TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

Hawa maaskofu hawanaga faida, wapiga dili tu sikuwahi kumsikia akihubiri haki
Huu ujinga kabisa kanisani sio sehemu ya kuhubiri siasa kiufupi yapo kambo mengi ambayo bado hayajafundishwa kanisani siasa wapatieni maaskofu wanasiasa
 
Neno hayati linatumiwa kwa wanajeshi na amir jeshi mkuu na wasaidizi wake wawili yaani makamu na waziri mkuu.

Wengine wote ni marehemu kwa heshima zao hapa duniani
Ufafanuzi huu ni wako au wakiswahili?
 
Neno hayati linatumiwa kwa wanajeshi na amir jeshi mkuu na wasaidizi wake wawili yaani makamu na waziri mkuu.

Wengine wote ni marehemu kwa heshima zao hapa duniani
Huu sasa ni upotoshaji. Maneno haya asili yake ni ya kiaarabu. Hayati kwa kiaarabu inamaanisha enzi za uhai wake. Linatumika unapokumbuka au kuogelea mambo/matendo mema ya enzi za uhai wake.

Marehemu linatokana na neno la kiaarabu la rehemu/ rehema au dua. Hivyo linatumika unapomwombea dua kwa Mwenyezi Mungu amurehemu aka RIP.
 
اِنَّ الَّذِيۡنَ كَفَرُوۡا وَمَاتُوۡا وَهُمۡ كُفَّارٌ اُولٰٓٮِٕكَ عَلَيۡهِمۡ لَعۡنَةُ اللّٰهِ وَالۡمَلٰٓٮِٕكَةِ وَالنَّاسِ اَجۡمَعِيۡنَۙ‏

Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote.

خٰلِدِيۡنَ فِيۡهَا ۚ لَا يُخَفَّفُ عَنۡهُمُ الۡعَذَابُ وَلَا هُمۡ يُنۡظَرُوۡنَ

Watadumu humo. Hawata-punguziwa adhabu wala hawatapewa muda wa kupumzika.
 
Kakurupuka kwa ubinasi wake.
Rip Prof Mwenisongole
 
Watumishi wa Mungu wanautendaji wao wa kazi sio lazima wewe Zanziba asp uyaone kwa macho yako ya kuangalia ugali.Rip Mchungaji kiongozi.
 
Poleni wafiwa.
 
Acha upumbafu wewe..manabii na mitume walikemea wazi wazi watawala wabovu na wala hawakuogopa..unadhani kichwa cha yohana mbatizaji kilikatwa kwasababu gani?.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi zile kiongozi wa dini ndie alikuwa anachagua Nani awe mfalme alikuwa juu ya wafalme sababu ndie aliwaweka madarakani

Yohana mbatizaji alijitia kumkemea Herode ambaye hakumuweka madarakani Herode alamshangaa huyu Yohana ananikemea kama Nani akamkata kichwa Akamuua

Usilinganishe wa zamani na wa sasa
 
Sawa Katoliki huandaa wakiwa wadogo kuwa mapadre issue ni kuwa huwachukua vijana wadogo jobless kuwaanda a kuwa mapdre wenye job ya upadri
 
Wakati wa JPM huyu hakuwa askofu mkuu wa TAG.
 
Manzi wangu aliwahi nishawishi niwe nahudhuria 1st Sunday service, yaan ibada ya kwanza JP kwa kimombo, ee bhanae nilienjoy sana praise n worship session kuna vijana wanaimba vizuri mnoo asikwambie mtu.U guys brought me close to God through music. Niliacha kuhudhuria baada ya kuhamia mikoani. RIP Bishop Mwenisongore
 
Katoliki huajiri jobless wanamchukua kijana jobless wanamsomesha upadri halafu wanampa kazi ya upadri


Wako kibao wanasoma seminary za Katoliki majobless

Mapadri wengi unaowaona walkuwa majobless ajira yao ya kwanza ni upadri
Hujui unachokieleza. Waachie wanaojua wakwambie
 
Watumishi wa Mungu wanautendaji wao wa kazi sio lazima wewe Zanziba asp uyaone kwa macho yako ya kuangalia ugali.Rip Mchungaji kiongozi.
Acha uzembe ndugu yangu.
Mtumishi wa Mungu ni binadamu wa kawaida kabisa, anaishi na wanadamu, na amejaa udhaifu mwingi kama walivyo binadamu wengine, hana kitu kingine cha ziada kuliko mwanadamu mwingine yoyote, lakini amepewa nafasi ya kuwatumikia watu chini ya utaratibu wa Mungu.

Kama kuna mambo mtumishi wa Mungu anayafanya sirini basi hayo atajuana na Mungu wake lakini yale anayoyafanya hadharani ni mambo yetu na tuna haki ya kuyapima na kuyahukumu. Hiyo ni kazi yetu sisi wanadamu.

Biblia inasema, watumishi halisi wa Mungu tutawapima (tutawahukumu) kwa matunda (matendo) yao. Hivyo sisi hapa tunayo haki kwa 100% kumhukumu Askofu Mwanisongole kwa matendo yake. Kwenye suala la kutetea haki za watanzania waliokuwa wanaonewa vikali na serikali ya Magufuli, bila shaka Askofu Mwanisongole aliamua kukaa kimya au kuungana na watawala kwa kuwapongeza. Askofu Mwanisongole hawezi kulikwepa hili, na huko aliko litamfuata.
 
Ucdhihirishe ubwege wako hadharan,N zuzu tu ambaye anaweza kutofautisha maisha na siasa
Huu ujinga kabisa kanisani sio sehemu ya kuhubiri siasa kiufupi yapo kambo mengi ambayo bado hayajafundishwa kanisani siasa wapatieni maaskofu wanasiasa
 
Ukwel mchungu huu
 
Unamuhukumu akiwa hana. Uwezo wa kujitetea? Kama hukuweza kusema muda wote nyamaza mzee apumzike imetosha , maneno makalimakali kama mtu mwenye njaa si viziri , watumishi wa Mungu ni wa kiroho zaidi na kama wewe si wa kiroho ndio maana unapima kwa macho yako ya kutafutia ugali , ndio maana unamgombeza hata marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…