Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
[emoji23][emoji23] dah!Anafungwa jela ya wanawake au ya wanaume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] dah!Anafungwa jela ya wanawake au ya wanaume?
Acha kuandika ujinga kumtaja taja yesu na hbr zenu za kipuuzi jijga Sana wewYesu amekaribia kuja mikundu ya watu inawasha
We angalia jina lake, huoni dalili hapoPole sana mkuu, naona imekuuma sana
We angalia jina, hawa majamaa kuna viashiria vingi tu vinakuonyesha ni wa upande upiPole sana mkuu, naona imekuuma sana
Unatafuta ugomvi wa wajukuu wa mtumeeMajina haya
Mahakama ya Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara imemhukumu kifungo cha miaka 30 Jela, Selemani Mustafa Mtipa maarufu kama Sele Mkazi wa Wilaya hiyo kutokana na kumtia hatiani baada ya kukiri kutenda kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mwandamizi/Mfawidhi Innocent Sotter mbele ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Salehe Manga baada ya Mshtakiwa kukiri kutenda kosa hilo, kwa nyakati tofauti baada ya kuruhusu Wanaume mbalimbali kumuingilia kinyume na maumbile.
Mshitakiwa huyo ameadhibiwa kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile kinyume na kifungu 154(1) (c) cha kanuni ya adhabu sura na 16 iliyofanyiwa marejeo ya mwaka 2022.
Baada ya Mshtakiwa Selemani kutiwa hatiani upande wa mashtaka haukuwa na kumbukumbu ya makosa ya awali lakini waliomba Mahakama imuadhibu kwa mujibu wa kifungu cha 154 cha kanuni ya adhabu ili iwe fundisho kwake na onyo kwa Jamii nzima kwa kuwa vitendo hivyo vimekuwa vikiongezeka na kusababisha mmomonyoko wa maadili.
Aidha Mshtakiwa alipewa nafasi ya kujitetea ambapo aliiomba Mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa atajirekebisha, Washitakiwa wengine wawili walikana kutenda makosa kama hayo a kurudishwa rumande baada ya kukosa Wadhamini na shauri lao litaendelea March 27, 2023 kwa chambuzi wa hoja za awali.
Chanzo: Millard Ayo
Inasemekana ni mdg ake kazumari jemedari saidHuku Zanzibar Gereza wanaita chuo Cha mafunzo maana yake ukifungwa ukatumikia kifungo ukaja kutoka basi serikali inategemea ubadilike na ndio thima au lengo la kwenda jera sasa kwa hii scenario ya bwana Selemani sidhani kama miaka 30 ni fundisho kwake sana sana wanaenda kumkomaza awe konk zaid,nadhani Kuna umuhimu wa kuangalia namna nyingine Bora ya ku deal na Hawa watu wa Upinde.
ONYO: SIUNGI MKONO USHOGA NA USAGAJI
Jemima usithubutu kamwe! Utakuwa interconnected na mapepo wachafu kukuambukiza roho za kutaka kufanyiwa/kufanya huo ujinga, Mungu akusaidie DadaNifuate nikutumie
Vipi kuhusu jina la mfungwa nilaupande upi sheheWe angalia jina lake, huoni dalili hapo
We angalia jina, hawa majamaa kuna viashiria vingi tu vinakuonyesha ni wa upande upi
hii nayo ni adhabu tosha kama kumkatia supply ya unga teja watiane vidole wenyeweKuna miaka flani niliwahi kukaa gereza la butimba, hawa mshoga niliona wanatengwa na wanakua kwenye mahabusu zao tofauti na wengine. Pia walikua wanalindwa 24/7
Sasa Amber Rutty na yule mume wake kwanini hawakufungwa miaka 30 na ushahidi upo tena wa video?Mahakama ya Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara imemhukumu kifungo cha miaka 30 Jela, Selemani Mustafa Mtipa maarufu kama Sele Mkazi wa Wilaya hiyo kutokana na kumtia hatiani baada ya kukiri kutenda kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mwandamizi/Mfawidhi Innocent Sotter mbele ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Salehe Manga baada ya Mshtakiwa kukiri kutenda kosa hilo, kwa nyakati tofauti baada ya kuruhusu Wanaume mbalimbali kumuingilia kinyume na maumbile.
Mshitakiwa huyo ameadhibiwa kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile kinyume na kifungu 154(1) (c) cha kanuni ya adhabu sura na 16 iliyofanyiwa marejeo ya mwaka 2022.
Baada ya Mshtakiwa Selemani kutiwa hatiani upande wa mashtaka haukuwa na kumbukumbu ya makosa ya awali lakini waliomba Mahakama imuadhibu kwa mujibu wa kifungu cha 154 cha kanuni ya adhabu ili iwe fundisho kwake na onyo kwa Jamii nzima kwa kuwa vitendo hivyo vimekuwa vikiongezeka na kusababisha mmomonyoko wa maadili.
Aidha Mshtakiwa alipewa nafasi ya kujitetea ambapo aliiomba Mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa atajirekebisha, Washitakiwa wengine wawili walikana kutenda makosa kama hayo a kurudishwa rumande baada ya kukosa Wadhamini na shauri lao litaendelea March 27, 2023 kwa chambuzi wa hoja za awali.
Chanzo: Millard Ayo
Nilikuwa nakuheshimu sana, kumbe nawewe umewahi kufanya makosa ya kwenda jela [emoji15]Kuna miaka flani niliwahi kukaa gereza la butimba, hawa mshoga niliona wanatengwa na wanakua kwenye mahabusu zao tofauti na wengine. Pia walikua wanalindwa 24/7
Shida haina adabu.... Magereza ni wote na wewe unasubiriwa....Nilikuwa nakuheshimu sana, kumbe nawewe umewahi kufanya makosa ya kwenda jela [emoji15]