Pre GE2025 Aliyekosoa uteuzi wa Samia kuwa mgombea Urais ahofia maisha yake

Pre GE2025 Aliyekosoa uteuzi wa Samia kuwa mgombea Urais ahofia maisha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi yule dogo aliyechoma picha,alishapatikana?
 
Naona leo unafurahaa baada ya Israel kuachia msosi kwa wingi, hema na mobile homes kuingia Gazza.
Aaaah wapi, huku Palestine ya Gaza msosi tunao wa kutosha chini kwa chini, tunakula tunashiba kuanzia kachori, tende, biryani hadi chips mayai... tukitoka huko mashimoni tunanawa na kujifutamidomo kama hatujala vile, ni kutembeza mjegejo tu, ni mjegejo tu hadi IDF imesalimu amri...

Si mnaona mateka wenu walivyokuwa wamenawiri?
 
Wewe chizi,
Mohamad alikimbia maka akaemda madini, Yesu alikimbia kutoka betherehem akaenda Misri uanadhani Mungu hakuwepo nao!
Basi mwambie mchungaji akimbilie Ubelgiji
 
Ule mchezo wao waliokuwa wakiwafanyia CHADEMA na Wapinzani wengine sasa umewarudia wenyewe😆😆
 
Siku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.

Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”

Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa

Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia

View attachment 3240687
Sasa si aliyataka mwenyewe analalamika nini?😁
 
Mchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
Yusufu baba wa kufikia wa Yesu Kristo alimriwa kuikimbia nchi yake kwenda Misri ili kuyaponya maisha ya mtoto Yesu.
Nabii Samuel wakati ameamriwa kwenda kumpaka mafuta Daudi kama mfalme mtarajiwa wa Israeli aliogopa kuawa na mfalme aliyekua madarakani, Mungu alimpa njia ya namna ya kujilinda; wapo na wengine wengi. Swali; hawakua na ulinzi wa Mungu?
 
Back
Top Bottom