Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Kupatikana kwa hatia kwa aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai ole Sabaya kunarejesha upya yaliyotokea chini ya utawala wa awamu ya tano ambapo baadhi ya wataeule wa mwendazake walijiona miungu watu wasioweza kuguswa au kufanywa lolote. Mmojawapo wa hawa wateule ni Paul Makonda au Daudi Christian Bashite aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar. Wapo wanaosema ndiye alikuwa nyuma ya shambulizi dhidi ya Tundu Lissu na kupotea kwa baadhi ya watanzania. Je ni kweli kuwa Sabaya ndiye alifanya ujambazi peke yake wakati Makonda alitenda zaidi? Je ni lini Makonda atepewa haki yake kwa kushushiwa hukumu anayostahili? Leo tuanze na Makonda kujua ni lini mamlaka zitamnyang'anya uungu mtu wake? Tukimpata Makonda, tunaweza kuwajua hata wale watu waliojulikana kama watu wasiojulikana wakati wanajulikana?
Zikitokea kesi mbili tatu kama hizi Wasiojulikana watakimbilia Msumbiji
 
Hii nchi hata kwenye mambo ya kijinga inabidi utumie akili, hv kile cheti cha form four chenye division 0 kilitolewa na wizara ya elimu ya nchi gani.?
Anyway aliniboa sana alivoenda clouds na silaha.
 
Hawahawa clouds ccm?!
Mbona serikali ya CCM imembananisha Sabaya? Wao wanaogopa nini kwa sasa? Utawala wa vitisho umekwenda, waache uoga, Mother ni mtu wa haki bin haki!! Ukilikoroga utawala huu usitegemee Mother atampigia mtu simu akuokoe, utalinywa mwenyewe
 
Wote ni washenzi tu.....baba yao na yeye alikuwa mshenzi mmoja tu kutokufuata sheria za nchi. Kwa hili mama Samia anakula tano zangu... Jiwe alikuwa msenge sana ru kutesa na kuua watu bila kosa..ben sàa 8? akataka kumuua Lissu akashidwa akafa yeye..kuku tu.
Ukitaka Hapi akutoe nduki kwa sasa muambie aitishe press halafu aongee zile pumba zake alizokuwa anaongea kipindi cha jiwe!! Uzuri wa Samia hatumii nguvu nyingi na mikwara majukwaani, yeye ameshasema kalamu itaongea
 
Back
Top Bottom