Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Haaaaassssss Jaribu kufanya vitu vingine vyenye msaada kwa maisha yako. Au tafuta sababu za kweli na sio hisia zikuongoze. Mnajaza server ya JF bila sababu.
Utakuwa ni wewe pekee usiyejuwa ukweli wa kundi la WASIOJULIKANA kuwa likikuwa chini ya Makonda. Labda unaweza kuwa ulikuwa hujitambui, nakusamehe
 
 


Kaka yangu Kaka Yang
 
Said Kubenea kaamua kutoka na namba 5.Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
 
Hayo makosa BaShite yanatosha kumfunga maisha,lakini wakusanye ushahidi uliojitosheleza na aseme aliyekuwa anamtuma.
 
Hayo makosa BaShite yanatosha kumfunga maisha,lakini wakusanye ushahidi uliojitosheleza na aseme aliyekuwa anamtuma.
Ushahidi wa kumfunga Makonda hauna shida, uko wazi tu
 
Nahisi huyu ukigumsa anaweza kumwaga mboga. The pic which was once trending on social media tells it. So he is still untouchable
 
Makonda anaishi kwenye space na hao aliowadhulumu ambao ni watu wenye akili timamu na wanaochukizwa na maovu aliyofanya ni suala la muda tu kila mtu atatafuta haki yake.
 
Hayo makosa BaShite yanatosha kumfunga maisha,lakini wakusanye ushahidi uliojitosheleza na aseme aliyekuwa anamtuma.
Kama singa singa na magaidi wa kizanzibar wameachiwa basi ujue hakuna kosa kubwa tz maana hata sabaya angeua watu 1000 awezi kufikia uchafu wa singasinga
 
Makonda anajua siri zote za nchi ataenda kuzitapika maana alikuwa anarecord yote walikuwa wanaongea na mzee
 
Bado Happi, Mrisho Gambo, Mnyeti na Jerry Muro
 
Unaamini Sabaya na Makonda hakuna mema waliyoytenda so hawastahili kukumbukwa? Au mtu ukimchukia wewe basi wote tunapaswa kumchukia?
Acha uhuni!
Hakuna mema wamefanya hawa kenge wawili. Ni uuaji, kujeruhi, kupora Mali na kwa Sabaya kubaka. La kubaka halimhusu Makonda maana yeye hana uwezo wa kiume
 
Hakuna mema wamefanya hawa kenge wawili. Ni uuaji, kujeruhi, kupora Mali na kwa Sabaya kubaka. La kubaka halimhusu Makonda maana yeye hana uwezo wa kiume
Vp mkuu, walikubaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…