chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,292
- 1,841
Mkuu Zanzibar kuna msiba wa nan tenaHiki ni nn jameni kule Zanzibar misiba huku pia misiba duh
NdioHuyu si Yule mkenya aliyesemwa n.a. boss au
Wacha mchezo na Ziraili weweRest in peace.... Hongera maana umefia katika kundi la ukombozi na sio kule kwa majangili!! Geti la peponi liko wazi kwako wahi ukaingie yule mwenzio wa jana aliikosa hii fursa!!
Ana asili ya Kenya.nchi Mbili tena,?
Haya ni makavu live, lkn mm na ww ni wazee wa kesho pia tutende memaWazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana mwinyi anadunda pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
Kuna ile mingine miwili ya ZanzibarSasa hapo wakubwa sijui wataenda msiba gani? Tabora au Iringa?
umenkumbusha mbali sana lol!!!Rest in peace Mungai mzee wa physics with chemistry