Alimpenda na aliwekeza sana kwake...alafu huyu jamaa alipotokea hadi kufikia hapo alipo dah alishapiga hatua kubwaHamisi ni Muislam kwanini asinge ongeza mke na Dini ina ruhusu tena Wake wa nne, Yeye angel mke mwingine tu mbona Dar pisi kali zipo nyingi tu tena angeo mke wa pili na angeishi nao pamoja, Wazee wetu hawakufanya matukio ya kikatili kwasababu walikua wana oa wake wengi utakuta Mwanaume kaoa wake 6 au 4 kwahiyo Mke mmoja akizingua anaamia kwa wengine.
Unafikiri jamaa anajali kuhukumiwa kifo hapo yeye anaona nafsi yake isharidhikaJela inamsubiri
kwani alibaki? mi nilidhani aliisha kabisa na majivu ndo jamaa akafanya mbolea kule aliko panda mgombaMwili wa marehemu Naomi Orest Marijani aliyeuawa na mume wake kisha kuchomwa moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ndani ya banda la kuku na mume wake Hamis Luwongo Mei 15, 2019 Maeneo ya Gezaulole Kigamboni Jijini Dar es Salaam, unaagwa kwa baba yake mdogo maeneo ya Mtoni Kijichi leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwaajili ya kusafirishwa kwenye maziko nyumbani kwao Moshi Kilimanjaro.
Hii ni baada ya hukumu iliyotolewa Februari 26, 2025 na Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam na Jaji wa mahakama hiyo Hamidu Mwanga kunyongwa hadi kufa kwa aliyekuwa mume wake Hamis Luwongo kukutanika na hatia ya kumuua mke wake wa ndoa, Naomi Marijani.View attachment 3270098
Huyo hamisi inasemekana hakumuua Kwa kukusudia mke wake ispokuwa mke wake alikuja usiku nyumbani kutokea kwenye pombe na alipomuuliza Kwa Nini umechelewa kukawa na purukushani Hadi yule mkewe akaangukia kisogo kutoka ghorofani na kupelekea kufariki.ili kukwepa hatia ya kuua ndiyo akafanya namna alivyofanya kumchoma kama njia ya kufuta ushahidi.Hii iliandikwa na boniphas yai kule X zamani Twitter.Na yeye alijua baada ya kukaa gererzani na kukutana na huyo hamis akamwekeza Hali halisi ilivyokuwa.
Sasa baada ya kumnyonga huyo jamaa, halafu Naomi anatokea itakuwaje.
Acha tuu mkuu.Hamisi ni Muislam kwanini asinge ongeza mke na Dini ina ruhusu tena Wake wa nne, Yeye angel mke mwingine tu mbona Dar pisi kali zipo nyingi tu tena angeo mke wa pili na angeishi nao pamoja, Wazee wetu hawakufanya matukio ya kikatili kwasababu walikua wana oa wake wengi utakuta Mwanaume kaoa wake 6 au 4 kwahiyo Mke mmoja akizingua anaamia kwa wengine.
Walfanya DNA kwenye majivu ,alipo chomewa ,alipozika majivu na kupanda mgomba,na kudhibitisha ni majivu yenye mabaki ya marehem Naom ,Kwa iyo no where Naom can be found apart from paradise / hellSasa baada ya kumnyonga huyo jamaa, halafu Naomi anatokea itakuwaje?
Ashahukumiwa kunyongwa mpk kufa majuzi tu. Wakuombewa ni innocent watotoJela inamsubiri
Hamis namwelewa maana hawa watu akili na mioyo yao acha tu! Ipo siku na mim
Hivi mbona story ni vice vers mwanaume ndo alirud asubuh baada ya kutokua nyumbani siku 5 alikua kwa mage..na mzozo ulianza baada ya simu ya mwanaume kuita alikua anapigiwa na huyo mage...gather your facts kabla hamjaongea upuuuzi 😏Yani nikuoe unirudie nyumbani kwangu saa 7 usiku umelewa na maneno ya shombo.
Hata mie nakutoa kichwa.
AliuaHuyo hamisi inasemekana hakumuua Kwa kukusudia mke wake ispokuwa mke wake alikuja usiku nyumbani kutokea kwenye pombe na alipomuuliza Kwa Nini umechelewa kukawa na purukushani Hadi yule mkewe akaangukia kisogo kutoka ghorofani na kupelekea kufariki.ili kukwepa hatia ya kuua ndiyo akafanya namna alivyofanya kumchoma kama njia ya kufuta ushahidi.Hii iliandikwa na boniphas yai kule X zamani Twitter.Na yeye alijua baada ya kukaa gererzani na kukutana na huyo hamis akamwekeza Hali halisi ilivyokuwa.
Ulisikia jamaa alichosimulia au unaandika tu mkuu?Huyo mwanamke naye alitakiwa atulie...wakati mwingine usicheze na hisia za mtu
Ova
Aliua
Mkewe alipoanguka na kufariki hakutakiwa kumchoma - angeacha hivyo na shitaka lake lingekuwa kama Lulu vs Kanumba
Yaani kuua bila kukusudia
hakuna mwanamke ambaye sio malaya.inategemea na yeye mwenyewe.jiulize uyo uliye nae wewe ni mtu wa ngapi kwake?Moshi Kilimanjaro au Upareni? Mbona Wapare hampendi kutaja kwenu?
Wapare Malaya Sana
Kilichofanya afungweni.hili.la.kumchoma moto!Angereport police pengine angefungwa miaka.michache akatoka-alifanya ujinga,Likishatokea kama.hili.dont panic...Na pia.Mwanamme ukiona.mwanamke.anaongeza.amri.ya 11 kwenye Mausiano Achana nae. Ukifosi kubaki.kwenye Mausiano haya ndo matokeo yakeHuyo hamisi inasemekana hakumuua Kwa kukusudia mke wake ispokuwa mke wake alikuja usiku nyumbani kutokea kwenye pombe na alipomuuliza Kwa Nini umechelewa kukawa na purukushani Hadi yule mkewe akaangukia kisogo kutoka ghorofani na kupelekea kufariki.ili kukwepa hatia ya kuua ndiyo akafanya namna alivyofanya kumchoma kama njia ya kufuta ushahidi.Hii iliandikwa na boniphas yai kule X zamani Twitter.Na yeye alijua baada ya kukaa gererzani na kukutana na huyo hamis akamwekeza Hali halisi ilivyokuwa.
Akili zikimrudia anakukuta wewe ushamove on! Mwanamke hisia zake ndo kipaumbele chake akumbuki wala.kujali hisia au mwana.mme kujitoa kwakeKimbia kwa Usalama wako, tena Hama nyumba kapange self container room moja chaaap.
Piga kazi mbwa inayokusumbua itapata akili baadae wewe ushapata mke mwingine