Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

ccm itatawala miaka mingi sana nchi hii.

IMG_1477.jpg
 
Nazan atahama nchi hii ndan ya muda si mrefu Awez kukaa kuendelea kusubr kitanzi kama Cha mwenzake sabaya.
 
Tulitarajia Media kubwa kama Clouds mtende haki, muende kumshtaki makonda au bashite kwa uvamivi wa kituo chenu na kusababisha taharuki maana pale haikua uwanja wa vita ilikua ofisini.
Lazima kila mmoja avune alichopanda wala hakuna kuoneana aibu, ni muhimu kuzingatia hilo kwanza ili kutenda haki.
Huyu makonda kaumiza wengi ikiwa ni pamoja nawkubambikia watu kesi za madawa ya kulevya, kuteka watu, kuua na kunyang’anya mali za watu wengine.
Lazima sheria ichukue mkondo wake.View attachment 1976034
View attachment 1976035
Hapo akiingia kuvamia kituo cha habari cha clouds usiku wa manane.
Naunga mkono hoja Ila nasikia kajamaa mganga wake Yuko vizuri hakawezi kuguswa na mtu
 
Tukiwa nchi ya visasi hatutafika, vijana walikuwa hawajui maadili ya uongozi, sasa naona akili kichwani
Watiwe adabu kidogo ili wajue ubaya haulipi na wote ni sawa,kuachiwa free kabisa sio kuwafundisha, nilikuwa na mjomba wangu mpumbavu kweli kweli alikuwa mhasibu wilayani huko kazi yake kuiba na kutoka na wanawake za watu kwa sababu ya vipesa vya wizi, basi alikuja kufungwa kwa hizo tabia hizo, alipotoka kawa mtu mzuri kweli kweli
 
#Kabambikia watu kesi za madawa ya kulevya,, kuteka watu,,kuua na kunyang'anya Mali za watu,,, hebu tupe kwanza ushahidi mdog wa hayo uliyoyasema
 
hahaha ulitaka waishie kutekwa,kufisilisiwa, kupotea bila kujulikana etc labda sasa hivi wana chance ya kuweza kushtaki, kusikilizwa na kuwa salama, ile nchi dadeki sijui ilikuwa inaelekea wapi
Mimi nilikimbia huko, Maana Upepo ulikuwa unaniendea vibaya sana, najipanga kurudi sasa
 
Na hawa viongozi wasitumie mgongo wa hatati Magufuli kujitetea kuwa walikuwa wanatekeleza maagizo toka juu.Magufuli sidhani kama aliwaagiza hayo ya kupora na kukata watu mikono na kuwacharanga mapanga.

Na wale waliompiga lisu risas Mungu yupo.Hata waliowatesa na kuwaumiza walinzi wa Mbowe Mungu yupo.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Na hawa viongozi wasitumie mgongo wa hatati Magufuli kujitetea kuwa walikuwa wanatekeleza maagizo toka juu.Magufuli sidhani kama aliwaagiza hayo ya kupora na kukata watu mikono na kuwacharanga mapanga.

Na wale waliompiga lisu risas Mungu yupo.Hata waliowatesa na kuwaumiza walinzi wa Mbowe Mungu yupo.
 
Tulitarajia Media kubwa kama Clouds mtende haki, muende kumshtaki makonda au bashite kwa uvamivi wa kituo chenu na kusababisha taharuki maana pale haikua uwanja wa vita ilikua ofisini.
Lazima kila mmoja avune alichopanda wala hakuna kuoneana aibu, ni muhimu kuzingatia hilo kwanza ili kutenda haki.
Huyu makonda kaumiza wengi ikiwa ni pamoja nawkubambikia watu kesi za madawa ya kulevya, kuteka watu, kuua na kunyang’anya mali za watu wengine.
Lazima sheria ichukue mkondo wake.View attachment 1976034
View attachment 1976035
Hapo akiingia kuvamia kituo cha habari cha clouds usiku wa manane.
Unaongelea hawa wanafiki ...
 
Back
Top Bottom