Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Watanzania ni watu wajinga sana.

Wote uliowataja hapo takribani wengi bado wapo hai kwanini wasiende kumfungulia mashtaka Hadi serikali Tena raisi ndio aende kufungua mashtaka !

Na wakati huo huo mnataka nguvu ya raisi ipunguzwe kikatiba!

Hamasisha watu waende kufungua kesi mahakamani acheni ujinga watanzania

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Comment yako imetawaliwa na neno la "Nasikia" JF huenda kwa fact na sio kutumia neno nasikia,unasikia kutoka wapi? hearsay haiwezi kutumika as an evidence.
Huo uwasilishaji tu,ulitaka nikuwekee Audio ya Bashite akimwambia huo upupu Jiwe?....
 
Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.

Inadaiwa Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Hakuna jiwe litakalo baki juu ya jiwe!,
ndio maana leo hii tunamuona Mbowe yupo mbele ya sheria. hakuna aliye na kinga mbele ya sheria za nchi hii, ukitenda uhalifu lazima utakabiliwa kwa mujibu wa sheria.
Awamu hii inasimamia Haki bila kujali wewe ni nani.
sheria ni msumeno, hakuna aliye juu ya sheria.
tukijenga tabia ya kuviheshimu vyombo vyetu basi tutavuna Haki kinyume chake tutaambulia maumivu.
 
Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.

Inadaiwa Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Unao ushahidi wa hiki ulichokiandika?
Makonda alitia fora alipokuwa anatoa listi ya wauza unga. Eti jumatatu muende Polisi mkaripoti mseme kwanini mnauza sembe.
Zile zilikuwa sarakasi tu za utawala ule.
 
Watanzania ni watu wajinga sana.

Wote uliowataja hapo takribani wengi bado wapo hai kwanini wasiende kumfungulia mashtaka Hadi serikali Tena raisi ndio aende kufungua mashtaka !

Na wakati huo huo mnataka nguvu ya raisi ipunguzwe kikatiba!

Hamasisha watu waende kufungua kesi mahakamani acheni ujinga watanzania

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ndugu lunatoc unayo elimu kidogo kuhusu sheria au umeandika kwa kuwa ulihitimu la Saba B?

Kwenye jinai parties ni Republic ndiyo plaintiff na individual ndiyo defendant. Hakuna yeyote kati ya hao mwenye capacity ya kufungua shtaka la jinai dhidi ya Makonda mpaka kw ruksa ya DPP
 
Wasiojulikana wote wasakwe ni lzm watalipa waliyofanya kuumiza watz.
 
pumbavu ,anampigania nani Yule gaidi! labda familia yake,taifa hili halijakosa wazalendo mpaka ,utuletee upuuz huu!!,Yule ni gaidi sawa na magaidi wengine,ova!!labda anakupigania ww na familia yako!!sh.....w.....a......in kabisa!!
Oneni li zombie hili! Yaani hata halielewi kitu gani kinaendelea, watu kama wewe chazachaza ni bora kufuga kuku utakula mayai kuliko yeye!
 
Jf imejaa masenge humu,

Makonda anaweza kua mharifu ila hawezi kufungwa Kwa tetesi za wajinga...

Kama lengo lenu ni kumfunga, kusanyeni ushahidi

Mpeleke mahakamani...

NB: kosa kubwa alilofanya makonda ni kuwagusa mashoga na wauza madawa, ambao kila mtz anajua ni kina nani.
 
Jf imejaa masenge humu,

Makonda anaweza kua mharifu ila hawezi kufungwa Kwa tetesi za wajinga...

Kama lengo lenu ni kumfunga, kusanyeni ushahidi

Mpeleke mahakamani...

NB: kosa kubwa alilofanya makonda ni kuwagusa mashoga na wauza madawa, ambao kila mtz anajua ni kina nani.
Nawe kuna kiumbe utakuta anakuita mume
 
Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.

Inadaiwa Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Bado Paul Makonda aka Daudi Bashite
 
Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.

Inadaiwa Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Haaaaassssss Jaribu kufanya vitu vingine vyenye msaada kwa maisha yako. Au tafuta sababu za kweli na sio hisia zikuongoze. Mnajaza server ya JF bila sababu.
 
Back
Top Bottom