evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Ile ni jinai mtu yeyote anaweza kufungua Kesi clouds wakaitwa Mahakamani kutoka ushahidiClouds ndiyo inabidi wakafungue kesi, sijui Kwa nini Hadi Leo wanashangaa shangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni jinai mtu yeyote anaweza kufungua Kesi clouds wakaitwa Mahakamani kutoka ushahidiClouds ndiyo inabidi wakafungue kesi, sijui Kwa nini Hadi Leo wanashangaa shangaa
Then kwa nini hawa wanaharakati wetu wasianze na hilo?Ile ni jinai mtu yeyote anaweza kufungua Kesi clouds wakaitwa Mahakamani kutoka ushahidi
Ukiitwa kuthibitisha mahakamani utaweza ?Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Then kwa nini hawa wanaharakati wetu wasianze na hilo?
Inaelekea mna hasira nae Daud Bashite wa watu..Huyo kitakachomuokoa ni kifo tu, kama ni kukimbia tutamfuata popote atakapokuwa
Mkuu umeniwahi, uko sahihi, Makonda ni shetani mala Mia kuliko sabayaYa Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Gaidi pia wamnyonge , wanachelewesha Sana
Subiri kwanza Mbowe ale mvua kwanza
Ndiye kiongozi pekee aliyepigwa ban na Marekani. Iundwe tume kumchunguza kisha ashtakiwe
Mambo ni hatua kwa hatua Dogo. Baada ya Ole Sabaya, anafuata Mbowe atakayepigwa MAISHA. Ndio wataangaliwa wengine kama Ridhiwan, Mchengerwa, nk.Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Namuona Sabaya kama BABU Seya ni swala la wakati na muda utatuambia
We nae huna akili umeona nilichokiandika ama unadandia treni ...utaanguka bro ...haya tufanye ndo umenidharau nini kimetokea ?
Huyu akiachwa ni double standardsMmojawapo wa hawa wateule ni Paul Makonda au Daudi Albert Bashite aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar. Wapo wanaosema ndiye alikuwa nyuma ya shambulizi dhidi ya Tundu Lissu na kupotea kwa baadhi ya watanzania. Je ni kweli kuwa Sabaya ndiye alifanya ujambazi peke yake wakati Makonda alitenda zaidi?
Ningekua Makonda, sasa hivi ningekua nimeshakimbia nchi, nachagua nchi yenye vurugu Kama Afganistani , Centra africa republic au Mali.Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS