Nilishangaa hilo neno "unataka baba yako ndio asafiri?"Kwahiyo ikakutachii ?
Sidhani hata mama Samia alishawahi kujibu hizo tuhuma kwa maneno kama ya Masanja!
Ile ni hadhara yenye watu wa kitaifa na kimataifa, hivyo sidhani kama ni vyema kuleta vichekesho kwa matusi!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app