Me niliwahi kukwambia kwamba Naogopa zaidi siku ambayo upinzani itakamata dola ya nchi hii.Kama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me niliwahi kukwambia kwamba Naogopa zaidi siku ambayo upinzani itakamata dola ya nchi hii.Kama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
Msigwa aliishia enzi.za JPM wa sasa sio kabisaNi haki yake kikatiba. Naona wamemua kuuwa soo ya Mpina, mjadala sasa unaamia huku.
naskia makamu mwenyekiti taifa anatimkia ADA-TADEA, can you plz plz confirm on this kamanda?🐒Huwezi kujua ninayoyajua, endelea na yako
wewe si shetani, lazima kauli kama hizo ni sawaNdo mana naonaga wana wote wanaofanya siasa halafu hawafaidiki ni Vilaza
mimi siwez kuandamana wala kumchangia mtu anunuliwe gari
au nianze kububujisha threads kumsifia mtu
NEVER
Pamoja LUCIFERwewe si shetani, lazima kauli kama hizo ni sawa
😆😆😆😆Sa mbona kachelewa, si angechukuaga tu hela na uwaziri kwa jiwe.....
Wanasiasa hawana tofauti na bongo movie.
Wameshindwa kumpa cheo Mpina wampe nini huyo Kain,in fact safari ya COVID 19 imepata offer nyingine,siasa ndo zilivyo.atampa uwaziri au cheo chochote kikubwa ili awatese Chadema
hivi vyama vyama kisiasa robo tatu ya wanachama wake ni mamluki toka chama tawala ndio maana vijana wa kisasa hawana imani navyo wanaamua kupambana wenyewe bila mrengo wa chama cha siasa kutaka haki na maisha bora kwa wananchi wote. Vyama vya siasa ni magumashi matupu wanazuga wananchi kumbe ni chama kilekile tawala kimejigawanya matawimatawi ionekane kuna vyama vingi kumbe kipo kimoja tuKatika hili nawapongeza sana Chadema, huyu alikuwa pandikizi. Haiwezekani iwe kahamia ghafla.
Lakini, kwanini washikane mikono kama maharusi? Nimecheka sana.
What do you mean by political affiliation? Nachoweza kusema ni kuwa mtu yoyote anaweza kuwa na mambo anayokubaliana nayo kuhusu chama fulani, kwa muda fulani na hili lipo pia kwa Tanzania. All in all, mwanaharakati kuwa na political affiliation na chama cha siasa siyo jambo baya bali jambo jema sana. Infact raia wote tunatakiwa tuwe active kujua siasa za nchi zinaendaje na kuunga mkono chama tunachoamini kitatufaa.Nitajie mwanaharakati wa haki nmojawapo wa Kitanzania ambaye hana affiliation na political party yoyote
Jiwe alimtaka mapema anaenda kipindi cha mikopo,kapotea njia😆😆😆😆
Usihamishe magoli Bwashee, Tatizo ni Mbowe. Mbowe atakimbiza wengi kutoka CHADEMA. Kwani Lissu yupo wapi?Katika hili nawapongeza sana Chadema, huyu alikuwa pandikizi. Haiwezekani iwe kahamia ghafla.
Lakini, kwanini washikane mikono kama maharusi? Nimecheka sana.
Alishindwa kugundua kuwa CHADEMA ni chama cha kifamilia. Angegundua mapema angeshakuwa mbali sana. Hata Lissu atakuja kujutia sana baadae kupoteza muda wake kwenye chama cha Mbowe.Jiwe alimtaka mapema anaenda kipindi cha mikopo,kapotea njia
Nafikili wapo sahihi vijana wa Kenya kusema hatuna faida kwa Afrika vijana wa TanzaniaPamoja LUCIFER
Msigwa ilikuwa ahame tangu kipindi cha Magufuli lakini sijui ni nini kilitokea akasita.Amehamia kwani alikuwa wapi?