Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
NI ofisi zenu za kijinga. Kwetu hakuna upumbavu huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna ofisi ww sema ofisi ya watu. Na muache mambo ya ajab mnatia gundu eneo 🤣Ofisi yangu kutafunana ndiyo kazi yetu
Bora wa Mitaani Wana kaaibu ila sio hao wa kusomaMkuu hakuna pa kukimbilia, hata huko mtaani huduma zimewafikia 😁😁😁 huamini 🤔 waulize bodaboda
Huna ofisi ww sema ofisi ya watu. Na muache mambo ya ajab mnatia gundu eneo 🤣Ofisi yangu kutafunana ndiyo kazi yetu
Kula vitumbua everyday😂Ofisi yangu kutafunana ndiyo kazi yetu
Kwenu ni wapi huko Mkuu hakuna hiyo kitu?NI ofisi zenu za kijinga. Kwetu hakuna upumbavu huo
Kwani huko Geita Hawaliwi unavyofikilia! Amka usingizinNawaza tu kwa sauti huyu jamaa angekuwa ni mtanzania halafu matukio haya kayafanyia mkoa wa Geita sijui angekuwa wapi sasa hivi.
Na wanamegwa hovyo mnoHawa wansiri nyingi mno!
Bro ni hatari... Sasa ubaya kuna mke wa mtu anajiandaa kumlipua yeye ndie katusanua yote hayo.Mungu akupe rehema usimtaje ila ni aibu aibu ... Anayopostigi Mange kimambi huko ukweli mtupu tena kipindi hiki ndo vimezidi bora kipindi cha magu
anaonekana tu ukimwangalia machonj ametanda kama majani ya mtanda kwa umalayaBro ni hatari... Sasa ubaya kuna mke wa mtu anajiandaa kumlipua yeye ndie katusanua yote hayo.
Anataka afanye ili kumkomoa kwani baada ya kukataliwa penzi kaamua kumuhamishia kitengo kizuri.
Mshangazi!Ofisi yangu kutafunana ndiyo kazi yetu
Mimi naishi Geita najua ninachoongea wanaliwa lakini mtuhumiwa anakuwa mboga au kwa kifupi anageuzwa kuwa bucherKwani huko Geita Hawaliwi unavyofikilia! Amka usingizin
WeeeMimi naishi Geita najua ninachoongea wanaliwa lakini mtuhumiwa anakuwa mbogo
Wafanyakazi wenyewe wengi single mother wacha waliwe tuMshangazi!
Ndio hataliwa?Kwanini utoe ruhusa mke wako kuwa muajiriwa au uoe mwanamke alliyeajiriwa.
Either umuajiri, au umfungulie biashara yake, au abaki nyumbani tu.
Kuna jambo wengi hawajifunzi hapa,nini lengo la shetani ktk hili jibu ni kusambaratisha ndoa kola mtu aone ndoa mbaya hakuna sehem yenye vita kwa sasa kama ndoa,huyu jamaa kafanya haya kwa kujua na video haijavuja kwa bahat mbaya,jiulize kwa nn alirekodi akijua anafanya zinaa na wake za watu,hawa watu wengi wenye fedha na wadhifa kwa sasa wengine hutafta kwa shetani sasa huko kuna masharti yake kama haya hakuna hata jambo la bahat mbaya hapo karekodi kwa makusudi ila hao wadada hawakujua wanarekodiwa alificha kamera leo hii aibu onawakuta ndoa nyingi ziko matatani na watakao teseka ni watoto,ila kama mimi nisingemuacha mkewangu kwa sababu hiyo,na lengo ni familia iwe pamoja hakuna malezibora kama baba na mama wako pamoja rahasana naomba Mungu awalinde asiwepo mtu wa kumuacha mkewe kwa Jina la YesuYaliyotokea huko ikwitorio Guinea kwa bwana Egonga yapo duniani kote sema ni kimya kimya!
Tukichambua yaliyo kwrnye taasisi kuna vidada vinaviherehere kila mkuu wa idara mpya au meneja akija huwa vinajigongesha ili vitafunwe!
Ukiachia hizo mambo kuna vidada huwa vinasimuliana na kujipendekeza kila kimoja kinataka kwenda kutafunwa!
Wake zetu wakiamua kufunguka wanavyosumbuliwa maofisini ni balaa tupu hamtaamini!
Hapa hapa bongo kuna watu wameshachakaza ofisini na hata wale wanaokwenda DOM, wakienda kwenye vikao dodoma jioni ikifika wanakamatia wawil wawili Egonga cha mtoto!
Kwanza huwa sioni sababu kwa nini mameneja ofisi zao zimefungwa kama chumba, yaani kuna bafu na choo humo na makochi!
Kama hawa ni watumishi kwanini ofisi za mameneja na mabosi milango ikawa ya vioo transparent au partition iwe ya vioo! Tuwafungia ili kuficha kitu gani? Maana mazingira ya Rushwa yanazalishwa na mazingira ya ofisi!
Mke wa mtu anaongeaje na mme wa mtu wamejifungia ofisini kuongea?
Ukiachilia vishawishi vya ngono hata usalama tu si sawa lolote linaweza kutokea hata kupuliziana madawa au kuuwana na wafanyakazi wengine wasishituke
Ni ubalozini, mojawapo ya nchi za NordicKwenu ni wapi huko Mkuu hakuna hiyo kitu?
Acheni kumsingizia shetani.Kuna jambo wengi hawajifunzi hapa,nini lengo la shetani ktk hili jibu ni kusambaratisha ndoa kola mtu aone ndoa mbaya hakuna sehem yenye vita kwa sasa kama ndoa,huyu jamaa kafanya haya kwa kujua na video haijavuja kwa bahat mbaya,jiulize kwa nn alirekodi akijua anafanya zinaa na wake za watu,hawa watu wengi wenye fedha na wadhifa kwa sasa wengine hutafta kwa shetani sasa huko kuna masharti yake kama haya hakuna hata jambo la bahat mbaya hapo karekodi kwa makusudi ila hao wadada hawakujua wanarekodiwa alificha kamera leo hii aibu onawakuta ndoa nyingi ziko matatani na watakao teseka ni watoto,ila kama mimi nisingemuacha mkewangu kwa sababu hiyo,na lengo ni familia iwe pamoja hakuna malezibora kama baba na mama wako pamoja rahasana naomba Mungu awalinde asiwepo mtu wa kumuacha mkewe kwa Jina la Yesu