Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

UNajua nimekulia wapi nimesomea wapi nanimeishije na sasa hivi ninamaisha gani so usinifananishe na maisha ya malaya zako wanayoishi nausiniwekee nuksi katika maisha yangu . Nikomee kabisa kawazoee hao malaya zako umbeya hata matajiri wanao , unafiki wanao usinirukie rukie mie nashida zako
 
Asante sana Muhimbu kwa kuweka points clear,asiyekuwlewa hataelewa ka mwe
Unajua wabongo wengi huwa wanataka uwafikishie ujumbe pasipo kuweka manjonjo yoyote ndio watakuelewa.

Mfano ukiwaambia "ukilala bila kuweka neti sehemu zenye mbu wengi utaugua malaria na hatimae unaweza ukafa"... watakuelewa.

Ila ukiwaambia "mkilala bila kuweka neti na hawa mbu mtakufa na malaria mbwa nyie".... yaani hapo hawatakuelewa kabisa kama kuna ujumbe umewafikishia na badala yake wataona umewatukana.
 
Bila kuuhusisha ulilosema na mleta mada, nakuunga mkono kuwa umasikini unaendana na kuzurura na kutokuwa na ratiba.
Amavamu umaskini wa mtu unaanza na mindset aliyonayo, na mazingira aliyokulia au anayokuwepo muda mwingi ndio yanayoshape mindset yake..!!

Sasa kwa mtu aliyekulia mazingira ya kuzurura zurura ovyo na kutumia muda mwingi wake kufuatilia mambo yasiokuwa na faida kama umbeya n.k... hata ikitokea ukampeleka mazingira mapya yenye nyenzo zote za kiuchumi hawezi kujikomboa, sababu mindset ya kimaskini aliyonayo itakuwa ina mlimit kuona na kutumia fursa zilizopo.
 
Ni sawa mkuu.
 
Hapo awali niliandika comment yangu based on assumptions ambazo zilikuwa derived kutoka kwenye comment yako ya awali.. ila sasa kwa hii comment yako ya sasa hivi ndio ume confirm kabisa nilichokiandika kuhusu wewe kwenye comment iliyopita ni sahihi kwa 100%.

Yaani ulivyojibu kwa mihemko na shombo ni dhairi kabisa wewe ni mwanamke uliyekulia uswekeni huko uswahilini ndani ndani huko ambako hata shule mkisoma sana mnaishia form two.

Mwanamke aliyelelewa katika makuzi sahihi kwenye mazingira salama yenye utulivu hawezi kuwa kama wewe... hawezi kuwa na mdomo mchafu kama choo cha stend hivi.

No wonder ulivyopelekwa kwenye mazingira ya watu waliostaharibika kwa akili zako za kiswahili swahili ulizotokanazo huko uswekeni kwenu ulijiona kma uko utumwani.
 
Usij
Usije ukawa kama yule msanii mmama aliyewahi kusema yeye amezaa lakini wengine wamekuny@@@
Nakushauri hamia huku kwetu mbinguni, huku hakuna kuoa wala kuolewa yaani hakuna stress
 
Ahaaa
 
Hunaga akili ndio tatizo na wenye akili wanajijua tu asante kwa muda wako
 
Hunaga akili ndio tatizo na wenye akili wanajijua tu asante kwa muda wako
Unajua hata wale walipo mirembe huwa wanawaona madatari wanaowatibu ndio wagonjwa?

Unajua hata chizi ukitaka kumlaza kwenye chumba kizuri chenye hewa safi mtagombana na atakuona una mtesa maana yeye ameshazoea kula na kulala majalalani kwenye harufu kali ya kinyesi na uchafu wa kila aina.

Sasa ndio ninachokiona kwako, unajiona mwenye akili kumbe kiazi tu mmoja tu na pia ulipata mtu wa kukutoa huko kwenu uswekeni na kukupeleka kwenye mazingira salama yenye fursa, ila wewe kutokana na kuzoea maisha ya maskini ambayo yamekufabaza akili ukaona kama vile anakupeleka utumwani na ndio maana nakufananisha na chizi aliyezoea kula majalalani siku ukimpeleka five stars hotel ataona una mtesa na unaenda kumlisha sumu.
 
Nimeshaclose discussion nawewe sihitaji gundu na mikosi plz
 
We ni mpu. Mba. VU. Huyo mtoto wa Mwinyi hanyi? Jithamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…