Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Alieathirika ndo anatakiwa awe shahidJinai inakuwa handled na Jamhuri..in very rare cases can an individual institute a criminal case
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alieathirika ndo anatakiwa awe shahidJinai inakuwa handled na Jamhuri..in very rare cases can an individual institute a criminal case
ile ilikuwa ni kuwahukumu wale watu kwenye dunia na watanzania.....wadai fidia kina ridhiwani leo heshima yao imekuwa ya mashaka kwenye jamii, kina manji, kuna wengine walikosa hadi ubunge kina azzanMakonda alitia fora alipokuwa anatoa listi ya wauza unga. Eti jumatatu muende Polisi mkaripoti mseme kwanini mnauza sembe.
Katibya watu wanaofurahia muda huu ni napeSi ndio waliotumika kumsafisha SAA baya
Makonda hana kinga ya kutokushitakiwa sasa kama unao ushahidi ya maasi yake kipi kinachokukwamisha kwenda mahakamani.Ili haki itendeke na ionekane imetendeka, Paul Makonda lazima apelekwe mbele ya sheria ajitetee kuhusu shutuma zinazomkabili toka kwa "wahanga" wa utawala wake . Ana tuhuma nyingi sana ambazo akitendewa kama Sabaya, watu watajitokeza kutoa ushahidi.
ANA SHUTUMA NYINGI ZA UKATILI, UPORAJI ETC, ATENDEWE HAKI NA SI KUONEWA
Makonda should b brought to face justice!
Jana kwenye clubhouse wakati mdude anaelezea mateso yake.. aliingia akawa anasikilizaKwa huu usagaji kunguni kwa makonda huko aliko kama anaingiaga jf basi atakuwa kashaanza kukusanya kila kilicho chake akawe mkimbizi[emoji23]
WaTZ wanajua kusaga kunguni mzee, niliwanyooshea mikono jinsi walivyomsagia kunguni BiswaloKwa huu usagaji kunguni kwa makonda huko aliko kama anaingiaga jf basi atakuwa kashaanza kukusanya kila kilicho chake akawe mkimbizi[emoji23]
Aende tu hata hapo Kenya kwa miezi 12 ijayo akisikilizia upepo.Kwa huu usagaji kunguni kwa makonda huko aliko kama anaingiaga jf basi atakuwa kashaanza kukusanya kila kilicho chake akawe mkimbizi[emoji23]
Jiwe alikuwa ni producer, director, cameraman, designer and actor, hakuna aliyeinua mdomo enzi zake (Ukiacha Bashite na Sabaya), na alishasema hapangiwi, and ilikuwa ukijifanya kiherehere anakushughulikia, kama alitaka kupiga mashangazi wa PM hadharani je huko sirini tunajua hata alikuwa anawaburuza vipi? Si aliwahi kusema huwa anawatukana Kabudi na Mipango wapumbavu? Kila ovu la utawala wake atalibeba mwenyeweKwan yeye hakuwepo wakat Sabaya na makonda wanafanya na kutenda watakavyo,??
2025 uwe mwisho wa SAMIA.
UNAWEZA GEUKA UKAWA NI KIMBUNGA KIKAMZOA HADI KWA PILATO, PILATO NAYE AKAKATAA KUNAWA MAJI, KAMA WA ARAende tu hata hapo Kenya kwa miezi 12 ijayo akisikilizia upepo.
Politically haina afya kumuundia tume mtangulizi wako, ni kutengeneza unneccessary unrests ndani ya nchi, MWIZI ATAENDELEA KUKIMBIZWA KIMYA KIMYA HIVI HIVIKwani aliyesema .. ASKARI WA TZ HAKOSEI SHABAHA,?? ninan???
Kwann kashindwa kuunda Tume ituletee majibu ????
2025 iwe mwisho wa SAMIA.