Aliyekuwa waziri wa Hamas akiri yale mauaji yalikuwa kosa, yamesababisha Gaza ifutwe

Aliyekuwa waziri wa Hamas akiri yale mauaji yalikuwa kosa, yamesababisha Gaza ifutwe

Sasa tuingie kwenye pepo ya ngono na pombe ya kazi gani?,wakristo sisi kwetu mbinguni kwa Jehova kwenye kusifu na kuabudu,nyie endeleeni huko peponi kwenu ambako Allah atakuwepo na atakuwa wa mwisho kuletwa huko.
Umekariri!!....
 
Asema Gaza imefutwa, imerudishwa nyuma miaka 200, hamna kitu pale hata watu wakirudi, amekiri lilikua kosa kubwa sana na kwamba uongozi wa HAMAS ni machizi wasiojielewa wala kuelewa chochote.....

Aise kuua Wayahudi itabidi uwe tayari kufanyiziwa.
======================

Former Hamas communications minister Yousef al-Mansi heavily criticized the current leadership of the terror group in Gaza as a group of “crazy people” led by Yahya Sinwar, in footage of his interrogation published by the Shin Bet security agency Sunday.

“They destroyed the Gaza Strip. Set it back 200 years,” al-Mansi, who served under the Strip’s former ruler Ismail Haniyeh — currently the head of Hamas’s political bureau — and in several other roles, said in translated excerpts provided by the Shin Bet. “There is no opportunity to live.”

Israel has labeled Sinwar — who rules the enclave and has been marked as the mastermind of Hamas’s devastating October 7 onslaught — a “walking dead man,” along with the rest of the terror group’s senior leadership.

Source "times of Israel" 🤣🤣

IMG_20231211_071844.jpg


IMG_20231211_071956.jpg


IMG_20231211_072143.jpg
 
Islam and arab,s cheap propaganda ili kuukata ukweli..
Nadhani kichapo cha gaza hawakukitegemea kama 1967 na 1973 pale waarabu wa msiri waliomba cease fire na treaty ili Sharon asiiharibu cairo kwa mizinga 🤣🤣🤣
Nenda kawasaidie waisrael wenzako wanalia huko wanasema hatukutegemea Hamasi wako vile, pia wanashangaa kuona silaha zao za ajabu ajabu zinamalizia kila kitu.

We njoo urupikie Ugali tule vita vinataka wanaume.
 
Asema Gaza imefutwa, imerudishwa nyuma miaka 200, hamna kitu pale hata watu wakirudi, amekiri lilikua kosa kubwa sana na kwamba uongozi wa HAMAS ni machizi wasiojielewa wala kuelewa chochote.....

Aise kuua Wayahudi itabidi uwe tayari kufanyiziwa.
======================
haya subiria nawe upewe uwaziri huko Israel ewe propagandist wa Yahudi.
 
Jamaa ukapimwe akili, nimejaribu kusoma nielewe nini umeandika hapa nikashindwa, mnatia huruma, yaani kama mumechizi vile...poleni lakini.
Kichaa aniambie mwehu 😄 Poleni Israel ananza kulalamika eti hatukutegemea Hamasi kuwa wananguvu vile na bado wataliona Jua Usiku 😄
 
haya subiria nawe upewe uwaziri huko Israel ewe propagandist wa Yahudi.

Wayahudi hawawezi kunipa uwaziri, ni makatili sana wale, hupiga sana wakichokozwa, mpaka sasa kama hilo halijawaingia kwenye akili zenu basi mtakufa sana, chokozeni Wakristo ila temaneni na Wayahudi kwenye mambo yao, oneni sasa Gaza inafutwa hivi hivi tu, na hamna kajamba yeyote anayeweza kufanya kitu, hata kubwa lenu Iran linaangalia tu.
 
Back
Top Bottom