathirika wa madawa ya kulevya,maana wengi wameathurika kisaikologia.Na pia itafutwe namna ya kuwakamata hao mabwana zao ili kupunguza tatizo.Kwa kweli inauma Tena inauma mno kuwa na ndugu shoga .Yaan tusikibali kuvumilia tutafute ufumbuzi.
 
Ujambazi udokozi mbona atuuvumilii?ingependeza hata hao makahaba wakafungwa kila nyumba watoto hawana baba
Duh!
Jibu lako kidogo linafikirisha, lakini huoni tofauti kweli kati ya:
Ujambazi na ushoga?
Udokozi na ushoga?

Ujambazi - uharifu anafanyiwa mtu mwingine ambaye hakuafiki afanyiwe huo ujambazi

Hali kadhalika, udokozi, ni mali ya mtu ambaye hakuafiki mali yake idokolewe.

Hili la ushoga, ni watu wawili wanaokubaliana wafanye hilo jambo.

Kama kuna kulazimishana, hapo sasa hakuna tofauti na kulawiti
 
Kweli kabisa ni lazima itafutwe suluhu ya kudumu maana kuvumilia hapana kwa kweli.Ingewezekana watafutiwe sehemu maalum ya kufunzwa na cancelling kama ilivyo kwa waathirika wa madawa ya kulevya,maana wengi wameathurika kisaikologia.Na pia itafutwe namna ya kuwakamata hao mabwana zao ili kupunguza tatizo.Kwa kweli inauma Tena inauma mno kuwa na ndugu shoga .Yaan tusikibali kuvumilia tutafute ufumbuzi.
Aiiseee, hili ulivyoliweka, kwa hakika linaumiza.
Fikiria wewe m-dada, halafu unakuwa na mdogo wako, tena kijana mtanashati kabisa mwenye umbo zuri la kuvutia. Unakuja kuambiwa au unashuhudia mwenyewe kwamba mdogo wako huyo hupakuliwa! Kwamba ndiyo maisha yake yeye aliyochagua kuyaishi! Hili neno "kuchagua" najuwa wahusika watalikataa, wanasema siyo "kuchagua", bali ndivyo walivyoumbwa (walivyotengenezwa?) wawe hivyo?
 
Back
Top Bottom