Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 790
- 1,923
Tuendelee kuliombea Taifa wakuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chopper is still in Tanga..ova wait... ova ova..I repeat another Man down...please send a chopper...!!
hivi wewe umechukua tahadhari gani?? wewe kama wewe na unataka serikali ndio ikuchukulie tahadhari sio. See your life.Viongozi acheni utani wa maisha ya raia wenu, chukueni hatua za haraka kabla nchi haijageuka kuwa graveyard
Mwaka jana tuliishinda corona kwa sababu zifuafazo: 1. Serikali ilikuwa mstari wa mbele kusimamia mapambano ya corona 2. Kulikuwa na taskforce inayoshughulika na wagonjwa wa corona. Kama mgonjwa yuko nyumbani mlikuwa hamruhusiwi kumsafirisha ila mnapiga simu anafuatwa nyumbani ili kuepusha...www.jamiiforums.com
Pole mkuuMimi tangawizi imeniokoa sana yaani nilikuwa nakiona kifo miguuni.......sasa hivi natafuna tangawizi kama karanga.......yaani kila saa najitafuna kama mbuzi....vile.....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee jamaa daah Chopper ipo tanga badoChopper is still in Tanga..ova wait... ova ova..
Roja dhati...
Vicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile. Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye. Dkt. Likwelile amewahi kuhudumu katika Wizara ya Fedha na Mipango kama Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wake kutenguliwa mwaka 2016.
Pia soma
- Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile
Kwani huijui homa ya jiji?Ulimpima we mwana....zaya?
Usipovaa barakoa utaondoka kama kule New York.ukifariki kwa sasa, utaambiwa Corona tu.Labda ugongwe na gari
Hata wazee ni wakubwa walio na nyadhifa tu ambao vifo vyao haviwezi kufichika lakini ukweli ni wazee na vijana mitaani wanakufa kwa Corona na kuzikwa kimyakimya kila siku. Anayefahamika kufariki kwa Corona ni Maalim Seiff tu maana alitangaza mwenyewe kuwa amegundulika ana Coronavirus aliporudi tu toka Chato na kulaumiwa sana na viongozi wa Serikali na CCM, wakubwa wengine wote wanakufa kwa kugongwa na Daladala au kwa Changamoto za kupumua au kwa Pneumonia hata kwa mafua. Tuendelee kumwomba mungu wetu maana hata Waisraeli wateule wanakufa kwa Covid-19!Mbna wazee Tu , au Mungu ameamua kuwapigania vijana kivingine wapate ajira ...R.I.P mwamba , tukutane asubuhi njema ya ufufuo kama ulizichanga vizur kete hapa duniani na Mungu wako lakni..kama uliharibu basi tena
Wanafanana sura kama Kulwa na Dotto🤣🤣🤣🤣. Akili zao za Identical TwinsEeeh[emoji15][emoji15][emoji15]View attachment 1707190
Muishi nao kwa akili😆😆😆😆Mazito aisee huwa tuna kufa nayo 😂
Tuwaombee Sana baba zetu aiseeTatizo ni nini mbona wababa ndio wengi!
Madaktari ufafanuzi tafadhali au wanaume ndio wana matatizo ya kinga ya mwili?
Fall back...! Fall Back..... Its a trap, I repeat its a trapI repeat another Man down...please send a chopper...!!
ShameMi nauwaza msambwanda wa mke wake tu,Vick Kamata,aje kwangu tu,ni mlee
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Kweli huu mwaka balaa hasa sie tuliobwia chumvi nyingi, tunalo.Mimi nimeamua kutafuna tangawizi kama nakula miwa vile.......mifuko yote imejaa tangawizi......
Huu mwaka kutoboa ni bahati nasibu....
[emoji1][emoji1] usijali mma kubwa endelea kujifukiza.Kweli huu mwaka balaa hasa sie tuliobwia chumvi nyingi, tunalo.
Kibaya zaidi unazima kama mshumaa jangwani......yaani ni nyakati za mashaka kweli....Kweli huu mwaka balaa hasa sie tuliobwia chumvi nyingi, tunalo.
No soldier match forward...match forward....attack...Fall back...! Fall Back..... Its a trap, I repeat its a trap