Sahihi.Hakika uko vizuri kama unayajua na mambo ya manchurian candidate. Haya mambo yalianzaga na ma project kama za MK ultra. hatari sana.
Wewe haupo Tanzania upo mpakani mwa Tanganyika na Malawi ndiyo maana huelewi. ππππππMkuu,hii ya Tanzania kijana kuanzia na miaka ishirini na tano,imeanza lini ?
kwel kabisa, niliona walivokuzozomokea. mm pia niliandika ktu kama chako.Niliandika kabla ya huu uzi na kabla ya kujulikana huyu kijana kuwa huo ni mchezo wa kitoto, kuna watu watu wenye uelewa finyu wakanizozomokea.
Kiko wapi?
inasemekana et enz hzo mambo hayakuwa kama yalivo sasa, upigaji kwa viongoz uliokithir, viongozi wanawaona wananchi kama vinyago, watoto wa viongozi wanaishi maisha ya anasa isiyomithilika, wazaz wao nao hvo hvo, kukosekana kwa ajra, just to mention a few, enz hzo mambo hayakuwa hv et. ndo maana wanawataka mkiwashe maana nyie ndo wenye nguvu ati halafu athar kubwa ni kwenuMna akili za kisokwe alafu ni watu wazima kwa hio mnataka na cc huku tz tuige hayo matendo ? Kwann nyie ulivokua vijana msifanye mpk mmezeeka mmekua masponsor afu kila cku kusema utumbo kuhusu gen z wa tz
Au nyie mlivuka stage
kweli ila pasipo ufahamu na hekima Ujana hugeuka na kuwa maangamiziUmri wa ujana ndio umri pekee wa kufanya kila jambo pasipo uwoga.
Inaonekana huyo Bwana mdogo hajasoma historia ya Nchi hii vizuri...
umenena vyema mkuuPia na waliopewa madaraka wayatumie vizuri kwa wanaowaongoza mavyeo kujikusanyia mahela ya wizi viburi na majivuno ya vina mwisho wake .Wananchi ni watu wema sana ila wanaowaongoza baadhi busara imewapungukiwa.
Na kuna Rais aliingia ikulu akiwa mzee wa miaka 55 lakini akaitwa Kijana.ulaya kijana anaanzia miaka 15
marekani kijana anaanzia miaka 16
Tanzania kijana anaanzia miaka 25 ππππππ
CCM OYEEEEEE ππππ
Sio rahisi kubashiri ila ukiunganisha dots utaelewa Trump amekuwa akiandamwa na vyombo mbalimbali vya dola nchini mwake, pia kutokubaliana na namna nchi yake inavyoshughulikia suala la Ukraine.Nani kampiga risasi Trump?
Tabia ya kuua kwa risasi viongozi wao imekuwa ni ya mazoez na kawaida kwa Wamarekani. Hii ndio sababu Marekani linatajwa kuwa ndio taifa pekee ambalo sehemu kubwa ya bajeti yake hutumika kwenye masuala ya kiusalama
Inaelezwa asilimia 65% ya bajeti hutumika kwenye sekta ya usalama kwa maana ya kuilinda nchi dhidi ya maadui,kulinda raia na pia kulinda viongozi wao.
Kwa mujibu wa mtandao wa Wikipedia kati ya marais 46 walioongoza Marekani,marais 4 waliondoka madarakani kwa kuuawa.
Hii ni uzembe wa idara ya usalama Marekani kushindwa kulinda viongozi na kuruhusu silaha za moto kuwa mikononi mwa rais? au ni umahiri wa raia watukutu wa Marekani!?
Wauaji wa hao marais 4 wote walipatikana na wao waliuawa,lakini tangu kutokea tukio la jaribio la kuuawa kwa Trump mamlaka za kiusalama zimemtaja kijana wa miaka 20 aitwae Thomas Mathew Crooks kama muhusika wa tukio hilo la Kigaidi.
Orodha ya marais waliouawa ni hii:
1. Abraham Lincoln( rais wa 16 ),
2. James A. GARFIELD(Rais wa 20 )
3. William Mcknley( rais wa 25)
4. John F. KENNED( rais wa 35)
Mbali na hao, marais watatu walijeruhiwa katika jaribio la kuuawa kwao, Dolad Trump ameongeza idadi ya majeruhi kufikia wanne jana tarehe 13/07/2024.
Maswali ya kujiuliza ;
(1) je, bwana mdogo Thomas Mathew alitumwa kumjeruhi au kumuua Trump?
(2) je, Thomas alitumwa na nani kuyatenda aloyatenda?
(3) je Biden anahusika?
(4) je,tukio hilo litaathiri Kampeni na uchaguzi ujao Marekani!?
Kwa kujadili swali namba 1 hapo juu,ungana nami kuamini kwamba bila shaka yoyote Trump ni kiumbe mwenye bahati kuliko kiumbe mwingine yoyote duniani hapa!
Undani wa taarifa hizi utazipata kwenye kitabu cha 'HAWATOSAHAULIKA' kitakachokuja siku chache zijazo
Galacha wa KalamuβοΈ
me nimemwambia hata mambo hayakuwa kama yalivo, eg upigaji usiomithilika, dhereu viongoz, ajra hamna, wanarithishana uongoz, watoto wao wanaish maisha ya pepon, hamien burund, mavieiteee kila mwaka, kwan enz zenu mambo yalikuwa hv,Inaonekana huyo Bwana mdogo hajasoma historia ya Nchi hii vizuri...
Nataka nimkumbushe hayo matendo ya Generation Z Mwalimu Nyerere alishakumbana nayo zaidi ya mara nne kwenye Utawala wake.
Japo yeye walienda mbali zaidi kutaka kumuondoa madarakani kupitia Jeshi la Wananchi, tukio la nne na la mwisho alifanyiwa na hao hao Maaskari mwanzoni mwa miaka ya 80's
me nimemwambia hata mambo hayakuwa kama yalivo, eg upigaji usiomithilika, dhereu viongoz, ajra hamna, wanarithishana uongoz, watoto wao wanaish maisha ya pepon, hamien burund, mavieiteee kila mwaka, kwan enz zenu mambo yalikuwa hv,Inaonekana huyo Bwana mdogo hajasoma historia ya Nchi hii vizuri...
Nataka nimkumbushe hayo matendo ya Generation Z Mwalimu Nyerere alishakumbana nayo zaidi ya mara nne kwenye Utawala wake.
Japo yeye walienda mbali zaidi kutaka kumuondoa madarakani kupitia Jeshi la Wananchi, tukio la nne na la mwisho alifanyiwa na hao hao Maaskari mwanzoni mwa miaka ya 80's
Jambo lenu lisije kutuathiriGen Z tuna jambo letu mwakani, hapa apa Tanzania vizazi vingine kaeni mkao wa kutupokea na kutusapoti.
Yule Mzee alikuwa hacheki na Mwizime nimemwambia hata mambo hayakuwa kama yalivo, eg upigaji usiomithilika, dhereu viongoz, ajra hamna, wanarithishana uongoz, watoto wao wanaish maisha ya pepon, hamien burund, mavieiteee kila mwaka, kwan enz zenu mambo yalikuwa hv,
nasikia nyerere alienda kujificha kigamboni kuwakacha gen z waliokuwa wamechafukwa.
Demokrasia ni Tool ya Western kutawala nchi zingine kwa maslahi yao wenyewe. Kwa sababu wengi wakidanganyika wanaharibu nchi then wachumia tumbo wanaingia kwa gia ya kulinda amani na hiyo amani haitakuja kupatikan kwani hao wanaojiita walinda amani ndio waliondoa amani iliyokuwepo.Watu wanashindwa kujifunza kwa yaliyotokea Sudan na Libya. Libya walitaka demokrasia.
Gadafi kafa na hadi Leo hakuna demokrasia. Watu wameishia kuwa wakimbizi. Hali ndiyo hiyohiyo Sudani hadi Leo watu wanakimbia tu. DRC na M 23 ni vurugu tupu. Nashangaa sana mtanzania anayetamani TZ tuwe kama Libya , Siria , DRC na Sudani na Sudani kusini, maanake kote huko ni kuuana kila siku na wale wanaopata nafasi ya kukimbia ndoa huishia kuwa mkimbizi katika nchi zenye amani. Nadhani Kuna watu wanadhani kuitwa MKIMBIZI ni cheo kizuri ambacho kinatamaniwa.
watathubutu, labda jambo lao kwenye kiibodiJambo lenu lisije kutuathiri
Mkuu we jibu tu,ni lini Kijana wa Tanzania ameanza kuhesabiwa kuanzia umri wa miaka ishirini na Tano ?Wewe haupo Tanzania upo mpakani mwa Tanganyika na Malawi ndiyo maana huelewi. πππππ