GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
Ukifuatilia kesi ya pididy kuna skendo ya kuwa alimrifa yule baba wa family matters kisa shida ya hela. Tunapoelekea ni kubaya sana jamii inaporomoka sana.Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan
Pia soma: Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)
Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.
Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.
====
Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:
1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa
2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
sisi inatuhusu nini?Mimi nimeamua kila nilipokuwa namuunga mkono msigwa kujitoa pamoja katika mitandao. Wewe je?
sisi inatuhusu nini?
Kama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
π€£Amehamia kwani alikuwa wapi?
Kila la heri yetu macho.Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa
Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo
Credit: Wasafi FM
Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo πππ₯
Gen Z ni zaidi ya vyama vya siasa πΌKila la heri yetu macho.
kwa ule ubabe na makorokoro ya mbowe,imagine angekuwa rais angefanyaje.Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa
Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo
Credit: Wasafi FM
Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo πππ₯
Wale ni kiboko na wanaungwa mkono na Wakenya wote vijana kwa wazee.Gen Z ni zaidi ya vyama vya siasa πΌ
Mwisho kwenye Chama atabaki Mbowe, Mrema na Devotha Minja πΌkwa ule ubabe na makorokoro ya mbowe,imagine angekuwa rais angefanyaje.
na ameshaanza kutrain watoto wake kama kagame, icho ni chama/kampuni ya familia na wakwe.Mwisho kwenye Chama atabaki Mbowe, Mrema na Devotha Minja πΌ
Kama taifa ni zaidi ya vyama vya siasa angeacha siasa. Sio kuhamaKada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa
Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo
Credit: Wasafi FM
Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo πππ₯
ameona kuliko kupoteza muda na mbowe, bora aende hata kwa hao wanaokula ila wanafanya chochote kwa wananchi.Kama taifa ni zaidi ya vyama vya siasa angeacha siasa. Sio kuhama
Na mimi na mke wangu na watoto wangu.Mwisho kwenye Chama atabaki Mbowe, Mrema na Devotha Minja πΌ
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa
Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo
Credit: Wasafi FM
Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo [emoji3][emoji3][emoji91]