The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Babe tulia wewe acha maswali yenye ukakas jamvini.Mchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
Nyau de adriz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babe tulia wewe acha maswali yenye ukakas jamvini.Mchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
God bless and protect Israel.Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatimizwe.(Luka 22:42)..
Hata Yesu mwenyewe alipata hofu sana kuhusu atakachopitia, binadmu ni binadamu tu...
Serikali ina nguvu mkuu, hadi Mwamposa anaamua kuwa chawa si mchezo..
Palestine zindabad..God bless and protect Israel.
Naona leo unafurahaa baada ya Israel kuachia msosi kwa wingi, hema na mobile homes kuingia Gazza.Palestine zindabad..
Aaaah wapi, huku Palestine ya Gaza msosi tunao wa kutosha chini kwa chini, tunakula tunashiba kuanzia kachori, tende, biryani hadi chips mayai... tukitoka huko mashimoni tunanawa na kujifutamidomo kama hatujala vile, ni kutembeza mjegejo tu, ni mjegejo tu hadi IDF imesalimu amri...Naona leo unafurahaa baada ya Israel kuachia msosi kwa wingi, hema na mobile homes kuingia Gazza.
Sawa baby natulia sirudii tena
HeheheMipango tayari, bado tu utekelezaji. Utasikia anatafutwa na ndugu zake.
Hahaha umenifanya nicheke kwa sauti. Unavituko sana baby😅🤣🤣Sawa baby natulia sirudii tena
HahahaMwamposa si ndio chawa kabisa, bora hata huyu amejitahidi kakosoa kwa kusimamia misingi ya kidini na yeye kama mchungaji kwamba asiseme uongo...
Wewe chizi,Hatakiwi kuogopa. Hana imani huyo
Basi mwambie mchungaji akimbilie UbelgijiWewe chizi,
Mohamad alikimbia maka akaemda madini, Yesu alikimbia kutoka betherehem akaenda Misri uanadhani Mungu hakuwepo nao!
💯%Kuna ulinzi wa Mungu na umakini wako
Sasa si aliyataka mwenyewe analalamika nini?😁Siku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.
Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”
Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama
Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia
View attachment 3240687
Yusufu baba wa kufikia wa Yesu Kristo alimriwa kuikimbia nchi yake kwenda Misri ili kuyaponya maisha ya mtoto Yesu.Mchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu