Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Clouds wanatakiwa kutoa taarifa polisi,polisi wafanye uchunguzi ili Kama kyna ushahidi Makonda akamatwe afuliwe mashtaka.Faili lienda kwa DPP Kama Kuna ushahidi DPP ampeleke Makonda mahakamani.Mahakama ikiona Makonda ana kesi ya kujibu,iendeshe kesi makonda ajitetee akipatikana na hatia ahukumiwe.
Haiwezekani ukiona kiongozi yeyote anaetokana na
teuzo za Rais anakamatwa basi ni agizo la Rais unless otherwise polisi hawawezi fanya hayo na kama wakifanya hayo basi file litakwama kwa dpp kumbuka dpp ni tawi kwenye ofisi ya rRais hawezi peleka kesi mahakamani mpaka Rais na lazima asaini hilo file . Halafu makonda ni mnjanja anajua kuusoma upepo wa siasa ukiangalia sasa yupo kimyaaa toka akose ubunge anajifanyia mambo yake tu hata kwa media hayupo kabisa sasa kwa nature ya mama hana mpango nae kwanza sio tishio then mama anajua shidah hakuwa makonda bali mzee . Sasa huyu nguchiro 7 ya yeye alishataka kuendeleza hulka yake kwenye utawala wa watu ndo yakamkuta ya kumkuta.
 
Kuna siku US watafyatuka na kuweka wazi kila kitu na walisema wana strong information kuhusu Makonda kuwanyima haki za kuishi...raia wa Tanzania....ipo siku na si nyingi damu zilizomwagika huwa haziendi bure.....muda ni mwalimu mkuu
 
Kama waliotendwa hawajaenda kulalamika popote au kufungua kesi hakuna kitakacho endelea
 
Uzuri jinai haifi mpaka haki itendeke,hata baada ya kifo cha Makonda anaweza kushtakiwa tu.Ipo siku Makonda atakumbana na mkono wa sheria.Hata Magufuli,inabidi naye haki itendeke maana alifanya maovu mengi na utetezi wa Sabaya umethibitisha hilo.
Sawa kabisa. Magufuli ana kesi za kujibu nyingi.
 
Ni hadi hao wahanga waamue kwenda kufungua kesi mfano kama clouds walivamiwa na silaha badae wakasemehe wale wangeamua ndo wangemsokota vizuri
Jinai inakuwa handled na Jamhuri..in very rare cases can an individual institute a criminal case
 
Bashite ana mali nyingi Sana kuliko mshahara wake nyingi za uporaji, kwenye kesi feki ya madawa kapiga pesa ndefu Sana.
Akiachwa yataaminika ni kweli ccm inawalinda wahalifu.
 
Kuna siku US watafyatuka na kuweka wazi kila kitu na walisema wana strong information kuhusu Makonda kuwanyima haki za kuishi...raia wa Tanzania....ipo siku na si nyingi damu zilizomwagika huwa haziendi bure.....muda ni mwalimu mkuu
Silo ana information za ugaidi wa Mbowe na sio wa makonda
 
Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.

Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
after Clouds tv invaded, he engaged to heavy battle against Ruge mutahaba, local infos tells that Bashite poisoned Ruge Mutahaba to death
 
Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.

Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Lakini Paul alifanya huo uhalifu baada ya kutumwa na shujaa
 
Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.

Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Huyu Makonda alikua msaidizi wa Lusipher, na Sabaya alikua msaidizi wa Makonda.
Lucipher hatunae, Makonda kajichimbia kusikojulikana, ingawa siku zake zinahesabika.
Sabaya uraiani tena baada ya mfueni 15 ijayo.
Chezea karma wewe[emoji849][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom