Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Ningekua Makonda, sasa hivi ningekua nimeshakimbia nchi, nachagua nchi yenye vurugu Kama Afganistani , Centra africa republic au Mali.
Tutamfuata popote atakapokwenda. Kifo tu ndiyo kinaweza kumuokoa kukutana na mkono wa sheria
 
Clouds ndiyo inabidi wakafungue kesi, sijui Kwa nini Hadi Leo wanashangaa shangaa
hahaha ulitaka waishie kutekwa,kufisilisiwa, kupotea bila kujulikana etc labda sasa hivi wana chance ya kuweza kushtaki, kusikilizwa na kuwa salama, ile nchi dadeki sijui ilikuwa inaelekea wapi
 
Ili haki itendeke na ionekane imetendeka, Paul Makonda lazima apelekwe mbele ya sheria ajitetee kuhusu shutuma zinazomkabili toka kwa "wahanga" wa utawala wake . Ana tuhuma nyingi sana ambazo akitendewa kama Sabaya, watu watajitokeza kutoa ushahidi.

ANA SHUTUMA NYINGI ZA UKATILI, UPORAJI ETC, ATENDEWE HAKI NA SI KUONEWA

Makonda should b brought to face justice!
Sasa si ukafungue kesi.
 
Ili haki itendeke na ionekane imetendeka, Paul Makonda lazima apelekwe mbele ya sheria ajitetee kuhusu shutuma zinazomkabili toka kwa "wahanga" wa utawala wake . Ana tuhuma nyingi sana ambazo akitendewa kama Sabaya, watu watajitokeza kutoa ushahidi.

ANA SHUTUMA NYINGI ZA UKATILI, UPORAJI ETC, ATENDEWE HAKI NA SI KUONEWA

Makonda should b brought to face justice!
'Sauti za watu ni sauti ya Mungu'

Sabaya amepata haki yake baada ya watu kupiga kelele sana(haswa hapa JF).
Kama huyu raisi tuliye naye ndiye yule yule tuliyeanza naye baada ya kifo cha Magufuli, basi ni suala la muda tu Makonda naye hatapunjwa.
 
Ili haki itendeke na ionekane imetendeka, Paul Makonda lazima apelekwe mbele ya sheria ajitetee kuhusu shutuma zinazomkabili toka kwa "wahanga" wa utawala wake . Ana tuhuma nyingi sana ambazo akitendewa kama Sabaya, watu watajitokeza kutoa ushahidi.

ANA SHUTUMA NYINGI ZA UKATILI, UPORAJI ETC, ATENDEWE HAKI NA SI KUONEWA

Makonda should b brought to face justice!
Uzuri jinai haifi mpaka haki itendeke,hata baada ya kifo cha Makonda anaweza kushtakiwa tu.Ipo siku Makonda atakumbana na mkono wa sheria.Hata Magufuli,inabidi naye haki itendeke maana alifanya maovu mengi na utetezi wa Sabaya umethibitisha hilo.
 
'Sauti za watu ni sauti ya Mungu'

Sabaya amepata haki yake baada ya watu kupiga kelele sana(haswa hapa JF).
Kama huyu raisi tuliye naye ndiye yule yule tuliyeanza naye baada ya kifo cha Magufuli, basi ni suala la muda tu Makonda naye hatapunjwa.
Kashabadilisha ushungi.
 
Ya Sabaya tumeyaona, lakini uovu wa Sabaya ni kama 5% tu kwa uovu aliofanya Paul Makonda au Daudi Bashite.

Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kama Paul Makonda hatachukuliwa hatua za kisheria, basi itakuwa ni DOUBLE STANDARDS
Naunga mkono hoja.
 
Ni hadi hao wahanga waamue kwenda kufungua kesi mfano kama clouds walivamiwa na silaha badae wakasemehe wale wangeamua ndo wangemsokota vizuri
 
Tukiwa nchi ya visasi hatutafika, vijana walikuwa hawajui maadili ya uongozi, sasa naona akili kichwani

Kila walichokifanya walikua wanaelewa makonda kaumiza sana watu kwa jina la taskforce hawafai hata kidogo hao akina makonda na the like hadi muda huu wanatakiwa kua wapo jela
 
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Tena huyu ndie ananuka damu haswaa!
Ila laana ya damu zile itaambatana nae na vitoto vyake hadi kiyama!
 
Mambo aliyofanya BASHITE ni ya kutisha kuliko SABAYA na Sabaya Mentor wake ni DAB na alishawahi kumwambia bwana SWAI kwamba atoe kwa hiyari au atumie MAKONDA STYLE??
 
Tulitarajia Media kubwa kama Clouds mtende haki, muende kumshtaki makonda au bashite kwa uvamivi wa kituo chenu na kusababisha taharuki maana pale haikua uwanja wa vita ilikua ofisini.
Lazima kila mmoja avune alichopanda wala hakuna kuoneana aibu, ni muhimu kuzingatia hilo kwanza ili kutenda haki.
Huyu makonda kaumiza wengi ikiwa ni pamoja nawkubambikia watu kesi za madawa ya kulevya, kuteka watu, kuua na kunyang’anya mali za watu wengine.
Lazima sheria ichukue mkondo wake.
IMG_8164.jpg

IMG_8163.jpg

Hapo akiingia kuvamia kituo cha habari cha clouds usiku wa manane.
 
Nchi hii kama haki ikisimama, viongozi wengi wa zamani na waliopo madarakani unaweza waburuza kwa pilato...
 
Back
Top Bottom