Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Leo kaongeza jingine. Kachoma kiwanda cha magodoro cha GSM.

Kwa Makonda hahitaji akili kufanya hayo, kwanza akili anatowa wapi? Amechoma kama alivyovamia Clouds.

Tatizo walipokuwa na ushkaji na GSM walimpitisha kila mahali, ndiyo maana ni rahisi kwa Makonda kufanya chochote
 
Kizimbani haraka sana...apandishwe
 
Wameamua kuchoma wao wenyewe Ili wampoteze Makonda kwenye ulimwengu wake!!Mama kaamua afumbe macho wakati ex wake akishughulikiwa ipasavyo!!
 
Turudi hapa tena
 
Kwa No.1 anawajibika nalo kwa 100%
 
Absolutely
 
S
Mnamsagia kunguni sana aisee
 
Lakini hakutekeleza peke yake
 
Sabaya yuko wapi Etwege? Naona kapotea mazima. Usicheze na jela.
Jela pasikie tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…