mmh mi mbona nilikuwepo Uwanja wa Taifa wakati Nyerere anaapishwa kuwa Rais wa Tanganyika..!!!!!!!
Kama ulikuwepo wakati tunapata uhuru waziri wa kwanza wa slimy alikuwa nani? Kilimo je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh mi mbona nilikuwepo Uwanja wa Taifa wakati Nyerere anaapishwa kuwa Rais wa Tanganyika..!!!!!!!
Hawa wazee mbona wote wanatutoka katika mwezi wa marehemu wote? R.I.P waziri wa elimu wa zamani.
Kwa wakatoliki, mwezi November ni mwezi wa kuziombea roho zote zilizotangulia mbele ya haki, unaanza na marehemu walio kwnye familia yako ndugu na marafiki.Mwezi wa marehemu? Hapo nimetoka kapa mkuu sijakuelewa
Mwenyezi mungu amuweke mahali panapo mfaa aamen.
Acha unafikiDaah, hata kulia sasa hatuwezi, R.I.P
Kwa wakatoliki, mwezi November ni mwezi wa kuziombea roho zote zilizotangulia mbele ya haki, unaanza na marehemu walio kwnye familia yako ndugu na marafiki.
Turejee tuu kwa muumba wetu..Daah, hata kulia sasa hatuwezi, R.I.P
KATI YAO SIWALE BADO YUPO.Ninakumbuka hawa wazee kwenye moja ya mabaraza ya uwaziri awamu ya kwanza
wizara ya afya - Aaron Chiduo
" fedha- Amir Jamal
" elimu- Mama Thabita Siwale
" kilimo- Jackson Makweta
aise kweli dunia ina mambo duuuKwa wakatoliki, mwezi November ni mwezi wa kuziombea roho zote zilizotangulia mbele ya haki, unaanza na marehemu walio kwnye familia yako ndugu na marafiki.