Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
- Thread starter
- #541
Leo kaongeza jingine. Kachoma kiwanda cha magodoro cha GSM.
Kwa Makonda hahitaji akili kufanya hayo, kwanza akili anatowa wapi? Amechoma kama alivyovamia Clouds.
Tatizo walipokuwa na ushkaji na GSM walimpitisha kila mahali, ndiyo maana ni rahisi kwa Makonda kufanya chochote
Kwa Makonda hahitaji akili kufanya hayo, kwanza akili anatowa wapi? Amechoma kama alivyovamia Clouds.
Tatizo walipokuwa na ushkaji na GSM walimpitisha kila mahali, ndiyo maana ni rahisi kwa Makonda kufanya chochote