Aliyekuwa mke wa Manara, Rushyna asema "Kwani Haji Manara ana hela? Hana pesa, sikwaziki na mambo ya kijinga"

Ujinga tu
 
Kemeboss na st. Francis wenye one za 7 kibao nako hamna?[emoji848]
A zipo sawa ila ni kwa baadhi tu ya shule sijui walikuwa wanasomaje mfano shule hizi(kemebos,ilboru,st francis,kibaha,tabora boys,mzumbe) hapo hamna ukame wa A wala B ila shule zingine unakuta toto lina 1 ya 8 ila phy D math C duuuh yaani wanaakili za kukariri kariri tu

🤔🤐
 
Mkuu uko conscious sana ...Salute
 
Bet what you can afford to loose
 
hiyo kesi ya ndoa mahakamani ina uzito gani kwenye issues za ubalozi wa kitu fulani?

Ingekuwa amepigana hadharani au kutukana matusi hapo ndiyo ingekuwa issue.
Dr Shika alikua na kesi gani ya ndoa Mahakamani? Hebu soma tena comment yangu na uielewe.
 
Mwacheni Dada wa watu aishi maisha yake alochagua!

Hatuwezi kujua undani zaidi.

Mnataka hadi yamfike Ndiyo atoke ?! Ni bora atoke akiwa salama!
 
Dr Shika alikua na kesi gani ya ndoa Mahakamani? Hebu soma tena comment yangu na uielewe.
Kwani umezungumzia Dr Shika au mke wa Manara? Maana mimi sijazungumzia issue ya Dr Shika hebu angalia hiyo comment yako mwenyewe kwa mara ya pili.
 
Kwani umezungumzia Dr Shika au mke wa Manara? Maana mimi sijazungumzia issue ya Dr Shika hebu angalia hiyo comment yako mwenyewe kwa mara ya pili.
Una matatizo wewe,siku nyingine uache kukurupuka hovyo kama chafya,nakwambia kasome comment yangu ili uone ulichoniquote ni tofauti na nilichokisema kisha unaniambia tena mm nikasome comment yangu! Una umri gani? Isije ikawa naelekeza kitoto cha Darasa la pili.
 
Hiiiui thread mchangiaji mkubwa ni mmm hivyo dogo funga thread chukua ushauri wangu
 
Malaya will be Malaya

Ukiona mwanamke anakimbilia ooh mwanamke lazima atunzwe mara apate mwanaume mwenye hela ujue huyo malaya na omba omba tu hana jipya, yeyote mwenye hela anaweza kujipigia anytime
 
Malaya will be Malaya

Ukiona mwanamke anakimbilia ooh mwanamke lazima atunzwe mara apate mwanaume mwenye hela ujue huyo malaya na omba omba tu hana jipya, yeyote mwenye hela anaweza kujipigia anytime
Facts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…