Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

#Kabambikia watu kesi za madawa ya kulevya,, kuteka watu,,kuua na kunyang'anya Mali za watu,,, hebu tupe kwanza ushahidi mdog wa hayo uliyoyasema

Aliwataja akina manji, gwajima, petit man hadharani akiwahusisha na madawa ya kulevya, kuna cctv nyingine nitazitoa siku ikihitajika ukiacha hizo za clouds inshort haihitaji rocket science kujua jamaa alikua fedhuri mpe salamu dawa inachemka iko jikoni
 
Hatochomoka makonda maan rekodi za ushahidi tuu zinatosha

NB:- huyu jamaa anawez toroka nchi muda wowote.
 
Aliwataja akina manji, gwajima, petit man hadharani akiwahusisha na madawa ya kulevya, kuna cctv nyingine nitazitoa siku ikihitajika ukiacha hizo za clouds inshort haihitaji rocket science kujua jamaa alikua fedhuri mpe salamu dawa inachemka iko jikoni
Je una uhakika gani kuwa aliwabambikia kesi ya madawa,,,
 
IMG_8165.jpg

Wanaharakati wa haki za binadamu na wadau wa haki duniani wanapaza sauti zao makonda afikishwe kotini kujibu mashtaka yanayomkabili
 
Kwani mtu ukiwa na kesi lazma ufungwe ata kaa hatia unayo na kesi haijafatiliw
Unadhani kwa nn kesi haikufuatiliwa,? Mwisho wa kesi yoyote ni lazima Mahakama itoe hukumu. Je ni hukumu ipi ilitolewa iliyowatia hatiani hao aliowataja.
 
Nakumbuka Bunge la Katiba, Kuna Kauli Makonda aliongea Bungeni kuhusu Mama Samia, wakati Huo Mama Samia akiwa Mwenyekiti Msaidizi wa Bunge la Katiba...... Sidhani Kama kuyajua na Chochote.
 
Clouds wanatakiwa kutoa taarifa polisi,polisi wafanye uchunguzi ili Kama kyna ushahidi Makonda akamatwe afuliwe mashtaka.Faili lienda kwa DPP Kama Kuna ushahidi DPP ampeleke Makonda mahakamani.Mahakama ikiona Makonda ana kesi ya kujibu,iendeshe kesi makonda ajitetee akipatikana na hatia ahukumiwe.
 
Unadhani kwa nn kesi haikufuatiliwa,? Mwisho wa kesi yoyote ni lazima Mahakama itoe hukumu. Je ni hukumu ipi ilitolewa iliyowatia hatiani hao aliowataja.
Labd upelelez hakukamilika ila swali langu kubwa ni wew una uhakika gani hao waliotajwa walibambikiw au hawakubambikiwa iyo kesi
 
MAKONDA NAJUA YUPO HUMU ANACHUNGULIA HIZI COMMENTS NAKUPA TAARIFA TUU NO MATTER HOW LONG IT TAKES UTAKUJA KUJIBU MAHAKAMANI ULIMLETEA KIBURI SANA MH MAKAMU MPANGO WAKATI AKIWA FEDHA UNAMLETEA KIBURI SANA MH MAJALIWA TENA ULIKUWA UNABISHANA NA MAWAZIRI KISA KIBRU CHA MADARAKA IWE JUA IWE MVUA WEWE JUA UKO PENDING TUU YOUR DAYS ARE NUMBERED

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
kuna mtu mkubwa kabsa hapa nchin alinambiaga MAKONDA ni mzinga wa nyuki, ukimchokoza nchi haitakalika!
 
Makonda ndiye mhalifu pekee aliyetajwa na Serikali ya US kuwa alikuwa akiwanyima watu haki ya kuishi.

Nakubaliana na mleta mada, ukilinganisha uovu wa Makonda na Sabaya, Sabaya ataonekana ni malaika.

Haki itendeke. Sabaya ni jambazi la kutumia silaha, Makonda aliwanyima watu haki ya kuishi (aliondoa uhai wa watu)
Makonda na yeye ale mvua sate pimbi huyo. Walijifanya Tanzania ni yao.
 
Makonda kuwa branded na waamerica kama "mnyima haki ya watu kuishi" ilikuwa disaster kubwa mno kwake. Anatembea na hukumu ya kunyongwa moyoni mwake na anajua. Wale weupe wakisema huyo ni MUUAJI wanao ushahidi. Ni kwamba utatolewa siku moja tubaki midomo wazi. Ni kwamba Makonda alishiriki KUUA watu Tanzania. Kina nani tutajua siku moja ya MUNGU tusiyoijua. Ninyi kina SIRO mnamsingia Mbowe ugaidi mnamwacha Makonda muuaji, mtumia madaraka vibaya, mmiliki masilaha kinyume cha sheria, mwizi, mnyanganyi, money laundering master, muuza madawa ya kulevya na mhujumu uchumi Bashite. Alioyoyafanya Sabaya, Makonda kafanya zaidi zaidi chini ya mamlaka ile ile ya marehemu. Sheria ichukue fursa yake.
 
Back
Top Bottom