Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

πŸ˜ƒπŸ€£ asirudishe vipi wakat alishaenda kurepot kituo cha polisi na nina uhakik ata iyo pingu alifunguliwa uko uko na kuiacha uko uko

Ila wabongo ni wapumbavu sana yaani mtu anatekwa mbele ya macho yao wapo wapo tu kama mazezeta vile
Ni kweli kabisa sehemu kubwa ya Wabongo ni hovyo sana. Kwenye jamii ya Wafugaji kama Mikoa ya Mara, Mwanza, Geita, Shinyanga na Arusha huwezi kuta kitu kama hicho. Mwanaume akipiga nduru ya kuomba msaada kila atakaesikia wa jamii hizo kuna msukumo wa ndani mwake unaomtaka atoke akatoe msaada. Yaani ni bora akafie kwenye tukio kulikoni ndani mwake.
Hebu nikupe mfano wa uwoga wa Wabongo "miezi michache iliyopita niliona clip ya Dereva wa basi la abiria la Tanzania akiamrishwa kushuka chini na dereva wa lorry la Rwanda. Huku akiwa kashika bomba lakufungulia tairi mkononi. Alimshushia kipigo huku Wabongo wakitulia bila hata kuwaamua au hata kuingilia kati kumtetea Dereva wa basi lao. Dereva yule alifia pale pale huku Wanyaruanda wakiishia kwa madaha. Sijui kesi ile ilikuja kuishiaje.
 
Pale Mwanza libert raia waliwagomea wasiojulikana kuondoka na mtuhumiwa bila sare na kibali.
 
Hawa watekaji ilifaa sana kabla ya taarifa ya polisi jamii iingie mzigoni wawakute wananing'inia mitaa frani kiluvya Kwa komba shenzi sana hawa mbwaaa
 
Sasa kama utolewaji pingu umesajiliwa,

Uchunguzi ni WA nn ikiwa waliopewa pingu Kwa vibali wanajulikana?

Hii Dunia inazunguka, endelea kushabikia UOVU,

IPO siku Yako.
Relax bas gentleman,
mambo haya ni uelewa tu na ufahamu. It's very simple.

Infact simtetei mpiga mayowe wala anaepigiwa mayowe ya kwenda kuua...

kwani uchunguzi huwa unafanywa wa silaha pekee gentleman?

kwani,
kilisababisha matumizi ya silaha ikatumika hakichunguzwi right?πŸ’
 
Sasa kitambi ndio kilimuokoa deo bonge,

Angekuwa kimbaumbau, angeshasahaulika.
Ukikutwa na jambo,mbio huja zenyewe,usiwe na shaka.
Sanasana mbinu za kujinasua kwa wadhalimu ndio muhimu kuzifahamu
 
Mbona hata la
Mbona hata la Lisu video ipo ni suala la muda tu
 
Nilitaka kuanza kwenda gym ila nimeghairishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Kumbe ndambi langu ni ngao ya uokovu dhidi ya kutekwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Safari hii makitimoto tutakula sana tupate mavitambi, sasa wewe jifanye muislamu yakukute ya kukukuta...
 
Ulishawahi kusikia mlio wa AK 47?
Ndio tena sio mara 1 wala 2

kwa akili yako unadhani hao form 4 failure wana ujasiri wa kufetua risasi hovyo wakizungukwa na watu?
C wangemfyatulia uyo walienda kumteka
 
Wabongo ni wajinga mnoo na wanasikitisha sana kwa kweli
 
Yani ww unashuka alafu unarudi rudi kuuliza watekaji!!??
Ilitakiwa usepe mazima
Kama kiwewe kingezidi hata kibegi changu wangebaki nacho , alafu pia yale mazingira mimi nilikua mgeni so kutotuliza akili wenda kungeweza nisababishia matatizo zaidi maana huwezi jua mtandao wao
 
Sasa unataka Wana chi wajilinde,

KaZi ya Serikali ni nn?

Yaani wakulima na wafanyakazi waache shughuli zao Ili wajilinde?

Sasa Kodi wanazolipa za nn?
Seriki ipi ikulinde wakati unaona hakuna lolote wanalofanya? Tunatakiwa tujilinde wenyewe
 
Kama kiwewe kingezidi hata kibegi changu wangebaki nacho , alafu pia yale mazingira mimi nilikua mgeni so kutotuliza akili wenda kungeweza nisababishia matatizo zaidi maana huwezi jua mtandao wao
Kwa hiyo pesa uliacha kwenye kibegi!!??

Ama kibegi kilikuwa na mali gani?
 
Wanaume wateke teke kuna ujumbe wenu hapa. NO offence ✌
 
Oyaaa, huyo sio mtu karekodi na simu yake, ni mfumo wa CCTV ulikuwa ukirekodi na hao askari wa mchongo mabangubangu hawakujua kuwa kuna camera ya CCTV hapo! CCTV inaonyesha tukio limetokea tarehe 11/11/2024. Jumatatu, saa nane mchana

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…