Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

Nimeweka vyeti vya vifo vya wazazi wote wawili mpaka sa hizi holla nakula ndoige tu
Dah niljuwa n mimi tu yatima alokosa mkopo adi sasa. 😔 nashindwa kuelewa kigezo gani wanaanglia hawa jamaa?
1. Me yatima
2. Coz ya science tena engineering
3. Chuo cha serikali
4. Nimesoma shule za serikali.

Ila ad sasa wananiambia tar 4Nov
 
Dah niljuwa n mimi tu yatima alokosa mkopo adi sasa. [emoji17] nashindwa kuelewa kigezo gani wanaanglia hawa jamaa?
1. Me yatima
2. Coz ya science tena engineering
3. Chuo cha serikali
4. Nimesoma shule za serikali.

Ila ad sasa wananiambia tar 4Nov
Acha mtelu mzeeh, nani kakwambia zoezi limeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…