#Kabambikia watu kesi za madawa ya kulevya,, kuteka watu,,kuua na kunyang'anya Mali za watu,,, hebu tupe kwanza ushahidi mdog wa hayo uliyoyasema
Aliwataja akina manji, gwajima, petit man hadharani akiwahusisha na madawa ya kulevya, kuna cctv nyingine nitazitoa siku ikihitajika ukiacha hizo za clouds inshort haihitaji rocket science kujua jamaa alikua fedhuri mpe salamu dawa inachemka iko jikoni